Nikuulize umeolewa?Watanzania wengi mazezeta tupu,hata kama wangegawa trion 1 kama gawio- hamna mtu anayejuwa hiyo mikataba ilikuwa vipi except JPM mwwnyewe Hamna taaisisi yyte ya serikali iliyo huru ambayo inaweza kuthibitisha.
Na hata zikipatikana bado hazina faida,maana matumizi yake atapanga JPM na watu wake kwenye vipaumbele ambavyo anavijua kwakw ndio sahihi.
Waafrika hatuna tofauti na makondoo.