Barrick Gold Mining itamkabidhi Rais Magufuli Tsh 100billion

..usd 191 billion ziko wapi?

..this is peanuts kulinganisha na kiasi ambacho tume zilidai acacia / barrick wametuibia.
 
..Jiwe amechukua ngapi, mpaka amelegea na kukubali kishika uchumba, badala ya madai ya awali ya usd 191 billion?

Wanalipa kwa awamu na fungu la kwanza lililipwa mwezi Mei mwaka huu.

Na hili fungu la pili laja hiyo Jumanne.

Baaada ya hapo watamalizia sehemu ilobakia maana hulipa kutokana na wao walichopata kwenye faida zao.

Fedha zote hizo zaenda hazina.

Hakuna 10% hapo wala kupiga kama ilivyokuwa huko nyuma pre 2015.
 
Unabii niliosikia ni kwamba Tanzania itakuwa kama ulaya, natumai kampeni za 2025 zitakuwa zinaongelea kupeleka vyombo kwenye anga za juu na mambo mengine, siyo maji, umeme, barabara, elimu nk.
 
Acha uhuni,kwani uwanja wa ndege Chato ni wa kuanikia mbute? Ni kwa ajili ya watanzania wote.
Juzi nilikuwa Chatto katika mkakati wa kuandaa mkutano wa kampeni za TAL nimekuta ule uwanja umekaa kihasarahasara sana yaani ni Aibu tupu
 
Wanalipa kwa awamu na fungu la kwanza lililipwa mwezi Mei mwaka huu.

Na hili fungu la pili laja hiyo Jumanne.

Baaada ya hapo watamalizia sehemu ilobakia maana hulipa kutokana na wao walichopata kwenye faida zao.

Fedha zote hizo zaenda hazina.

Hakuna 10% hapo wala kupiga kama ilivyokuwa huko nyuma pre 2015.

..kwa ulipaji huu itachukua miaka 600++ kumaliza deni la usd 191 billion.

..ndiyo maana wengine tunaamini kwamba Jiwe kachukua mlungula.
 
Tunataka Trilioni zetu 425 ambazo ACACIA a.k.a haohao Barrick walituibia kwa miaka mingi sana. Hivyo vijisenti vya bilion 100 kwetu sisi ni kiduchu kulinganisha na Trilion 425 ambazo ni sawa na Bilion 425000
 
A few weeks ago, gold was hovering over $2000 and it might hit another historically high in the world market again. I appreciate that Magufuli has done a lot for this country in a short time. Lakini kwenye ili bado safari yetu sio fupi!!!
 
Watanzania wengi mazezeta tupu,hata kama wangegawa trion 1 kama gawio- hamna mtu anayejuwa hiyo mikataba ilikuwa vipi except JPM mwwnyewe Hamna taaisisi yyte ya serikali iliyo huru ambayo inaweza kuthibitisha.

Na hata zikipatikana bado hazina faida,maana matumizi yake atapanga JPM na watu wake kwenye vipaumbele ambavyo anavijua kwakw ndio sahihi.

Waafrika hatuna tofauti na makondoo.
 
Barrick Gold Mining kumkabidhi Rais magufuli tsh100billion kama gawio kwa serikali Jumanne 13/10/2020 .mbele ya wanahabari na watanzania

Kama utakumbuka kuna wanasiasa uchwara na wanaharakati uchwara wanaojiona wanajua kila kitu aalipinga hili sasa serikali ya awamu ya tano inakimbiza uchumi kwa speeds kali

Kwa miaka kadhaa pesa hizi zilikuwa zinaliwa na watanzania wezi na kunufaika na familia zao lakini sasa pesa hizi zinakwenda kujenga nchi na kila mwanachadema,mwanacuf,ACT wananufaika kwa kazi nzuri za jpm na ccm yake .

Tunawaomba watanzania sasa akili zirudi tukubaliane kuwa huyu ni nabii


USSR
Sasa hapo cha kushangaza ni kipi ?
Makampuni yote amby ama yanaendeshwa na serikali ama yana ubia na serikali hiyo ni kawaida tu kila mwaka kuleta gawio.
Ila mzee wa challte alivyomshamba atataka aonekane kwenye luninga.
 
Mbowe anawafuga wote kama kuku
Hivi ni Chama kipi Mwenyekiti amewaweka Wanachama wote mfukoni kiasi kwamba hawawezi uliza lolote zaidi ya kusifu,kuabudu na mapambio??CCM- CHAMA CHA MAJAMBAZI😄😂🤣!
 
Watanzania wengi mazezeta tupu,hata kama wangegawa trion 1 kama gawio- hamna mtu anayejuwa hiyo mikataba ilikuwepo vipi except JPM mwwnyewe Hamna taaisisi yyte ya serikali iliyo huru ambayo inaweza kuthibitisha.

Na hata zikipatikana bado hazina faida,maana matumizi yake atapanga JPM na watu wake kwenye vipaumbele ambavyo anavijua kwakw ndio sahihi.

Waafrika hatuna tofauti na makondoo.
Well said.
Huu ni utawala wa kipuuzi Sana kuwahi kutokea hapa Tanzania.
Kwamba ati Rais ndiye Waziri wa Fedha, Mweka Hazina Mkuu wa Serikali na Mgawaji wa Pesa kwa kila Taasisi.
1. Hakuna any approved Budget.
2. Hakuna kufuata Taratibu za Manunuzi.
3. Rais anatembea kwenye Ziara anagawa fedha Kama njugu.
4. Hakuna issued Cheques wala receipts.
5. Hakuna Audit check wala Quary.

Si ajabu hata ile 1.5 Trilion iliyeyuka kiaina na CAG alipohoji akatimuliwa!!
 
Back
Top Bottom