Barrick Gold Mining itamkabidhi Rais Magufuli Tsh 100billion

Barrick Gold Mining itamkabidhi Rais Magufuli Tsh 100billion

Mbona hueleweki??
Mara Ballick Mara barick,,,
Tukueleweje sasa??
 
Watanzania wanasubiri kukabidhiwa Ben Saanane, Kangoye, Gwanda wakiwa hai au wafu.

Watanzania wanasubiri kukabidhiwa waliompiga risasi Lissu, Akwilina, Mawazo ... ili wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
 
Hizi mnazochangisha mikutanoni bukubuku unafurahia kutapeli
ulitaka tuchangie zaidi ya hiyo buku ili mtutie kasi za uhujumu uchumi???

hata tungekuwa na laki tungechangiaa sema tu jiwe kakomaa kuleta madege ilihali pesa mtaani hakuna!
 
Kubenea alisema ben yupo kwenye vijiwe vya kahawa anzeni na yeye
watanzania wanasubiri kukabidhiwa ben saanane, kangoye, gwanda wakiwa hai au wafu.

watanzania wanasubiri kukabidhiwa waliompiga masasi lissu, akwilina, mawazo ... ili wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
 
Semeni CCM mmekata pumzi hela hamna. Sasa mna taka kukwapua Barrick kwa style hiyo..
 
Mbona mtaani bado hali ni ngumu hizo hela anapeleka wapi?
 
Hizo pesa zimetoka hazina zinarudishwa hazina kwaajili ya kupigia kampeni.tumemshtukia mwambie.
 
Ujinga mtupu!Mmesaini nao mikataba ya siri kinyume na sheria mliotunga wenyewe, alafu mnatulaghai na hiyo hela mbuzi!

😅😅😅😅😅
Upinzani gani huu.. wakati wewe na wenzako munafaidika na haya.. kwa kweli ile futi sita kamwe hamutoki.. 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

2020 kama kawa JPM 🥳🥳🥳🥳🥳
 
Hizo pesa zimetoka hazina zinarudishwa hazina kwaajili ya kupigia kampeni.tumemshtukia mwambie.

Ha ha haaaaaaaa.. pale munaona utalio wenu unakaribia kuisha.. 😅😅😅💃🏽💃🏽💃🏽
Kwani ruzuku zile munakula.. ninyi mnatengeneza mapesa!!!.. pole huna la jipya.. leta lingine..
 
Barick Gold Mining kumkabidhi rais magufuli tsh100billion kama gawio kwa serkali jumanne 13/10/2020 .mbele ya wanahabari na watanzania

Kama utakumbuka kuna wanasiasa uchwara na wanaharakati uchwara wanaojiona wanajua kila kitu aalipinga hili sasa serkali ya awamu ya tano inakimbiza uchumi kwa speeds kali

Kwa miaka kadhaa pesa hizi zilikuwa zinaliwa na watanzania wezi na kunufaika na familia zao lakini sasa pesa hizi zinakwenda kujenga nchi na kila mwanachadema,mwanacuf,ACT wananufaika kwa kazi nzuri za jpm na ccm yake .

Tunawaomba watanzania sasa akili zirudi tukubaliane kuwa huyu ni nabii


USSR
pongezi sana JPM, hayo mawe ya Barrick pliz jenga SGR iende na Kigoma mwisho wa reli kulikozaliwa ubishi shoka ikaungua mpini ukabaki huko kwa watani zako . SGR ya Kigoma ni muhimu sana kuiunganisha nchi na maziwa makuu tujenge uchumi imara bila kumjali ZZK na chama chake, nasikia ZZK ni mgonjwa nadhani wamemroga ili afeli kampeni ila wazee wa Bugoi Mirumbani wakaokoa jahazi wakamuagua ! pole kwake.
 
Back
Top Bottom