Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

Binadamu mwenye msimamo mkali sana dhidi ya wajinga.

Umeuliza mimi ni nani hadi nimpangie mtu awe muumini wa dini gani ni nini hiki umeandika hapa?

LOL! 😑

Ahahahaha! Pole sana mdogo wangu.

Hujui chochote kuhusu Malcom ni kheri ungekaa kimya.

Jesus Christ! Haufahamu chochote nje ya kuamini kwake juu ya dini kutoka kwenye upagani.

Ahamini 😢

Ni maoni yako

Christians don't depend on Muslims but Moslems depend on Christians!
Kuanzia kwenye maandiko hadi maisha ya kila siku!

Am sorry for this!

Ni wewe keep it up
Kwanza usiniite mdogo wako maana haujui umri wangu sahihi.

Pili jaribu kuheshimu mchango wa Malcom x katika kupigania watu weusi akiwemo ww hapo mpaka kufikia hatua ya kugharimu Manisha yake.

Tatu ww unakataa eti hauna chuki dhidi ya waislamu, lakini unajulikana sana hapa jf kwa kuharibu nyuzi za watu kwa post zako za udini na mara zote ni za kuwa shambulia waislamu na dini yao hata kama uzi hauhusiani na dini.

Jifunze kupunguza chuki maana ya hakika ya chuki ni upumbavu ulio vuka mipaka.

Dunia ya sasa tuna tegemeana sana maana ukienda hospital kutibiwa utatibiwa na daktari mwenye taaruma ya huo ugonjwa wako na si yule mnaye fuata imani moja.
Ukiwa na biashara yeyote tambua unahitaji wateja wote bila kujari imani zao ili biashara yako iendelee kuwepo.
 
Hivi lengo mama la hiyo dini ni nini mbona inaonekana iki hustle sana kupata waumini ambao ni eidha maarufu au wana ushawishi?

Sio watu maarufu tu! Bali yeyote yule wakiwemo na vingozi mbali mbali wa makanisa. Refer Imani petro,

Mwaka 1991, Estes alikuwa Muislam wakati alipotaka kumbadili Muislamu wa Misri kutoka katika Uislamu kuwa mkristo. Mkewe, baba yake, watoto na mama mkwe nao wakabadili dini kuwa Waislamu. Maelfu ya watu kusilimu yamesababishwa naye kwa nguvu za Mungu na ilishatokea aliweza kusilimisha watu wapatao 135 kwa mkupuo mmoja.
Nimesoma darasani katika elimu ya sekondari.
Umefanikiwa kupata elimu angalau ya kidato cha nne?

Hizo ni Propaganda za western dhidi ya waarabu. Nanyi wamewapata kweli kweli, mlivyo wepesi wa kuamini 😁 sasa mpaka watoto, wajukuu na vitukuu vyenu mmevipandikiza chuki dhidi ya waarabu. Lakini ukweli unajulikana.
 
Nenda hapo sudan leo hii. Utake kuoa mwarabu utapata jibu lake. Waarabu ni mashetan mkuu. Nimezunguka sana nchi zao sio watu wale.

Kwanza unakosea sana kuwaita mashetani, je walikufanya nini mpaka uwaite hivyo mkuu?

Swala la kuolewa usiende mbali hata hapa kwetu wanabaguana, mhaya kuolewa na msukuma, mchagga kwa mnyakyusa, mzaramo kwa mkurya, hata kama wapo but wachache mno.

kila mtu na hiari yake bwana, huwezi eti kuichukia jamii kisa mtu flani kagoma kuolewanae. huo ni ulimbukeni.
 
Tangu karne ya 15 hadi leo watumwa kutoka Africa wamekuwa wakipelekwa Uarabuni.

Enslaved Africans were sold in the towns of the Arab World. In 1416, al-Maqrizi told how pilgrims coming from Takrur (near the Senegal River) brought 1,700 slaves with them to Mecca. In North Africa, the main slave markets were in Morocco, Algiers, Tripoli and Cairo. Sales were held in public places or in souks.

