Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 5
Halisi,
Hapo umegonga msumari kichwani. Hawa wote walikuwa ni wawakilishi wa mafisadi.
Acha ushabiki wa kitumwa,, una uhakika au evidence na unachokisema?? Jaribu kua unafikiria mwenyewe kuliko kushiba sumu