Barua ya wazi kwa Mbowe & CHADEMA: Kajipangeni Upya

Katiba mpya ya Tanzania IPO karibu sana kupatikana kipindi hiki kuriko awamu yeyote, tukaze buti tusiwasikilize wenye tabia ya kuridhika na nguo ya zamani!!! Hongera Mpambanaji wetu Kamanda Mbowe!!!
 
ndiyo maana miminaonaga hawa ni wahuni tu wakasome siasa hawaijui
Wewe na unaowatetea mlikosa hoja za msingi tangu siku za mwendazake, ndo maana wamnakimbilia na kushangilia mabavu badala ya zinazojenga na kulinda haki na utawala bora.
 
Sema na ninyi mnazidi,mtu Raisi Samia kaamua kuwa muungwana,lakini ni kama mnataka kumpanda kichwani sasa,watu walikuwa washakimbia mpaka nchi,hatuwasikii tena,lakini sasa imekuwa ni vurugu na vitisho tu,kwani hakiwezi kutafutwa muafaka kiungwana tu kama Mama anavyoonesha kuwa muungwana?
Wewe ni wa kumwandikia Mbowe barua ya wazi? MATAGA leo ni wa kuishauri Chadema?
 
Well said, ni kweli chadema waachane na matamko yanayo jenga chuki na hisia hasi kwa Rais. Vinginevyo itaonekana ni kutaka kupima kina cha maji, na hivyo watakabiliwa na nguvu ya mkono wa chuma. Na zaidi itawafanya watu kuamini kuwa Magufuli alikuwa sahihi kuwanyima jukwaa wapinzani.

Waibue hoja na kero zinazo mgusa mwananchi wa kawaida kama ilivyokuwa enzi za Dr. Slaa, katiba iwe ni hoja ya nyongeza

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Sisi Watumishi wa Umma tumeshapandishwa Madaraja na Nyongeza zetu kwa hiyo tunashauri kila mmoja aangalie Maslahi yake
 
CDM hiyo katika mpya muiweke kwenye ilani yenu ya 2025 mkaiombee kura waacheni CCM watekeleze ilani yao waliyoiombea kura...nyie subirini 2025 kwenye ilani yenu muiweke katiba mpya halafu mje kuinadi tuwape ridhaa..
Uchakuzi gani watashiriki bila tume huru?
 
Badala ya kutushawishi kwa sera nzuri wanalilia katiba, kwa hiyo wao tukiwapa nchi kipaumbele chao ni katiba mpya, mambo ya ustawi wa nchi tutapambana wenyewe.
 
Hawa inatakiwa wakong'otwe tu hawana akili
 
Tatizo lilipo kwa sisi wantanzania mtu anapokuwa na mawazo kinzani na mawazo yako huonekana ni adui na msaliti . Lakini kumbe inawezekana kuchukua yale mawazo kinzani na kuyafanyia kazi ama kuoutweigh kwa hoja iliyo bora zaidi.

Cha msingi zaidi hatujikiti katika kuwaza katika changamoto zetu za msingi ili tuweze kujinasua hapa tulipo.
 
Asante kwa mawazo chanya. Busara inahitajika sana kuliko HARAKATI. Wananchi wanamuelewa Rais Samia sana kuliko hicho ambacho CDM wanataka kusema ni cha muhimu kuliko kupanga uchumi
 
Miaka 60 kweli seriously CCM haina cha kujivunia? Hapo ndipo mnakosa objectivity. Kwa hiyo Tanzania iko kama alivyoiacha mkoloni? Kweli kama na wewe BAK uko kwenye safu za CDM, no wonder what we see and hear

Halafu eti wewe unanikuta mimi MPUMBAVU kwa vile uwezo wako wa kuelewa hoja zangu ni mdogo. Isitoshe hakuna tusi jipya yote yako kuanzia binadamu ameumbwa.
 
Badala ya kutushawishi kwa sera nzuri wanalilia katiba, kwa hiyo wao tukiwapa nchi kipaumbele chao ni katiba mpya, mambo ya ustawi wa nchi tutapambana wenyewe.
Katiba ndio kila kitu ndio maana wanaapa kuitetea na kuilinda kwa maana wanaongoza inchi kwa kisheria katiba muhimu
 
Ok Sasa kipi cha ajabu kwa CDM kudai katiba mpya?? Mpaka ukaamua kuwananga
Sijaona mtoa hoja alipowananga chadema zaidi ya kutaka waheshimu bilaumbele vya Rais na kutumia lugha ya staha.

Mdude kwenye mkutano wa bavicha baracuda alisema " nitamnyoa Rais kwa weembe ule ule niliomnyoa magufuli"
 
Kipi cha kujivunia? Elimu, Afya, uchumi, ajira, mshikamano vyote hovyo kabisa.

Mimi sijui kuremba kama unaandika upuuzi sijui kukwepesha.

Eti nawe una hoja?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Kajisemea CAG Assad Acquired Stupidity disease!!!! Hoja zako za kipuuzi huko huko lumumba siyo humu. Unadhani ni kwanini maccm damu damu Butiku na Warioba wanapigia sana debe Katiba mpya!?

Unadhani kwanini Mkapa alitaka sana uchaguzi wa mwaka jana usimamiwe na Tume huru ya uchaguzi?

Hebu acha kuonyesha ujuha wako hadharani eti nawe una hoja!!! Hoja za kuwakumbatia majizi, mafisadi na wauaji wa maccm si hoja ni takataka tu.

 
Mbowe jana,amesema hawapiga magoti kukutana na SSH..wala hawabembelezi..
Bottom line,inaonekana mbowe anaona amechelewa kuitwa kuongea na SSH,
Anasahau kuwa maneno yake ya shombo dhidi ya SSH,Kama hili la eti hawabembelezi na hawana mpango ndo yanafanya SSH achelewe kuwaita,,
Hata JPM alikua anawapenda wapinzani,wakamtibua,,mar aambiwe eti PHD yake ni fake,hana elimu na kwamba ametia hasara nchi kununua ndege,etc
 
Sijaona mtoa hoja alipowananga chadema zaidi ya kutaka waheshimu bilaumbele vya Rais na kutumia lugha ya staha.

Mdude kwenye mkutano wa bavicha baracuda alisema " nitamnyoa Rais kwa weembe ule ule niliomnyoa magufuli"
Mdude sasa kawa milionea,,tulimchangia milioni 20 juzi tu
 
Mkuu cariha ongeza sauti
 
Ndoo maana Russia na Saudi arabia,wamekaa na kuamua kuongeza supply ya mafuta,kwani matumizi yanapanda kwa sasa na kufanya bei ipae..
 
Freeman Mbowe tunamjua kuliko Wana Chadema wanavyomjua.

Hivi kweli mtu aliyeng'ang'ania UENYEKITI wa Chama kutoka mwaka 2000 na haruhusu wengine wagombee (kumbuka Chacha Wangwe na Zitto Kabwe), kweli ana moral authority ya kudai KATIBA?

Hivi kweli tumkague anavyoteua wale akina mama kuwa wabunge wa Viti maalum miaka yote kweli anafuata Katiba ya Chadema?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…