Mimi kama muislamu nisiwe mnafiki wakuogopaogopa, na lazima niwe upande wao waarabu kwa hali yoyote ile napoona wanasemwa vibaya nami nipige kimya itakuwa sio vyema, nawapenda sana hawa ndugu zangu. Kwa maana nikiwachukia ilhali mimi ni muislamu mwenzao na Mtume wetu rehma na amani ziwe juu yake alikuwa ni mwarabu. Hivyo nikiwasema vibaya na kuwachukia waarabu kanakwamba nitakuwa nimemlenga pia Mtume Muhammad S.A.W. Sikatai Wapo baazi ya waislamu humu na hata nje ya jamiiforum wakiwachukia waarabu kwa kufuata upepo wenu enyi wagalatia, waislamu hawa wapo wapo tuu ilimradi mtu anaitwa mohamedi, salum lakini sio waumini wa kweli ila ni waislamu.



Mohamedy cadinaly
 
Kwa hiyo kama wao pia waliwafanyia binadamu wengine maovu wasisimwe kwa sababu ni ndugu zako na Mtume wako ametoka kwao? Unaelewa unachoandika au unaandika ilimradi tu!
Halafu kumchukia au kumhusudu mtu yeyote kwa sababu ya rangi ya ngozi yake ni wendawazimu kama wendawazimu mwingine wowote duniani.
Mimi kama muislamu nisiwe mnafiki wakuogopaogopa, na lazima niwe upande wao waarabu kwa hali yoyote ile napoona wanasemwa vibaya nami nipige kimya itakuwa sio vyema, nawapenda sana hawa ndugu zangu. Kwa maana nikiwachukia ilhali mimi ni muislamu mwenzao na Mtume wetu rehma na amani ziwe juu yake alikuwa ni mwarabu. Hivyo nikiwasema vibaya na kuwachukia waarabu kanakwamba nitakuwa nimemlenga pia Mtume Muhammad S.A.W. Sikatai Wapo baazi ya waislamu humu na hata nje ya jamiiforum wakiwachukia waarabu kwa kufuata upepo wenu enyi wagalatia, waislamu hawa wapo wapo tuu ilimradi mtu anaitwa mohamedi, salum lakini sio waumini wa kweli ila ni waislamu.



Mohamedy cadinaly
 
Kwa hiyo kama wao pia waliwafanyia binadamu wengine maovu wasisimwe kwa sababu ni ndugu zako na Mtume wako ametoka kwao? Unaelewa unachoandika au unaandika ilimradi tu!
Halafu kumchukia au kumhusudu mtu yeyote kwa sababu ya rangi ya ngozi yake ni wendawazimu kama wendawazimu mwingine wowote duniani.

Je una ushahidi gani unaoonyesha wakifanya unyama huo? Kama wewe ni kidume kweli, weka ushahidi hapa acha bla bla
 
Malkom anajitekenya halafu hacheki. Afufuke aje aone ndugu zetu wanavyifanywa huko Arabuni. Au apewe kitabu cha historia ya utumwa atawaheshimu hao wazungu ambao waliruhusu weusi kuzaa na binti zao. Arabuni ilikuwa tofauti
 
Kwanza usiniite mdogo wako maana haujui umri wangu sahihi.

Pili jaribu kuheshimu mchango wa Malcom x katika kupigania watu weusi akiwemo ww hapo mpaka kufikia hatua ya kugharimu Manisha yake.

Tatu ww unakataa eti hauna chuki dhidi ya waislamu, lakini unajulikana sana hapa jf kwa kuharibu nyuzi za watu kwa post zako za udini na mara zote ni za kuwa shambulia waislamu na dini yao hata kama uzi hauhusiani na dini.

Jifunze kupunguza chuki maana ya hakika ya chuki ni upumbavu ulio vuka mipaka.

Dunia ya sasa tuna tegemeana sana maana ukienda hospital kutibiwa utatibiwa na daktari mwenye taaruma ya huo ugonjwa wako na si yule mnaye fuata imani moja.
Ukiwa na biashara yeyote tambua unahitaji wateja wote bila kujari imani zao ili biashara yako iendelee kuwepo.
Asante kwa mchango
 
Malkom anajitekenya halafu hacheki. Afufuke aje aone ndugu zetu wanavyifanywa huko Arabuni. Au apewe kitabu cha historia ya utumwa atawaheshimu hao wazungu ambao waliruhusu weusi kuzaa na binti zao. Arabuni ilikuwa tofauti
Malcom hajamsifia mwarabu lakini kumbuka...
 
