Tangu karne ya 15 hadi leo watumwa kutoka Africa wamekuwa wakipelekwa Uarabuni.
Enslaved Africans were sold in the towns of the Arab World. In 1416, al-Maqrizi told how pilgrims coming from Takrur (near the Senegal River) brought 1,700 slaves with them to Mecca. In North Africa, the main slave markets were in Morocco, Algiers, Tripoli and Cairo. Sales were held in public places or in souks.
Hilo la watumwa ni kweli mkuu...
Mimi nipo kwenye mji mmoja unaitwa Dammam Saudi Arabia,,
Kwa kweli nimesikitika sana,,
Airport nimeona wasichana wengi wa Africa,
, baadae nikaja kugunduwa ni kutoka Uganda,,
Visichana vya under 22 wapo kama 40 hivi..
Wakiwa na uniforms.
Mbaya zaidi ni pale walipokuwa wanatolewa airport,,
huku mmoja wa wale waarabu nadhani ndy Mwenye mtandao ule wa human trafficking,,
Akiwa anawachukuwa video wale mabinti,,,
mmoja baada ya mwingine wakati wa kuingia ndani ya gari..
Nadhani ni katika kuwahesabu na kuthibitisha idadi yao kamili.
Baadae gari ikawashwa na kutokomea na wale mabinti kusikojulikana.
Aisee,,nilisikitika sna,kuona kumbe bado waafrica tunauzwa..
Naipongeza sn serikali kwa kudhibiti human trafficking uarabuni..
Nilichogunduwa kingine ni kwamba Africa tunaaminishwa vibaya kuhusu hizi dini mbili,,
Islams,,na Christians,,
huku hawa jamaa ktk TV zao wanarusha hata mambo ya Christians,, ktk vipindi vyao..
Sisi Africa tumebaki kuzodoana na kupandikiza chuki ktk dini hizo..
Kwenye chimbuko la dini hawachukiani bali kila mmoja anaabudu anachokiamini ..
Waafrica tunapaswa tukatae.