Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

Ngoja nikutoe ushamba kidogo
1. ukienda Mecca sio majority Waarabu, ni sehemu ambayo mamilioni ya watu wanatembelea, na Malcom alikutana na Race zote, including wazungu na wengineo, Ameshazoea Treatment ya Wazungu America akifika kule anakutana na watu wa Albania, Bosnia, ambao ni Blonde na Blue Eyes ila wanajishusha mbele ya Mwenyez Mungu.

2. Hio Serikali ya Saudia ni mshirika Mzuri tu wa Marekani na nchi za Magharibi wanapata Faida gani kuisaliti Usa over Malcom? Na Malcom amezungumzia Uisilamu na sio Serikali ya Saudia

3. Hayo mengine ya Quran na watu weusi umeyaongea wewe hayapo, Uisilamu ndio dini pekee ambayo imeongelea Direct suala la ubaguzi wa rangi.

- Hotuba ya mtume ya kuaga kabla ya kufariki Wosia wake mkubwa aliowaachia waisilamu ni kutobaguana, anasema

"All mankind is from Adam and Eve, an Arab has no superiority over a non-Arab nor a non-Arab has any superiority over an Arab; also a White has no superiority over a Black nor a Black has any superiority over a White except by piety and good action. Learn that every Muslim is a brother to every Muslim and that the Muslims constitute one brotherhood. Nothing shall be legitimate to a Muslim which belongs to a fellow Muslim unless it was given freely and willingly."

Hapo Mtume wetu (S. A. W) anaelezea Mwarabu sio bora kwa asiekuwa mwarabu na asiekua mwarabu sio bora kwa mwarabu, mtu mweupe sio bora kwa mtu mweusi na mtu mweusi sio bora kwa mweupe, binadamu wote ni sawa na tumetoka kwa Adam na Hawa.

Si tu Hapo, Kwenye Quran kuna Sura specific inaitwa Luqman ambayo Mwenyez Mungu (s.w) anamsifia huyo mtu kwa Busara na Hekima zake, ni watu wachache sana kwenye Quran waliotajwa ambao sio mitume, huyu mmoja wapo na Makazi yake ilikua ni Easf Africa pengine Ethiopia ya sasa.

Hivyo hayo uliyosema sio kweli otherwise weka aya ama kitabu cha huyo Ulamaa.

Kuongezea Quran inasema mtu bora kabisa mbrle ya mwenyezimungu ni yule mchamungu.

Superiority mbele za Mungu ina rank kwa level yako ya uchamungu na sio rangi yako
 
Hamna kitu kama hichoo kwenye uislam ndo maana mekwambia unaandika na kuamini usivovijuaa mzee. Usijiokotee kila kituu na kukiamini
Ubishi na kujilipua ni jadi yenu, ndyo maana hata Quran inasema Allah na Malaika zake wanaswali kwa Mtume
 
Screenshot_20230424-221827.png
 
Hujui hata kiarabu unajiaibisha tu hapa, na Hio screenshot ya Quora mbona umeweka kichwa cha habari tu? Nina uhakika Kuna jibu hapo chini umelificha.

Wamisionary wengi wa kikristo mmekosa hoja mmbekani na hayo sijui ubishi sijui kujilipua na Hoja ambazo sio intellectual. Mnaendelea hivyo kila siku makanisa yanafungwa huko ulaya yanageuzwa misikiti. Mmebakia kashfa na vijembe hoja hakuna.

Rudini kusoma dini yenu vijembe havitawapeleka popote.
 
Hujui hata kiarabu unajiaibisha tu hapa, na Hio screenshot ya Quora mbona umeweka kichwa cha habari tu? Nina uhakika Kuna jibu hapo chini umelificha.

Wamisionary wengi wa kikristo mmekosa hoja mmbekani na hayo sijui ubishi sijui kujilipua na Hoja ambazo sio intellectual. Mnaendelea hivyo kila siku makanisa yanafungwa huko ulaya yanageuzwa misikiti. Mmebakia kashfa na vijembe hoja hakuna.

Rudini kusoma dini yenu vijembe havitawapeleka popote.
 
We hujawaelewa tu hao, wanamwita muhuni kwasbabu tu alikua muislam. Hao watu, kitu chcht kikiwa tu na uhusiano na uislam ndani yake basi kwao ni kibaya na wanakichukia mara moja. Na hata kama ni kweli wataiona uongo, chuki zao ni kubwa mno.
Upo sahii sahii mkuu,ila ni pia hata waislamu kitu chochote kinachousiana na ukrsto watadai uongo,pia chuki yao ni kubwa mno
 
Hizi trick za kitoto eti Kitabu cha kiisilamu kimeandikwa kama Biblia, Nyie jamaa mnachekesha sana. Hivi mmewahi hata kuona Quran ama Kitabu cha HADITHI muonekano wake?

1. HADITHI ya kiisilamu lazima iwe na Chain of narration hapo hakuna
2. Unasema imetoka Kitabu gani, mlango gani, hapo hakuna

Kifupi ni story kama story nyengine tu hizo.
Hivyo ni vitabu vya kufikirika mkuu,adithi na mapokeo ya simulizi za waarabu,waajemi,wayahudi and ect........Ni story kama story zingine mkuu
 
Kuongezea Quran inasema mtu bora kabisa mbrle ya mwenyezimungu ni yule mchamungu.

Superiority mbele za Mungu ina rank kwa level yako ya uchamungu na sio rangi yako
Kakae na waaarabu afu wewe ni zanji,ndio utajua mtu bora ni yupi mkuu???
 
Nadhani ni swala ambalo kwa mfatiliaji wa mambo yoyote duniani analijua

Nchi nyingi ambazo zina migogoro ambazo ni za Arabuni au waislamu wengi ukichimba deep down utakuta sio mgogoro asilia wa wakazi au wananchi bali ni Chuki mpandikizo kutoka kwa mabepari

Na ili uweze kuepukana na Adhma hiyo lazima ufuate kile bepari anataka Refer bashar al Assad pale Syria au Saddam Husain pale Iraq, Au muhammar Gaddafi pale libya

Soud na UAE zipo chini ya System ya utawala wa Kifalme, nchi nyingi kubwa kubwa tu zenye amani na kubwa Mfano Cannada Uingereza ...Sijaona udikteka wao

Acha mazoea ya kuandika mkuu
 
Pengine hata hujaelewa mkuu ,, angekuwa mpumbavu wala usinge muona akiambatana na Martin muda mwingi hao wote lao lilikuwa moja ...sina mashaka juu ya Malcom hata siku moja

Sera za malcom and luther hazikuendana. malcom alikuwa muhuni
 
Watumwa kutoka Africa waliopelekwa uarabuni waliishia wapi? Mbona katika mataifa ya kiarabu hakuna kizazi cha watu weusi ambacho kinatokana na watumwa waliopelekwa huko enzi za biashara ya utumwa?
Kwamba unataka kukataa waarabu hawakuhusika kwenye biashara ya watumwa?
Umewahi kwenda Bagamoyo Peani, Kilwa na Mikindani Mtwara ukaziona slave markets walizojenga waarabu?

BTW, wazungu na wahindi ni wabaguzi sana kuliko waarabu.
 
Malcolm X au (Al-Hajj Malik El-Shabazz) huyu wengi wetu tunamjua wengineo wakimwiga na kufata matendo yake, na itikadi zake. Huyu mmarekani mweusi ambaye Alisiliimu na kuitwa jina maliki el shaabaz

Baada ya kufika MAKKA kama ilivyo amri hii kwenye vitabu vya dini ya kiislamu ni nguzo moja kati ya nguzo zinazojenga uislamu kuhiji makka , kwa mwenye uwezo.

Naye alilitimiza hili na ndani ya ibada hii akapata kuandika aliyojifunza na kuyapata huko 1964, huko alipata kuandika Barua juu ya aliyojifunza na kushuhudia huko

Barua yake aliyoiandika kutoka kwa Makka alipokuwa Hija Makkah, al-Hajj Malik El-Shabazz aliandika barua kwa wasaidizi wake waaminifu wa Harlem ...
View attachment 1711213

Na haya ni baadhi ya yaliyoandikwa katika

Barua ipo kama ifuatavyo

"Kamwe sikuwahi kushuhudia, Ukarimu wa dhati wa namna ile Na roho ya ukweli ya undugu ambao umefanywa na watu wa Rangi zote, Katika mji huu mkongwe na mtakatifu, Nyumbani kwa Ibrahim ,Muhammad na mitume wote , waliotajwa katika maandiko matukufu.

"Kwa wiki iliyopita nimekuwa kimya kutafakari , huku nikishuhudia neema ambayo nimeioona imeonyeshwa kila mahali na watu wa rangi zote"

"Nimepata bahati ya kutembelea mji mtukufu wa makka, nmekamilisha mizunguko yangu saba kuizunguka Al kaaba, nikiongozwa na kijana mdogo aitwaye Muhammad, Nmekunywa Maji kutoka katika visima vya ZamZam"

Nilikimbia mara saba nyuma kwenye vilima vya Safa na Marwah. Nikaswali na kuomba katika mji mtukufu wa kale wa Mina, na nikaswali juu ya Mlima Arafat.

" Kulikuwa na makumi na maelfu ya mahujaji, kutoka duniani kote. Walikuwa wa rangi zote, weupe kwa Waafrika wenye rangi nyeusi.
Lakini sisi wote tulishiriki katika ibada hiyo hiyo, tukiwa na roho ya umoja na udugu

kwamba katika uzoefu wangu wote nlipoishi huko Amerika uliniongoza kuamini haiwezekanii kuwepo mchanganyiko kati ya nyeupe na isiyo nyeupe.

" Amerika inahitaji kuuelewa Uislamu, kwa sababu hii ni dini ambayo inapinga na kuondoa katika jamii yake tatizo la utaifa. Katika safari zangu katika ulimwengu wa Kiislamu, nimekutana, nimezungumza na hata kula pamoja na watu ambao huko Amerika wangechukuliwa kama ni weupe lakini mtazamo wa rangi uliondolewa kwenye mawazo yao na dini ya Uislam"

"Sijawahi kuona udugu wa kweli uliofanywa na rangi zote pamoja, bila kujali rangi yao. "

Unaweza kushangazwa na maneno haya yanayotoka kwangu. Lakini juu ya safari hii, yale niliyoyaona, na uzoefu wangu, vimenifanya tena niweke upya mawazo yangu iyokuwa nayo hapo awali, na kutupa kando baadhi ya fikra za awali.

Hii haikuwa vigumu sana kwangu. Licha ya imani yangu imara, sikuzote nimekuwa mtu ambaye anajaribu kukabiliana na ukweli, na kukubali ukweli wa maisha kwa kupokea mafunzo mapya na ujuzi mpya unaomfumbua mtu.

Nimekuwa na akili ya wazi, ambayo ni muhimu inapaswa kwenda nayo pamoja ili kutafuta kubadilika.

"Katika siku kumi na moja hapa katika ulimwengu wa Kiislam, nimekula kwenye sahani , na kunywa katika kikombe kimoja, na kulala katika sakafu moja, huku tukimuabudu Mungu mmoja na waislamu wenzangu Weupe,
Nilihisi kuwa na uaminifu nilihisi kati ya Waislamu wa Afrika wa Nigeria, Sudan na hata Ghana. "

Tulikuwa ndugu kwa sababu imani yao katika Mungu mmoja iliondoa matabaka ya Rangi.


