Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Dodoma si shwari kabisa. Nimekuta madereva Dodoma hotel wakibandua vibao vya namba za Uwaziri na kuweka STK.... wamekua wadogo hawaongei.
JK alisema, "Nimepokea kwa masikitiko makubwa barua za mawaziri watatu, kati yao limo la Waziri Mkuu. Nimekubali barua zao na kwa kuwa Waziri Mkuu ndiye, ambaye tulishauriana naye kuwateua nyote hapa, kwa hiyo mkataba kati yetu umemalizika leo. Kwa hiyo nitakapotangaza wale ambao sitawaita wasiseme nimewaacha, kwa kuwa nimewacha wote. Wengine tutawaita kuendelea kushirikiana."
Baada ya hapo, kila Waziri alimwambia dereva kubadili namba za W na NW kuwa STK.... Wote niliokutana naye hakuna aliyekua tayari kuzungumza lolote. Hali INATISHA na kumejaa maofisa Usalama kutoka mikoa tofauti na hapa ni "Man 2 man" kwa wale wanaohofiwa kuweza kuleta madhara. Ni kama MAPINDUZI VILE
JK alisema, "Nimepokea kwa masikitiko makubwa barua za mawaziri watatu, kati yao limo la Waziri Mkuu. Nimekubali barua zao na kwa kuwa Waziri Mkuu ndiye, ambaye tulishauriana naye kuwateua nyote hapa, kwa hiyo mkataba kati yetu umemalizika leo. Kwa hiyo nitakapotangaza wale ambao sitawaita wasiseme nimewaacha, kwa kuwa nimewacha wote. Wengine tutawaita kuendelea kushirikiana."
Baada ya hapo, kila Waziri alimwambia dereva kubadili namba za W na NW kuwa STK.... Wote niliokutana naye hakuna aliyekua tayari kuzungumza lolote. Hali INATISHA na kumejaa maofisa Usalama kutoka mikoa tofauti na hapa ni "Man 2 man" kwa wale wanaohofiwa kuweza kuleta madhara. Ni kama MAPINDUZI VILE