Ndo maana Martin Luther King anabaki kuwa mtu muhimu Sana American.

Usiniulize Ni kwanini Rudi kuisoma hio barua utaelewa tu
 
Malcolm X au (Al-Hajj Malik El-Shabazz) huyu wengi wetu tunamjua wengineo wakimwiga na kufata matendo yake, na itikadi zake. Huyu mmarekani mweusi ambaye Alisiliimu na kuitwa jina maliki el shaabaz

Baada ya kufika MAKKA kama ilivyo amri hii kwenye vitabu vya dini ya kiislamu ni nguzo moja kati ya nguzo zinazojenga uislamu kuhiji makka , kwa mwenye uwezo.

Naye alilitimiza hili na ndani ya ibada hii akapata kuandika aliyojifunza na kuyapata huko 1964, huko alipata kuandika Barua juu ya aliyojifunza na kushuhudia huko

Barua yake aliyoiandika kutoka kwa Makka alipokuwa Hija Makkah, al-Hajj Malik El-Shabazz aliandika barua kwa wasaidizi wake waaminifu wa Harlem ...
View attachment 1711213

Na haya ni baadhi ya yaliyoandikwa katika

Barua ipo kama ifuatavyo

"Kamwe sikuwahi kushuhudia, Ukarimu wa dhati wa namna ile Na roho ya ukweli ya undugu ambao umefanywa na watu wa Rangi zote, Katika mji huu mkongwe na mtakatifu, Nyumbani kwa Ibrahim ,Muhammad na mitume wote , waliotajwa katika maandiko matukufu.

"Kwa wiki iliyopita nimekuwa kimya kutafakari , huku nikishuhudia neema ambayo nimeioona imeonyeshwa kila mahali na watu wa rangi zote"

"Nimepata bahati ya kutembelea mji mtukufu wa makka, nmekamilisha mizunguko yangu saba kuizunguka Al kaaba, nikiongozwa na kijana mdogo aitwaye Muhammad, Nmekunywa Maji kutoka katika visima vya ZamZam"

Nilikimbia mara saba nyuma kwenye vilima vya Safa na Marwah. Nikaswali na kuomba katika mji mtukufu wa kale wa Mina, na nikaswali juu ya Mlima Arafat.

" Kulikuwa na makumi na maelfu ya mahujaji, kutoka duniani kote. Walikuwa wa rangi zote, weupe kwa Waafrika wenye rangi nyeusi.
Lakini sisi wote tulishiriki katika ibada hiyo hiyo, tukiwa na roho ya umoja na udugu

kwamba katika uzoefu wangu wote nlipoishi huko Amerika uliniongoza kuamini haiwezekanii kuwepo mchanganyiko kati ya nyeupe na isiyo nyeupe.

" Amerika inahitaji kuuelewa Uislamu, kwa sababu hii ni dini ambayo inapinga na kuondoa katika jamii yake tatizo la utaifa. Katika safari zangu katika ulimwengu wa Kiislamu, nimekutana, nimezungumza na hata kula pamoja na watu ambao huko Amerika wangechukuliwa kama ni weupe lakini mtazamo wa rangi uliondolewa kwenye mawazo yao na dini ya Uislam"

"Sijawahi kuona udugu wa kweli uliofanywa na rangi zote pamoja, bila kujali rangi yao. "

Unaweza kushangazwa na maneno haya yanayotoka kwangu. Lakini juu ya safari hii, yale niliyoyaona, na uzoefu wangu, vimenifanya tena niweke upya mawazo yangu iyokuwa nayo hapo awali, na kutupa kando baadhi ya fikra za awali.

Hii haikuwa vigumu sana kwangu. Licha ya imani yangu imara, sikuzote nimekuwa mtu ambaye anajaribu kukabiliana na ukweli, na kukubali ukweli wa maisha kwa kupokea mafunzo mapya na ujuzi mpya unaomfumbua mtu.

