Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mbona hii habari imekaa kizushi sana?
Katika hali hii kweli Rais anaweza kuagiza kikao cha BLM kifanyike bila yeye kuwepo wakati yupo hapo Moshi tu? Siamini
Mbona hii habari imekaa kizushi sana?
I'm pretty sure hii habari si kweli. Hakuna uwezekano mkutano wa dharura wa Baraza la Mawaziri uitishwe halafu Raisi ashindwe kuhudhuria akiwa mzima na yuko hapa nchini, umbali wa saa moja kwa ndege. Nakubali inawezekana kuna kikao kinachohusisha mawaziri kadhaa, including waziri wa Afya lakini hakitakuwa na nguvu kama alivyosema mwanzilishi wa topic.Mbona hii habari imekaa kizushi sana?
Hivi ile kamati ya Sita (mama) ilisemaje baada ya kujitosa kwenye suala la mgomo wa madaktari?
Wabunge wetu nao mmhhhh. Walijitutumua kumbe hakuna kitu.Isemeje wakati na wao walipoona wagonjwa wakalia machozi ya mamba wakaishia zao! Na posho kibindoni!
we binti unaongea pointi za maana sana. lakini watoto wazuri kama wewe saa hii wamelala, we unangoja nini usiku wote huu?????
...ahsante sana mkuu kwa badiko lako hili,nimejifunza jambo moja kubwa sana...Tunateseka kwa sababu Rais aliye madarakani hakuchaguliwa na watanzania, alitumia pesa yake kupata madaraka, viashiria ndio kama hivi, jifunzeni kwa mfano wa nabii suleiman alipoletewa kesi mbele yake kuwahusu wamama wawili wakivutania kitoto kichanga ki-hai na mwili wa kitoto kichanga kana kwamba mtoto yupi ni wa nani huku kila mmama akidai aliye hai ndiye wake! (mmama mmoja wao alifanya hila, alimlalia mwanae usiku akafa, akamchukua wa mwenzie na kumuweka wake aliyekufa ubavuni pa mwenzie. walipoamka tazama mwenzie alipomtazama kwa makini aligundua kitoto kilichokufa si chake mzozo ukaanzia hapo) mfalme suleiman alipoona kila mmoja anang'ang'ania kuwa mtoto mzima ndiye wake, aliamua aletewe shoka ili amcharange vipande viwili awagawanyishe wale wamama. yule mwenye mtoto hai aliposikia hivyo akamwambia mfalme akasema mpatie huyu mama mtoto huyu hai usimcharange! lakini yule aliyemlalia kichanga wake akamwambia mfalme akasema "bora umcharange tukose wote!!!" ndiposa mfalme suleiman alipotambua ya kuwa kichanga hai kilikuwa cha yule mama aliyebambikiwa na mwenziwe, na akaamuru akichukue kichanga chake. AMINI NAWAAMBIENI kikwete hakuchaguliwa na watanzania. Ni baba gani watoto wake wakimuomba samaki akawapa nyokaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
I'm pretty sure hii habari si kweli. Hakuna uwezekano mkutano wa dharura wa Baraza la Mawaziri uitishwe halafu Raisi ashindwe kuhudhuria akiwa mzima na yuko hapa nchini, umbali wa saa moja kwa ndege. Nakubali inawezekana kuna kikao kinachohusisha mawaziri kadhaa, including waziri wa Afya lakini hakitakuwa na nguvu kama alivyosema mwanzilishi wa topic.
Weka source
I don't think there someone there serious in this issue. They are too politic.
Mheshimiwa Mwanakijiji na wengine wote with all respect to you folks, hebu tuwe wakweli kidogo tu, hivi serikali ikianza kusalimu amri kwa madakatari, nchi itatawalika kweli? mtazame kwa mlango mpana
Tuongee kama waungwana siyo kwa sababu tu hatutaki CCM au hatumataki JK, lakini ki ukweri serikali kwanza ilifanya makosa kuwakubalia madaktari, hakuna fani iliyo muhimu zaidi ya nyingine hapa duniani, kila fani ina umuhimu wake katika jamii, mgomo wa madaktari na mstakabadhi wa posho za wabunge, ilikuwa ni wakati muafaka kwa serikali kufanyia marekebisho mishahara yote, kwani watu kwa miaka mingi walikuwa wakilalamika uwiano wa mishara ya ya Benki kuu, TRA ambapo kuna wakati karani wa BOT alikuwa anamzidi mshahara profesa wa chuo kikuu.
Laiki serikali yetu imeshindwa kutumia huu wakati na mwanya kufanya marekebisho, manasahau kuwa hawa madakatari mpaka kufikia hapo ni kazi nzuri iliyofanywa na walimu toka shule za msingi mpaka sekondari, huwezi kuataarishwa ukiwa chuo kikuu peke yake, kama msingi ni mbovu hata hapo hafiki, sasa leo tunataka kuwadharau hawa wengine why?
Serikali lazima isimamame kidete kupinga huu upuuuzi
Ni kikao cha kufanya maandalizi ya kupokea madaktari zaidi ya elfu moja kutoka nchi za India, China, Misri na Cuba iwapo ma-Dr watatekeleza tishio lao la kugoma.
Na ma-dr wageni wakifika tu,..... dr kilaza atakayeendelea na mgomo kibarua kinaota mbawa.
Kama hizi taarifa ni za kweli nitashangaa sana. Moshi na Dar sio mbali ki-hivyo, kwa nini rais asipande ndege aje kutatua mgogoro yeye mwenyewe?
Kama hizi taarifa ni za kweli nitashangaa sana. Moshi na Dar sio mbali ki-hivyo, kwa nini rais asipande ndege aje kutatua mgogoro yeye mwenyewe?