barua ya wazi kwa ben saanane

barua ya wazi kwa ben saanane

tedo kwa uzoefu wangu ni hicho tu na kama kapewa
ana wivu hataki vizuri kula na nduguze,

Hapo kwerye Red kumbe ndo sababu....Ila lisemwalo lipo kama ahalipo lipo njiani laja.
 
Last edited by a moderator:
Kwa masikitiko makubwa ninakuandikia waraka huu,kwa jina ninaitwa bishanga abashaija mkazi wa Chole road , kwenye li apartment masaki.Ninaendesha vx new model na akaunti yangu iko citibank na vekesheni zangu ni hawaii,kwa kifupi sina njaa kama Erickb52 Nicas Mtei , Judgement na Arushaone ambao kula yao ni kueneza majungu,hila na fitna.
Zumuni la balua hii ni kukufahamisha yafuatayo:
1. Madame B hakufai
2. Madame B ukimchezea anakutegua kiuno ( source: kiplagati26)
3. Madame B ni mtu wa limbwata sana na anatumia maji ya mochwale ( source: shosti wake Mamndenyi)
4. Madame B kila kukicha anaku cheat mara leo na tedo,kesho na CHAI CHUNGU keshokutwa na Shark........the list goes on
5. Madame B ni chichiem dam siri za mtikila ndo alikuwa anaziuza kwa kova
6. Madame B ni mbea hana mfano,kanichonganisha na The secretary mpaka tumeachana
7. Madame B ana shosti anaitwa aunt bilali wamjua weye?
8. Madame B kwa kuchuna hafai kafilisi bendi ya tp Chimbuvu ochestra,alikuwa anaingiza mashangingi ya kinondoni bure
9. Madame B ana plan kumtumia Remote amvushe bahari akajilipue yuke.
10. Madame B jana kanipigia simu 'oh bishanga nakuzimia Ben Saanane namlia hela tu' kha!
Ben Saanane tahadhari chukua hatua,kama ni kuingia ikulu nakushauri uingie aidha na Passion Lady, amu, Paloma, marejesho, Smile, Zion Daughter au ikishindikana Nivea.
Nawasilisha.
With deep concern,
Bishanga abashaija.

Nakuhitaji ofisini kwangu na uthibitisho wa hayo uliyoandika. Sipendi majungu kwenye ndoa za watu.
 
Last edited by a moderator:
Bishanga are you serious kweli boojo
utasutwa mtu mzima wewe mimi sipo
hivi kweli kosa tu kunyimwa hiyo kitu ndo
unammaliza Madame B hivi,
loh sijui hata nikuanzie wapi, mwanaume una gubu kama nini vile
loh
Madame B atabana weeeeeeeeee mwisho kwa bishanga ataachia.....we subiri tu mi ndo bilionea la kihaya nikikohoa ni midolari,godoro langu ni minoti ya wekundu wa msimbazi.
 
Last edited by a moderator:
mweeeee umeamua kufa na tai lako shingoni mweeeeee
Nivea una akili sana wewe,
weekend nitakupa lunch 'The Ledger' zamani bahari beach hotel.
 
Last edited by a moderator:
hahhaha ruka na Mrembo by Nature

Mtoto hana makuu yule, au Mamndenyi swagger zake si mchezo

Subiri nimsome kidogo kidogo si unajua mi mgeni humu jukwaani, naweza nikakurupuka nikaramba garasa, mimi nimezoea wapika urojo na mahanjumati ya pwani, maji ya kuoga lazima yaekwe karafuu na binzari. Eti mrembo by nature/mamndenyi wayaweza?.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom