Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,871
- 6,468
- Thread starter
- #121
Malcom X
Malcom x, Waarabu walimfanya kama chambo ya kisiasa kuwa win black Americans ndyo maana wakamfanyia ukarimu wote huo. Ukweli uliobainika baada ya mambo yote kuwa mtandaoni ni kuwa Quran inawaweka Watu weusi na wanawake kuwa Watumwa na zaidi kuwa watu weusi sehemu yao ni motoni sawa na Shetani. Cha zaidi scholars wa Kiislamu walikomelea msumari kwa kuwataja kabisa watu weusi-Zenjiba kuwa ni watumwaNdiyo tatizo la sisi ngozi nyeusi tunatapatapa sana ina maana huko uarabuni hakuna ubaguzi? Mbona walivyo tuletea dini zao walitufanya watumwa na kutuuza kama nazi.sasa jamaa kaenda kule tu akapewa kalimati na kachori akasahau matatizo yake yote.
Mi namuonaga tu kama snitch.
Tunajifunza nn mkuu????? Kama waafrika wabantu??????? Tuache imani za babu zetu na majina ya kibantu na tufuate utamaduni wa kiarabu???????Malcolm X au (Al-Hajj Malik El-Shabazz) huyu wengi wetu tunamjua wengineo wakimwiga na kufata matendo yake, na itikadi zake. Huyu mmarekani mweusi ambaye Alisiliimu na kuitwa jina maliki el shaabaz
Baada ya kufika MAKKA kama ilivyo amri hii kwenye vitabu vya dini ya kiislamu ni nguzo moja kati ya nguzo zinazojenga uislamu kuhiji makka , kwa mwenye uwezo.
Naye alilitimiza hili na ndani ya ibada hii akapata kuandika aliyojifunza na kuyapata huko 1964, huko alipata kuandika Barua juu ya aliyojifunza na kushuhudia huko
Barua yake aliyoiandika kutoka kwa Makka alipokuwa Hija Makkah, al-Hajj Malik El-Shabazz aliandika barua kwa wasaidizi wake waaminifu wa Harlem ...
View attachment 1711213
Na haya ni baadhi ya yaliyoandikwa katika
Barua ipo kama ifuatavyo
"Kamwe sikuwahi kushuhudia, Ukarimu wa dhati wa namna ile Na roho ya ukweli ya undugu ambao umefanywa na watu wa Rangi zote, Katika mji huu mkongwe na mtakatifu, Nyumbani kwa Ibrahim ,Muhammad na mitume wote , waliotajwa katika maandiko matukufu.
"Kwa wiki iliyopita nimekuwa kimya kutafakari , huku nikishuhudia neema ambayo nimeioona imeonyeshwa kila mahali na watu wa rangi zote"
"Nimepata bahati ya kutembelea mji mtukufu wa makka, nmekamilisha mizunguko yangu saba kuizunguka Al kaaba, nikiongozwa na kijana mdogo aitwaye Muhammad, Nmekunywa Maji kutoka katika visima vya ZamZam"
Nilikimbia mara saba nyuma kwenye vilima vya Safa na Marwah. Nikaswali na kuomba katika mji mtukufu wa kale wa Mina, na nikaswali juu ya Mlima Arafat.
" Kulikuwa na makumi na maelfu ya mahujaji, kutoka duniani kote. Walikuwa wa rangi zote, weupe kwa Waafrika wenye rangi nyeusi.
Lakini sisi wote tulishiriki katika ibada hiyo hiyo, tukiwa na roho ya umoja na udugu
kwamba katika uzoefu wangu wote nlipoishi huko Amerika uliniongoza kuamini haiwezekanii kuwepo mchanganyiko kati ya nyeupe na isiyo nyeupe.
" Amerika inahitaji kuuelewa Uislamu, kwa sababu hii ni dini ambayo inapinga na kuondoa katika jamii yake tatizo la utaifa. Katika safari zangu katika ulimwengu wa Kiislamu, nimekutana, nimezungumza na hata kula pamoja na watu ambao huko Amerika wangechukuliwa kama ni weupe lakini mtazamo wa rangi uliondolewa kwenye mawazo yao na dini ya Uislam"
"Sijawahi kuona udugu wa kweli uliofanywa na rangi zote pamoja, bila kujali rangi yao. "
Unaweza kushangazwa na maneno haya yanayotoka kwangu. Lakini juu ya safari hii, yale niliyoyaona, na uzoefu wangu, vimenifanya tena niweke upya mawazo yangu iyokuwa nayo hapo awali, na kutupa kando baadhi ya fikra za awali.
Hii haikuwa vigumu sana kwangu. Licha ya imani yangu imara, sikuzote nimekuwa mtu ambaye anajaribu kukabiliana na ukweli, na kukubali ukweli wa maisha kwa kupokea mafunzo mapya na ujuzi mpya unaomfumbua mtu.
Nimekuwa na akili ya wazi, ambayo ni muhimu inapaswa kwenda nayo pamoja ili kutafuta kubadilika.
"Katika siku kumi na moja hapa katika ulimwengu wa Kiislam, nimekula kwenye sahani , na kunywa katika kikombe kimoja, na kulala katika sakafu moja, huku tukimuabudu Mungu mmoja na waislamu wenzangu Weupe,
Nilihisi kuwa na uaminifu nilihisi kati ya Waislamu wa Afrika wa Nigeria, Sudan na hata Ghana. "
Tulikuwa ndugu kwa sababu imani yao katika Mungu mmoja iliondoa matabaka ya Rangi.
Niliweza kuona kutokana na hili, labda Wamarekani wazungu wanaweza kukubali Mungu mmoja basi labda, pia, wangeweza kukubali kwa kweli umoja katika Ubinadamu - na kusitisha ubaguzi, na kuzuia, na kuwadhuru wengine kwa suala la 'tofauti' zao katika rangi
Kwa ubaguzi , marekani ni sawa na Cancer isiyoponyeka, waamerika weupe wanapaswa kuopokea suluhisho
Labda inaweza kuokoa Amerika kutokana na maafa ya karibu ,uharibifu kama huo uliiletea Ujerumani Shida juu ya ubaguzi wa rangi ambao hatimaye ukawaangamiza Wajerumani wenyewe.
"Kila saa hapa katika Nchi Takatifu inaniwezesha kuwa na ufahamu mkubwa wa kiroho katika kile kinachotokea Amerika kati ya weusi na weupe.
Negro wa Marekani hawezi kuhukumiwa kwa chuki za kibaguzi- anajaribu kupinga miaka mia nne ya ubaguzi wa rangi wa wazungu wa Marekani. Lakini kama ubaguzi wa rangi unaongoza Amerika juu ya njia ya kujidhuru
Naamini, kutokana na uzoefu ambao nimekuwa nao, wazungu hawa kizazi cha vijana, katika vyuo vikuu na mashuleni wataona maandiko juu ya kuta na wengi wao watageuka njia ya kiroho na kufuata haki ya kweli
Kamwe sijawahi kuheshimiwa sana namna hii
Kamwe sijawahi kufanywa kujisikia mnyenyekevu zaidi.
Nani angeamini baraka ambazo zimefanywa juu ya mtu mweusi wa Amerika?
Siku chache zilizopita, mtu ambaye huko marekani angeitwa mzungu au mwanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa, balozi, au rafiki wa wafalme,yeye alinipa hoteli yake, na kitanda chake.
Kamwe nisingeweza hata kufikiria au kuota kwamba ningewahi kuwa mpokeaji wa heshima kama hizo - heshima ambazo huko Amerika zitapewa Mfalme , mtu mweupe na- sio mtu mweusi"
Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote.
(kutoka kwa Autobiography ya Malcolm X kwa msaada kutoka kwa Alex Haley, mwandishi wa ROOTS)
Malcolm X alifundisha mengi na kuona Mengi
Nyuzi hii ni baadhi ya yaliyoandikwa kwenye barua hio
UKIACHANA NA UDINI KUNA LA KUJIFUNZA hapa
DA VINCI XV
Mkuu ebu fafanuaMalcom x, Waarabu walimfanya kama chambo ya kisiasa kuwa win black Americans ndyo maana wakamfanyia ukarimu wote huo. Ukweli uliobainika baada ya mambo yote kuwa mtandaoni ni kuwa Quran inawaweka Watu weusi na wanawake kuwa Watumwa na zaidi kuwa watu weusi sehemu yao ni motoni sawa na Shetani. Cha zaidi scholars wa Kiislamu walikomelea msumari kwa kuwataja kabisa watu weusi-Zenjiba kuwa ni watumwa
Hip pop community imemkataa malcom x sababu alikua anatugawa waafrika kwa msingi ya kidini yeye na Elijah Muhammad na Martin Luther King jr.Malcolm X au (Al-Hajj Malik El-Shabazz) huyu wengi wetu tunamjua wengineo wakimwiga na kufata matendo yake, na itikadi zake. Huyu mmarekani mweusi ambaye Alisiliimu na kuitwa jina maliki el shaabaz
Baada ya kufika MAKKA kama ilivyo amri hii kwenye vitabu vya dini ya kiislamu ni nguzo moja kati ya nguzo zinazojenga uislamu kuhiji makka , kwa mwenye uwezo.
Naye alilitimiza hili na ndani ya ibada hii akapata kuandika aliyojifunza na kuyapata huko 1964, huko alipata kuandika Barua juu ya aliyojifunza na kushuhudia huko
Barua yake aliyoiandika kutoka kwa Makka alipokuwa Hija Makkah, al-Hajj Malik El-Shabazz aliandika barua kwa wasaidizi wake waaminifu wa Harlem ...
View attachment 1711213
Na haya ni baadhi ya yaliyoandikwa katika
Barua ipo kama ifuatavyo
"Kamwe sikuwahi kushuhudia, Ukarimu wa dhati wa namna ile Na roho ya ukweli ya undugu ambao umefanywa na watu wa Rangi zote, Katika mji huu mkongwe na mtakatifu, Nyumbani kwa Ibrahim ,Muhammad na mitume wote , waliotajwa katika maandiko matukufu.
"Kwa wiki iliyopita nimekuwa kimya kutafakari , huku nikishuhudia neema ambayo nimeioona imeonyeshwa kila mahali na watu wa rangi zote"
"Nimepata bahati ya kutembelea mji mtukufu wa makka, nmekamilisha mizunguko yangu saba kuizunguka Al kaaba, nikiongozwa na kijana mdogo aitwaye Muhammad, Nmekunywa Maji kutoka katika visima vya ZamZam"
Nilikimbia mara saba nyuma kwenye vilima vya Safa na Marwah. Nikaswali na kuomba katika mji mtukufu wa kale wa Mina, na nikaswali juu ya Mlima Arafat.
" Kulikuwa na makumi na maelfu ya mahujaji, kutoka duniani kote. Walikuwa wa rangi zote, weupe kwa Waafrika wenye rangi nyeusi.
Lakini sisi wote tulishiriki katika ibada hiyo hiyo, tukiwa na roho ya umoja na udugu
kwamba katika uzoefu wangu wote nlipoishi huko Amerika uliniongoza kuamini haiwezekanii kuwepo mchanganyiko kati ya nyeupe na isiyo nyeupe.
" Amerika inahitaji kuuelewa Uislamu, kwa sababu hii ni dini ambayo inapinga na kuondoa katika jamii yake tatizo la utaifa. Katika safari zangu katika ulimwengu wa Kiislamu, nimekutana, nimezungumza na hata kula pamoja na watu ambao huko Amerika wangechukuliwa kama ni weupe lakini mtazamo wa rangi uliondolewa kwenye mawazo yao na dini ya Uislam"
"Sijawahi kuona udugu wa kweli uliofanywa na rangi zote pamoja, bila kujali rangi yao. "
Unaweza kushangazwa na maneno haya yanayotoka kwangu. Lakini juu ya safari hii, yale niliyoyaona, na uzoefu wangu, vimenifanya tena niweke upya mawazo yangu iyokuwa nayo hapo awali, na kutupa kando baadhi ya fikra za awali.
Hii haikuwa vigumu sana kwangu. Licha ya imani yangu imara, sikuzote nimekuwa mtu ambaye anajaribu kukabiliana na ukweli, na kukubali ukweli wa maisha kwa kupokea mafunzo mapya na ujuzi mpya unaomfumbua mtu.
Nimekuwa na akili ya wazi, ambayo ni muhimu inapaswa kwenda nayo pamoja ili kutafuta kubadilika.
"Katika siku kumi na moja hapa katika ulimwengu wa Kiislam, nimekula kwenye sahani , na kunywa katika kikombe kimoja, na kulala katika sakafu moja, huku tukimuabudu Mungu mmoja na waislamu wenzangu Weupe,
Nilihisi kuwa na uaminifu nilihisi kati ya Waislamu wa Afrika wa Nigeria, Sudan na hata Ghana. "
Tulikuwa ndugu kwa sababu imani yao katika Mungu mmoja iliondoa matabaka ya Rangi.
