Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,140
- Thread starter
- #61
Filipo hivi hujui marejesho yuko in touch na Ben Saanane? kwani siri? hata Preta anajua.Kosa ulilofanya kumshauri aende ikulu na wake za watu! Na kosa kubwa kuliko yote ni kumtaja mke wangu kwenye hiyo list. Kosa kubwa sana!!!
This is the last warning! Mke wangu marejesho ni mjamzito na hahitaji usumbufu wa aina yeyote kwa sasa!!!
Last edited by a moderator: