Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,495
- 1,803
Hiyo pesa kama ipo bora muwalipe wakulima wakorosho mliowadhulumu korosho zao.
Hakuna anaedai Korosho kwa sasa, hakuna.
Hiyo pesa kama ipo bora muwalipe wakulima wakorosho mliowadhulumu korosho zao.
Hahaha HahahaHuyo wakuu wao walishamchoshaaa miaka ya nyuma.. kawakimbia.. amebaki ana mangamanga tu kwa aibu humu..
Ballick ?!
Huyo ni nani!!!
Upupwu gani huu unani quote mimi!!!..
Ebo.. uwe unaniita kwa ya wanawake walio na nondo.. wakitema maneno.. mtu unasema supab.. sio hao njaa njaaa.. kula.. kupata hagi tu tabu.. viwewe.. mnafaana huko huko..
Semeni Ccm mmekata pumzi hela hamna. Sasa mna taka kukwapua Barrick kwa style hiyo..
Wewe nani anakudanganya wakulima kibao hatujalipwa korosho zetu.Hakuna anaedai Korosho kwa sasa, hakuna.
Wa magari ya M4C ya Chadema uliishawahi kuwekwa wazi? Hata Lissu hana ubavu wa kuulizia!!!!Ujinga mtupu!Tunasikia mmesaini nao mikataba ya siri kinyume na sheria mliotunga wenyewe, alafu mnatulaghai na hiyo hela mbuzi!
Kwa kifupi,tunaomba mkataba uwekwe wazi.
Nilidhani imemkabidhi kumbe "ITAMKABIDHI"Barrick Gold Mining kumkabidhi Rais magufuli tsh100billion kama gawio kwa serikali Jumanne 13/10/2020 .mbele ya wanahabari na watanzania
Kama utakumbuka kuna wanasiasa uchwara na wanaharakati uchwara wanaojiona wanajua kila kitu aalipinga hili sasa serikali ya awamu ya tano inakimbiza uchumi kwa speeds kali
Kwa miaka kadhaa pesa hizi zilikuwa zinaliwa na watanzania wezi na kunufaika na familia zao lakini sasa pesa hizi zinakwenda kujenga nchi na kila mwanachadema,mwanacuf,ACT wananufaika kwa kazi nzuri za jpm na ccm yake .
Tunawaomba watanzania sasa akili zirudi tukubaliane kuwa huyu ni nabii
USSR
Chadema mshaurini mzee wa kusujudu mabeberu ahudhurie shughuli hiyo aone JPM anavyopaisha nchi hii.Barrick Gold Mining kumkabidhi Rais magufuli tsh100billion kama gawio kwa serikali Jumanne 13/10/2020 .mbele ya wanahabari na watanzania
Kama utakumbuka kuna wanasiasa uchwara na wanaharakati uchwara wanaojiona wanajua kila kitu aalipinga hili sasa serikali ya awamu ya tano inakimbiza uchumi kwa speeds kali
Kwa miaka kadhaa pesa hizi zilikuwa zinaliwa na watanzania wezi na kunufaika na familia zao lakini sasa pesa hizi zinakwenda kujenga nchi na kila mwanachadema,mwanacuf,ACT wananufaika kwa kazi nzuri za jpm na ccm yake .
Tunawaomba watanzania sasa akili zirudi tukubaliane kuwa huyu ni nabii
USSR
Mmeambiwa Raisi wenu ndo yuko darasa la kwanza mwaka huu, jiongezeNi wachache mnaonufaika na utawala wa CCM,Sisi wengine tarehe 28 ni mabadiliko tu,ni bora nimpe hata Rungwe kura yangu.
Haikuhusu jomba. Wewe hata huo mkataba hujui kuusoma sasa utakusaidia nini.achana nao..wewe lipa kodi ya biashara yako halali full stop. .wacha wanaume wapambane na vibaraka na mafisadi. .wataisoma namba sana mwaka huu..Tukutane tena 2025Ujinga mtupu!Tunasikia mmesaini nao mikataba ya siri kinyume na sheria mliotunga wenyewe, alafu mnatulaghai na hiyo hela mbuzi!
Kwa kifupi,tunaomba mkataba uwekwe wazi.
Acha kudanganya watu wewe..lete ushahidi...wa maneno yako...Serikali sawa inawezekana ilikuwa ikilipwa lakini kwa kiasi gani unajua.....na je ukilinganisha awali na sasa kuna mafanikio zaidi au hakuna.tuambie..asidhani watanzania ni wajinga kama unavyowazaKajifunze kuandika kwanza.
Serikali miaka yote imekuwa ikilipwa na makampuni ya madini, awamu hii siyo ya kwanza.
Mkawadanganye wajinga kama ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudanganya watu wewe..lete ushahidi...wa maneno yako...Serikali sawa inawezekana ilikuwa ikilipwa lakini kwa kiasi gani unajua.....na je ukilinganisha awali na sasa kuna mafanikio zaidi au hakuna.tuambie..asidhani watanzania ni wajinga kama unavyowaza