Niliweza kuona kutokana na hili, labda Wamarekani wazungu wanaweza kukubali Mungu mmoja basi labda, pia, wangeweza kukubali kwa kweli umoja katika Ubinadamu - na kusitisha ubaguzi, na kuzuia, na kuwadhuru wengine kwa suala la 'tofauti' zao katika rangi

Kwa ubaguzi , marekani ni sawa na Cancer isiyoponyeka, waamerika weupe wanapaswa kuopokea suluhisho

Labda inaweza kuokoa Amerika kutokana na maafa ya karibu ,uharibifu kama huo uliiletea Ujerumani Shida juu ya ubaguzi wa rangi ambao hatimaye ukawaangamiza Wajerumani wenyewe.

"Kila saa hapa katika Nchi Takatifu inaniwezesha kuwa na ufahamu mkubwa wa kiroho katika kile kinachotokea Amerika kati ya weusi na weupe.

Negro wa Marekani hawezi kuhukumiwa kwa chuki za kibaguzi- anajaribu kupinga miaka mia nne ya ubaguzi wa rangi wa wazungu wa Marekani. Lakini kama ubaguzi wa rangi unaongoza Amerika juu ya njia ya kujidhuru

Naamini, kutokana na uzoefu ambao nimekuwa nao, wazungu hawa kizazi cha vijana, katika vyuo vikuu na mashuleni wataona maandiko juu ya kuta na wengi wao watageuka njia ya kiroho na kufuata haki ya kweli

Kamwe sijawahi kuheshimiwa sana namna hii

Kamwe sijawahi kufanywa kujisikia mnyenyekevu zaidi.

Nani angeamini baraka ambazo zimefanywa juu ya mtu mweusi wa Amerika?

Siku chache zilizopita, mtu ambaye huko marekani angeitwa mzungu au mwanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa, balozi, au rafiki wa wafalme,yeye alinipa hoteli yake, na kitanda chake.

Kamwe nisingeweza hata kufikiria au kuota kwamba ningewahi kuwa mpokeaji wa heshima kama hizo - heshima ambazo huko Amerika zitapewa Mfalme , mtu mweupe na- sio mtu mweusi"

Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote.







(kutoka kwa Autobiography ya Malcolm X kwa msaada kutoka kwa Alex Haley, mwandishi wa ROOTS)

Malcolm X alifundisha mengi na kuona Mengi

Nyuzi hii ni baadhi ya yaliyoandikwa kwenye barua hio

UKIACHANA NA UDINI KUNA LA KUJIFUNZA hapa






DA VINCI XV
Huyu jamaa Malcolm X me namwona km snitch Anazungumzia ubaguzi wa amerca hakujua zaidi ubaguzi unaofanywa na haya majibwa ya kiarabu asingethubutu kamwe kuandika waraka wake wenye muono wa namna hiyo anyway ndio maana wa marekani walimpasua bichwa lake mapema maana wapuzi km hawa huwahawachelewi kujitoa mhanga
 
Malcom X alikuwa ni mtu bora sana. Kila mtu mweusi anapaswa kumsoma Malcom X. Amemfundisha mtu mweusi kujipenda. Karibuni tafsiri ya kiswahili ya Outobiography yake itapatikana.
 
Malcom alizingua,eti manniga tuvae magauni ya kiume kama waarabu na wayahudi na tuache tamaduni za babu zetu tuufuate uarabu

Haswaaaa kama aliyoyavaa bwana Yesu na maaskofu wenu na papaaaa na viongozi wenu wa mgazi za juuu . Mdo yalikua mavazi ya mitume
 
Ubishi na kujilipua ni jadi yenu, ndyo maana hata Quran inasema Allah na Malaika zake wanaswali kwa Mtume

Mtu mzima unakosa baada ya kujibiwa hoja yako unaanza kuongea utopoloo
Ndo kawaida yenuu lakiniii
 
Back
Top Bottom