barua ya wazi kwa ben saanane

barua ya wazi kwa ben saanane

okey nishaanza kuelewa....tutapata njia mbadala tuu

mkuu 123Kape leo ndo mara yako ya kwanza kuingia jumba hili la kifahari? naona umeingia kwa mkwara na matusi juu,kulikoni? huko mnako vinjari wengine yalikuwa ndo maskani yetu miaka ya 2008/9 na kwa sababu njema tu tulihama huko.
kopi: Field Marshall ES ( 123Kape wamjua huyu? au unamjua MWANAKIjiji tu?)
 
Last edited by a moderator:
kwani mie ndo ninasema hayo.. wanagombana hapa kila siku hawa watoto wa kike.. jinalo haliishi kutajwa..


Sasa mimi sijui nina nini bana ngoja nikaogee maji ya bahari kabisa niondoe gundu
Au njoo kwangu sosoliso nikupe mbinu za kuwapata na nikupe dada yangu mmoja Nivea ananisumbua
 
Last edited by a moderator:
na wewe mdai sugu............kutwa kudai vishillingi tano...?!?!? mwanaume madeni banaa!!!

heee umepotea na ukanipotezea!!! Endelea!!!
Paloma una akili sana wewe.
 
Last edited by a moderator:
signature yako na kicheko chako hapo juu inadhihirisha ulivyo...unaishi kwa kutegemea smile na vicheko vya kinafiki...unaamini sana katika smile wewe,unacheka visivyochekesha inajustfy kuwa unapenda sana ofa wewe au kahaba maaan unajichekesha kama bar maid aliyeona wallet nene ya mteja bar,unajichekesha tuu hapa,
haya mabwana zako washaona

aisee.......bani njo....bani njoo.......bani njooooo....tunaitana malaya mara hii.....mmmmhhhhh unamfahamu aunt bilali?
 
Back
Top Bottom