Nimekuwa na akili ya wazi, ambayo ni muhimu inapaswa kwenda nayo pamoja ili kutafuta kubadilika.

"Katika siku kumi na moja hapa katika ulimwengu wa Kiislam, nimekula kwenye sahani , na kunywa katika kikombe kimoja, na kulala katika sakafu moja, huku tukimuabudu Mungu mmoja na waislamu wenzangu Weupe,
Nilihisi kuwa na uaminifu nilihisi kati ya Waislamu wa Afrika wa Nigeria, Sudan na hata Ghana. "

Tulikuwa ndugu kwa sababu imani yao katika Mungu mmoja iliondoa matabaka ya Rangi.


Niliweza kuona kutokana na hili, labda Wamarekani wazungu wanaweza kukubali Mungu mmoja basi labda, pia, wangeweza kukubali kwa kweli umoja katika Ubinadamu - na kusitisha ubaguzi, na kuzuia, na kuwadhuru wengine kwa suala la 'tofauti' zao katika rangi

Kwa ubaguzi , marekani ni sawa na Cancer isiyoponyeka, waamerika weupe wanapaswa kuopokea suluhisho

Labda inaweza kuokoa Amerika kutokana na maafa ya karibu ,uharibifu kama huo uliiletea Ujerumani Shida juu ya ubaguzi wa rangi ambao hatimaye ukawaangamiza Wajerumani wenyewe.

"Kila saa hapa katika Nchi Takatifu inaniwezesha kuwa na ufahamu mkubwa wa kiroho katika kile kinachotokea Amerika kati ya weusi na weupe.

Negro wa Marekani hawezi kuhukumiwa kwa chuki za kibaguzi- anajaribu kupinga miaka mia nne ya ubaguzi wa rangi wa wazungu wa Marekani. Lakini kama ubaguzi wa rangi unaongoza Amerika juu ya njia ya kujidhuru

Naamini, kutokana na uzoefu ambao nimekuwa nao, wazungu hawa kizazi cha vijana, katika vyuo vikuu na mashuleni wataona maandiko juu ya kuta na wengi wao watageuka njia ya kiroho na kufuata haki ya kweli

Kamwe sijawahi kuheshimiwa sana namna hii

Kamwe sijawahi kufanywa kujisikia mnyenyekevu zaidi.

Nani angeamini baraka ambazo zimefanywa juu ya mtu mweusi wa Amerika?

Siku chache zilizopita, mtu ambaye huko marekani angeitwa mzungu au mwanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa, balozi, au rafiki wa wafalme,yeye alinipa hoteli yake, na kitanda chake.

Kamwe nisingeweza hata kufikiria au kuota kwamba ningewahi kuwa mpokeaji wa heshima kama hizo - heshima ambazo huko Amerika zitapewa Mfalme , mtu mweupe na- sio mtu mweusi"

Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote.







(kutoka kwa Autobiography ya Malcolm X kwa msaada kutoka kwa Alex Haley, mwandishi wa ROOTS)

Malcolm X alifundisha mengi na kuona Mengi

Nyuzi hii ni baadhi ya yaliyoandikwa kwenye barua hio

UKIACHANA NA UDINI KUNA LA KUJIFUNZA hapa






DA VINCI XV
Aisee!
 
Nlishindwa kusoma kitabu cha biograph ya Malcom X Kwasababu ya ubize wangu ila nliskiliza lecture ya jamaa mmarekani anayeishi Uingereza ambaye nae ni muhanga wa ubaguzi wa weusi Marekani anaitwa ABUU USAMAH AT-THAHABI imamu mkuu wa msikiti wa Barmingham, ambaye kwenye hiyo lecture anaelezea harakati na maisha ya X mpaka alivyoslimu kuingia kwenye uislam aisee ni so impressive
ntaitafuta hiyo
 
Nilikuelewa sana mkuu,,

Lakini ile point yako uliposema mwisho ni review kama kina make sense,,

Maana yake niliyoandika haya make sense..

Unajuwa ktk sentence yeyeto,,neno moja linaweza likaharibu maana nzima..

Hapo kama una make sense ndy tatizo lilipoanzia.
maisha ya saudia vipi huko baharia?
 
Back
Top Bottom