Niliweza kuona kutokana na hili, labda Wamarekani wazungu wanaweza kukubali Mungu mmoja basi labda, pia, wangeweza kukubali kwa kweli umoja katika Ubinadamu - na kusitisha ubaguzi, na kuzuia, na kuwadhuru wengine kwa suala la 'tofauti' zao katika rangi
Kwa ubaguzi , marekani ni sawa na Cancer isiyoponyeka, waamerika weupe wanapaswa kuopokea suluhisho
Labda inaweza kuokoa Amerika kutokana na maafa ya karibu ,uharibifu kama huo uliiletea Ujerumani Shida juu ya ubaguzi wa rangi ambao hatimaye ukawaangamiza Wajerumani wenyewe.
"Kila saa hapa katika Nchi Takatifu inaniwezesha kuwa na ufahamu mkubwa wa kiroho katika kile kinachotokea Amerika kati ya weusi na weupe.
Negro wa Marekani hawezi kuhukumiwa kwa chuki za kibaguzi- anajaribu kupinga miaka mia nne ya ubaguzi wa rangi wa wazungu wa Marekani. Lakini kama ubaguzi wa rangi unaongoza Amerika juu ya njia ya kujidhuru
Naamini, kutokana na uzoefu ambao nimekuwa nao, wazungu hawa kizazi cha vijana, katika vyuo vikuu na mashuleni wataona maandiko juu ya kuta na wengi wao watageuka njia ya kiroho na kufuata haki ya kweli
Kamwe sijawahi kuheshimiwa sana namna hii
Kamwe sijawahi kufanywa kujisikia mnyenyekevu zaidi.
Nani angeamini baraka ambazo zimefanywa juu ya mtu mweusi wa Amerika?
Siku chache zilizopita, mtu ambaye huko marekani angeitwa mzungu au mwanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa, balozi, au rafiki wa wafalme,yeye alinipa hoteli yake, na kitanda chake.
Kamwe nisingeweza hata kufikiria au kuota kwamba ningewahi kuwa mpokeaji wa heshima kama hizo - heshima ambazo huko Amerika zitapewa Mfalme , mtu mweupe na- sio mtu mweusi"
Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote.
(kutoka kwa Autobiography ya Malcolm X kwa msaada kutoka kwa Alex Haley, mwandishi wa ROOTS)
Malcolm X alifundisha mengi na kuona Mengi
Nyuzi hii ni baadhi ya yaliyoandikwa kwenye barua hio
UKIACHANA NA UDINI KUNA LA KUJIFUNZA hapa
DA VINCI XV
Mkuu malcom alikua kibaraka wa wasaudi na ajenda yao ya kikoloni ya kuwafanya african american waache uafrika na tamaduni za kibantu na dini zetu za asili na waanze kufuata tamaduni za kiarabu na dini za kiarabu.
Mkuu ebu fafanua
Nelson some hiyo Hadith. Kwamba Allah alipiga bega la kushoto wakatoka wana- white ambao wataenda mbinguni; bega la kushoto, wana- weusi ambao wataenda motoni
Hayo hapa chini ni maoni ya wanazuoni mashuhuri wa Kiislamu ktk Karne za 14 ikiwa ni miaka mingi hata kabla ya watumwa waliopelekwa US.Mkuu ebu fafanua
Mkuu ebu fafanua
Mkuu kwahiyo huo ndio mtazamo wa waarabu????Nelson some hiyo Hadith. Kwamba Allah alipiga bega la kushoto wakatoka wana- white ambao wataenda mbinguni; bega la kushoto, wana- weusi ambao wataenda motoni
Aiseee,Tunajifunza nn mkuu????? Kama waafrika wabantu??????? Tuache imani za babu zetu na majina ya kibantu na tufuate utamaduni wa kiarabu???????
Kama wewe siyo mvivu sikiliza video clip yote kwa umakini
Ngoja nikutoe ushamba kidogoMalcom x, Waarabu walimfanya kama chambo ya kisiasa kuwa win black Americans ndyo maana wakamfanyia ukarimu wote huo. Ukweli uliobainika baada ya mambo yote kuwa mtandaoni ni kuwa Quran inawaweka Watu weusi na wanawake kuwa Watumwa na zaidi kuwa watu weusi sehemu yao ni motoni sawa na Shetani. Cha zaidi scholars wa Kiislamu walikomelea msumari kwa kuwataja kabisa watu weusi-Zenjiba kuwa ni watumwa
Kwani mkuu kipindi Malcom anaenda Saudia si ulikua unaishi kule? Au umesahau tenaMkuu ebu fafanua
Tuendelee na ulaji wa nguruwe, huyo Malcolm X ni maiti kwa sasa, hana jipya.
Ukweli ndio huo mkuu.Tuache mavazi yetu,tamaduni zetu,majina yetu,imani zetu na tufuate utamaduni wa kiarabuAiseee,