Baraza la Mawaziri, sura mpya, uchakachuaji unaendelea

Ni matarajio yetu ya kuwa JK kesho anateua baraza la mawaziri.....tutumie mwanya huo kuhoji yafuatayo:-

a) kila sura kwenye baraza hilo ina sifa hizi................

Uadilifu.............Watuhumiwa wangapi wa wizi na ubadhilifu wamo humo?............

Uchapakazi............Historia yao kiutendaji ikoje vile......................

Kama kuna uhusiano kati ya taaluma ya wizara husika na sifa za mteule...............

Uwiano wa wanaumme na wanawake.........Unarandana na sura ya utaifa iliyopo au kuna upande uliopendelewa...hususani katika ugawaji wa wizara nyeti kama vile Miundo mbinu, Fedha, Mambo ya nje, Elimu...n.k...................

Uwiano wa vikongwe na vijana.................na hapa ni muhimu tukafafanua kijana ana umri gani?

Uwiano kati ya wazenji na wabara una uhusiano wowote ule na idadi za watu kwenye maeneo hayo.....................au kuna upande ambao unapendelewa kwa sabau za kuwafurahisha kisiasa tu...................

Uwiano wa wale waliowahi kuwa mawaziri na wale ambao uteuzi wao ni wa mara ya kwanza..................Kuona hili baraza la mawaziri ni jipya kiasi gani?......

Kwa vile JK amekuwa akilia sana na udini tuone mgawanyo wa wizara alivyowapangia kulingana na dini zao.................Dini ipi imetoa mawaziri wengi zaidi....na kwa sababu zipi.......

Mikoa ambayo inasadikiwa kuwa ilimchagua Dr. Slaa........je .... JK ameishughulikia ki vipi.................Mikoa hiyo ni kumi nayo ni.......Dar, Arusha Mwanza, Iringa, Shinyanga, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Mara na Manyara....................Je JK kawalipiza visasi wakaazi wa mikoa hiyo kwa kutomchagua au kawatendea ubinadamu?



Baada ya uchambuzi huu na mwingineo muonao unafaa basi tutakuwa kwenye nafasi ya kufahamu kama JK ni mkweli wa kuoanisha kauli zake na matendo au ni mtaalamu wa unafiki tu...........
endeleeni kutumaini.....pandeni chelewa mtegemee itageuka kuwa mnazi... keep on hoping....
 
Haitakaa itokee jambo hilo likawa kweli! Zito ni mtu makini na hawezi kufanya jambo kama hilo na hata katiba sidhani kama inatoa nafasi kwa jambo hilo.
 
Jamani jina limo ndani ya baraza la Rostam Aziz kwa JK.

Kwa serikali hii ya Kikwete, mipaka ya kisiasa haina shida alimradi (1) UDINI unakubali na pia (2) utayari wako wa kuwa Mpiganaji kwa faida ya MAFISADI katika eneo lolote utakalopewa.

But now:

the BIG QUESTION HERE IS -

Sheria zetu zinasamaje juu ya haki za Chama kama CHADEMA kukubali au kutokukubali mwanachama wake waliompa ufadhili kwa tiketi yake kuingia bungeni, kuingia katika baraza la mawaziri???

Wanasheria wa JF tafadhali, tupeni vifungu.
 
Na je? Katiba ya CCM na Katiba ya nchi inasemaje kwenye uteuzi wa Mawaziri?...hususan kutoka kambi ya upinzani?
 
tetesi kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema kuna karatasi yenye majina ya mawaziri iliyotumiwa na kikao kizito cha watu saba wakiwemo jk, gb na mp kwa ajili ya kuyajadili imeonekana kuna jina la zitto zuberi kabwe katika unaibu waziri wa fedha na uchumi.

Ilikuwa tuitoe hii habari tangu jana lakini imebidi tuhakikishe kuwa aliyetuvujishia yuko salama....wanaoelewa itifaki wataelewa na hili.

great sinker
 
Wata mpa hicho cheo ili wapate faida gani? Sidhani kama chadema kutakuwa na wapumbavu kiasi hicho kuwa uteuzi huu uwaondo kwenye Focus yao. Ngoja tusubiri tuone
 
Jamani nauliza, hivi ni mtoto yupi wa mama meghji aliyeolewa na kikwete? maana nasikia watu tu wakisema mama mkwe wake ila mimi nawajua watoto wake wote na wa ndugu zake na ndugu za mume wake na hamna hata mmoja aliyeolewa na kikwete. Ninavyojua kikwete ana wake wawili, salma na mke mwengine mdogo kamzalia mapacha na hata mmoja wao hana undugu na mama meghji. tena huyo mke mdogo ndo sidhani hata kama mama meghji kawahi kumtia machoni.
 
Ni vigumu kwa sababu katiba ya nchi yetu haina kipengele hicho,bado haitoshi Zitto kama mbunge kupitia tiketi ya CHADEMA walionyesha utovu wa nidhamu kwa mheshimiwa rais Jakaya Kikwete kwa kutoka nje ya bunge wakati rais analihutubia bunge, sijui kama itakuwa rahisi kiasi hicho kwa kikwete kuteua Zitto.
 
hahaha!!

kama ni muadilifu asingechakachua kura.
kama ni muadilifu asingewapigia debe lowasa,mramba na rostam
kama ni muadilifu asingeratibu ujumbe wa simu wa kichochezi uliosambazwa na rashid shamte
kama ni muadilifu asinge mteua zakia meghji kuwa mbunge
kama ni muadilifu asingetumia familia yake kufanya kampeni kwa gharama za pesa za walipakodi

Nguvu ya hoja ni silaha hatari tena sana, huyo aliyekubishia sijui kala kona kuelekea kushoto au kulia????????????
Kweli FISADI na MDINI kuteua WAADILIFU ni kama FISI kupewa jukumu la kupanga safu ya ULINZI WA BUCHA ya jamii. Mpaka hapo kuna usalama kweli?????

Anyway, yote haya mwisho wake i karibu sana tena sana...!!!!!!!!!!
 
......Zitto ni rafiki wa JK kama ambavyo wengine mtashangaa kusikia pia kuwa Mbowe naye ana uhusiano mzuri tu socially na JK ....na mara kadhaa akiwa foreign alikuwa akijumuika naye kwenye club yake...well uteuzi huu ukitokea sio vibaya ...LAKINI JIULIZENI KAMA SHERIA NA TARATIBU ZA KATIBA ZINARUHUSU MSETO????..NA ZAIDI JK ATATAKIWA KUPATA BARAKA ZA KAMATI KUU YA CCM KUFANYA JAMBO KAMA HILI UNLESS AAMUE KUWARUKA...JAMBO AMBALO HATATAKA KWA KUWA LITAMLETEA MIGOGORO KWENYE CHAMA CHAKE...

INAWEZEKANA LAKINI TECHINICALLY SIO RAHISI...
 
CCM na chadema wapo kwenye mvutano wa kisiasa. Katiba ya CCM kwa upande wa bara haiko wazi kuhusu kuwajumuisha wapinzani katika kuunda serikali.

Ni mapema kukanusha jambo hili lakini lolote linawezekana katika siasa. Tuvute subira kesho baraza linatangazwa tutajua mbivu na mbichi
 
......Zitto ni rafiki wa JK kama ambavyo wengine mtashangaa kusikia pia kuwa Mbowe naye ana uhusiano mzuri tu socially na JK ....na mara kadhaa akiwa foreign alikuwa akijumuika naye kwenye club yake...well uteuzi huu ukitokea sio vibaya ...LAKINI JIULIZENI KAMA SHERIA NA TARATIBU ZA KATIBA ZINARUHUSU MSETO????..NA ZAIDI JK ATATAKIWA KUPATA BARAKA ZA KAMATI KUU YA CCM KUFANYA JAMBO KAMA HILI UNLESS AAMUE KUWARUKA...JAMBO AMBALO HATATAKA KWA KUWA LITAMLETEA MIGOGORO KWENYE CHAMA CHAKE...

INAWEZEKANA LAKINI TECHINICALLY SIO RAHISI...

Hapa umetuambia kuwa wakati akiwa Foreign. Tunaomba utueleze hata baada ya kuwa rais na hasa pale anapoonyesha kila dalili kuwa anawachukia wagalatia. Tukizingatia Mbowe mgalatia. Kama huo uhusiano ulikuwepo na bado uko mimi nasema hivi utakuwa ni wakinafiki zaidi. Au wewe unaonaje hapo?
 
sitashangaa Zittotoo Kabwela akiwemo kwenye baraza la mkwere kwani inaonesha huyu Zittotooo anamahaba na mkwere kuliko CDM...wadhani nini kilimpa ujasiri wa kumwaga siri za kambi kwenye media?? kuwagawa wanachadema na kuvunja morali ya vijana na wanachama wapya, nadhani mkwere atafanya icho kti kama kulipa fadhila...
 
Back
Top Bottom