DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,579
- 10,272
Co muda mrefu nawe utaanza kukalia taaako moja km yule mfoj vyeti
hebu utupie tuusuikilizeBasata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
Kiongoz gani aliemkejeli?Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
Wapoinaitwaje
Alitaka Ney aimbe mapenzindo kaz ya msanii kufikisha ujumbe kwa wahusika. Kama kimewakela jinyongen lakini ujumbe mshaupata.
hahaha, Basata nao wamechoka. kimoyomoyo wanamshukuru Ney wa mitego kwamba amefiisha ujumbe. kwa jinsi watu walivyo download ile clip, hata wakipiga marufuku lakini ujumbe umeshafika.Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
Kina kuuma nini?Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
Ina maana wewe hujui kuwa Ney ni msanii?na hujui kuwa pake anapiga kazi?wacha vijana wapige kazi bwana!Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
"mitandao ya kijamii" oh kumbe hua mnaifatilia....oh kumbe ni official pia...Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu
Huyo ndie mwenyewe Albertacha tabia za kibashite
Mmeanza ubashite wenu.Basata au mtaka mtumbuliwe ninyi? Kuna hii nyimbo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyoimbwa na msanii Ney wa mitego inasikika ikiwakejeli viongozi mbalimbali. Maneno yaliyotumika ni Makali sana, najua imetoka weekend mtasema hamkuwa kazini basi Jumatatu mchukue hatua na kinyume na hapo hatua zitachukuliwa dhidi yenu