wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Eti waliambiwa wana presure kwa sababu mkono mmoja walikuwa wanatumia sana kusukuma randa hivyo eti mapigo ya moyo nayo hayako sawa kwa kuwa nguvu ilikuwa inatumika zaidi upande mmoja
Eti waliambiwa wana presure kwa sababu mkono mmoja walikuwa wanatumia sana kusukuma randa hivyo eti mapigo ya moyo nayo hayako sawa kwa kuwa nguvu ilikuwa inatumika zaidi upande mmoja
Haikuwa riziki unatumia ujuzi ulioupata kupambana kitaa
Ila wawafikirie waende tu RTS kama watashindwa au kufa juu yao maana ni wamependa wenyewe vijana
Ninawaona maafisa wengi tu wa nyota mbili wakiwa na miili ya magonjwa hayo ya Bp, moyo wakati Mtu Wa nyota mbili ni mpiganaji Kama private tu
Sent using Jamii Forums mobile app
God's plan.Hakuna kitu kinauma kama siku unakutana na mwenzako kapiga kivazi (kombati)alafu ukicheki mlikua nae wewe ukarudi uraiani na isitoshe hata kwenye gwaride alikuwa nanga
Ni kwl wazo zuri, nashkuru sana.Hii habari ningekushauri uiweke kwenye (jukwaa la siasa) huko najua watu wake mlengwa uliye mwandikia ambaye ni Rais wanapita pita sana kule so wataiona tu watampelekea ujumbe.
God's plan.
Halichukui elimu kubwa siku hizi ni six kushuka chiniHapo sasa wakati wale wazee weru wa zamani hawakwenda shule lakini silaha walizishika na kutumia vizuri tuu siku hizi wanaajiri wasomi kujifanya tecnokojia imekua mwisho wa siku hao hao wasomi wanakuja wasumbua kama nijeria hapo.mi naona jeshi lingebalace n wenye elimu ndogo hata nidhamu inaongezeka siku hizi askari nidhamu bure kabisa
UNFIT maana ake tuna matatzo ya kiafya.
Ni suala gum kdg kulizungumzia kiundani zaid, lakn kikubwa tunazd kumuomba mwenyez mung siku moja bas ifke na sisi ionekane thamani yetu na mchango wetu katika kulijenga Taifa.
Ahsante sana.
Nakumbuka enzi hizo sisi tulikuwaga tunaimbaga kawimbo haka “” KATOTO KADOGO KANALI****a Jimama “”.
Chenja zile sitokaa nizisahau aisee, full morali,
TANZANIA YANGU EE, NAKUPENDA.
Poleni sana vijana, na imani mweshimiwa litamfikia hili ombi lenu, Mnasitahili kwakweli .
Mkuu tunazungumzia point moja tu inayohusu maagizo ya rais kuajiri vijana wa Jkt, intake flani waliojitolea na kufanikisha kujenga majumba ya kiserikali kwa wakati.Vipi kama hiyo amri ya wao kuajiriwa haikufuatiwa na ongezeko la bejeti ya mishahara ya waajiriwa wapya? Na wale wengine wamejitolea sehemu nyingine kwa muda mrefu ambao hawakapata fursa ya kuonekana na Rais wao nani awatetee waweze kupewa kipaumbele?
Sent using Jamii Forums mobile app