Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 5
Napingana na Mtazamo wa mwanakijiji
Mie binafsi sijaona kama Ngeleja na Masha walishindwa kazi,, kwa sayinsi ipi uliyotumia mwanakijiji?? Hizo analysis za kizamani za kujudge mtu kwa kuangalia mvuto wake wa kuongea na vyombo vya habari na umma kwa ujumla. Mie nadhani Masha na Ngeleja walifanya kazi vizuri sana na hukukutokea matatizo yoyote yaliyosababishwa na wao,, hizo judgement za hisia kwa vile mtu haumpendi binafsi sio nzuri.
Tukikubaliana na analysis, hisia na mtazamo wako, basi Kina David cameron, kina Obama, Kina Nick Craig, Ed Milliband, n.k n.k ni wabovu. Kitu ambacho utakipinga kwa sababu hao unapata information na utendaji wao ki-sayansi na kimahesabu. sio ki hisia. mambo ya kizamani. Vijana ni muhimu na wacha wapewe wachape kazi. Wazee wabaki kua consultants tu. Na hii pia iende mpaka CHADEMA, CCM, TLP, NCCR n.k maana kuna majina tumekua tukiyasikia yapata miaka 20 na hayajatusaidia chochote badala yake wamegeuza siasa biashara. Ni wakati wa Dr Slaa, Mrema, Msekwa, Mbowe, Kihwelu, Mbatia, Marando, Lipumba, safari, nk wote hawa they have to step out of the front offices of our political parties. Ni wakati wa siasa na uongozi kwa ujumla kuachiwa vijana ambao wanaonyesha wanaweza.
Mitizamo na uongozi mpya ndio kitu tanzania inachohitaji. Sio kuendeleza siasa na mitazamo ile ile ambayo imekua ikitumiwa kwa miaka 50. Eti wazee, ooh Uzoefu. Obama, Cameron, Tony Blair, walikua na uzoefu gani?? Kwa bahati mbaya sana falsafa hii imedakwa na kukumbatiwa na vyama vyote vya siasa. Kuanzia CHADEMA hadi TADEA, wote wanaendekeza mawazo mabovu yaliyojaa ubabe wa kizee.
Its time waachie hizo kazi, zimeshawashinda kwa miongo kibao. Tena kwa kutoa mfano, napendekeza aanze Dr Slaa ambaye amekua katibu wa CHADEMA karibia miaka 200 iliyopita. Kila siku ubabe na kufukuza vijana wanaoleta mitazamo mipya au wanaopingana nae.
Mie binafsi sijaona kama Ngeleja na Masha walishindwa kazi,, kwa sayinsi ipi uliyotumia mwanakijiji?? Hizo analysis za kizamani za kujudge mtu kwa kuangalia mvuto wake wa kuongea na vyombo vya habari na umma kwa ujumla. Mie nadhani Masha na Ngeleja walifanya kazi vizuri sana na hukukutokea matatizo yoyote yaliyosababishwa na wao,, hizo judgement za hisia kwa vile mtu haumpendi binafsi sio nzuri.
Tukikubaliana na analysis, hisia na mtazamo wako, basi Kina David cameron, kina Obama, Kina Nick Craig, Ed Milliband, n.k n.k ni wabovu. Kitu ambacho utakipinga kwa sababu hao unapata information na utendaji wao ki-sayansi na kimahesabu. sio ki hisia. mambo ya kizamani. Vijana ni muhimu na wacha wapewe wachape kazi. Wazee wabaki kua consultants tu. Na hii pia iende mpaka CHADEMA, CCM, TLP, NCCR n.k maana kuna majina tumekua tukiyasikia yapata miaka 20 na hayajatusaidia chochote badala yake wamegeuza siasa biashara. Ni wakati wa Dr Slaa, Mrema, Msekwa, Mbowe, Kihwelu, Mbatia, Marando, Lipumba, safari, nk wote hawa they have to step out of the front offices of our political parties. Ni wakati wa siasa na uongozi kwa ujumla kuachiwa vijana ambao wanaonyesha wanaweza.
Mitizamo na uongozi mpya ndio kitu tanzania inachohitaji. Sio kuendeleza siasa na mitazamo ile ile ambayo imekua ikitumiwa kwa miaka 50. Eti wazee, ooh Uzoefu. Obama, Cameron, Tony Blair, walikua na uzoefu gani?? Kwa bahati mbaya sana falsafa hii imedakwa na kukumbatiwa na vyama vyote vya siasa. Kuanzia CHADEMA hadi TADEA, wote wanaendekeza mawazo mabovu yaliyojaa ubabe wa kizee.
Its time waachie hizo kazi, zimeshawashinda kwa miongo kibao. Tena kwa kutoa mfano, napendekeza aanze Dr Slaa ambaye amekua katibu wa CHADEMA karibia miaka 200 iliyopita. Kila siku ubabe na kufukuza vijana wanaoleta mitazamo mipya au wanaopingana nae.