Baraza la mawaziri la dharula usiku huu

Ni ujinga kuanzisha thread watu wakauliza source alafu aliyeanzisha hajitokezi wala kuchangia tena.
 
There are currently 240 users browsing this thread. (65 members and 175 guests)
Ta Muganyizi,
ketwas,
Mzee Mwanakijiji,
sikuyaja,
Nyongolo,
kanyanga,
ammah,
magistergtz,
OLESAIDIMU,
genekai,
babuwaloliondo,
Mr. Zero,
jcb,
gmosha48,
mkulu,
BAHARIAA,
Promise,
mtamanyali,
Nambelema,
Gobegobe,
Ngarenaro,
Doc,
sanjo,
Ndokeji,
ASHA NGEDELE,
MWENDAKULIMA,
mkirua vunjo,
dkims,
bob kalo,
tumpale,
Dkt bundala,
Du Bois ideas,
Sokaka,
Obonyo,
mpigilie,
bepari1,
Mpendwa,
Katavi,
Ngomo,
marshal,
Ngalikihinja,
Viper,
Chigoto,
Prishaz,
RealMan,
Sabung'ori,
Aggrey86,
RabidDog,
site,
gerenuk,
Masscom,
PakavuNateleza,
buyegiboseba,
MFUKUNYUKU,
UmkhontoweSizwe,
anjnr,
Molemo,
jackline,
kamalamoo,
mjanja1,
EAT,
langei,
Escherichia Coli,
Muangila

Aliyeanzisha thread yuko wapi? Baija Bolobi? kwa kikwetu maana ya jina hli ni "wanakujaga walaini"
 
Ni kikao cha kufanya maandalizi ya kupokea madaktari zaidi ya elfu moja kutoka nchi za India, China, Misri na Cuba iwapo ma-Dr watatekeleza tishio lao la kugoma.

Na ma-dr wageni wakifika tu,..... dr kilaza atakayeendelea na mgomo kibarua kinaota mbawa.

Kama kweli upo karibu na viti vya maamuzi...........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1. Ndo maamuzi haya ?????
2. Kuacha kushughulikia haya matatizo yanayotukabili at the root depth kwa kuleta madaktari kutoka nje??? Tunaacha kushona kandambili yetu na kuazima viatu kwa jirani?????
3. You real aware of what is at compromise???

Siungi mkono hoja
 
Nimeangalio chanel ten asubuh kulikua na askofu na shehe siwakumbuki majina,wamejaribu kuitetea selikali sana juu ya huu mgomo kwamba madokta siku yamwisho watakiona,wameumbuliwa na wachangiaji wanauliza nibora ma dr wagome watanzania wafe kuliko kuwafukuza hao mawazir?selikali iache usanii sisi raia tunaona bana wasitufanye matahira nawashindwe kwa jina la allah ma dr komaen siwaliwaahidi?
 
Nasikia "mzee" huwa anachungulia humu! