Basata mnasubiri nini kumchukulia hatua Ney wa mitego

Basata mnasubiri nini kumchukulia hatua Ney wa mitego

aisee kumbe nyie ndio mnaotuharibia...lets me....
 
Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
... Mi naisikia muda huu kwenye pub moja hapa, ila mambo yaliyosemwa ni ukweli mtupu
 
umerogwa wewe si bure.. unadhan una undugu na yethu! ( in ney voice)
 
Nay njoo huku wapooooo........

Wengine wanagombea front page za gazeti
Na wengine wanataka utumbuliwe,
Wewe mtu gani sasa hutaki kushauri umerogwa unajiona unafanana na Yesu.
From nay hahaaa

Msanii ni kuielimisha jamii na kuikosoa jamii Nay kasema ukweli mtu.
Bila shaka wewe mtoa mada utakuwa umepoteza marinda
 
Waifungie au waipe kiki coz mpaka kalomije sasa ishafika so kuifungia ndo kuifikisha BBC na kwingne kama imetoka jana ishafika mpk state sasa wanaifungiaje itaacha kucheza kwenye sinu na redio zetu au tukitumiana itagoma hahahah
 
Hizi nyimbo za SK hizi ni shiiida,, inatungwa jioni usiku inapelekwa Studio,, Asubuhi Clouds wanairusha hewani,,

BASATA wapo wapo tu kule Ilala,,
 
Haiwezekani nyimbo za kumzodoa rais zapigwe ki horera hiyo!
Tutaanza kuforwadiana kwenye magroup wanatutafutie kesi bure!
Na ww unakuwa kama upo miska ya 47. Hivi kwa akili yako iunaweza kuzuia wimbo au chochote kwa trknolojia ya sasa. Kwanza wanapozuia ndio wanautangaza zaidi na watu kuutafuta. Wanachoweza kufanya ni kuzuia kupogwa redioni na Tv lakini nani kakwambia watu wanategemea redio na tv siku hizi kupata habari au matukio
 
Naskia Kuna vidume vinalelewa. Wapooooo
Kama hujaipenda.
Ifute afu kausha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom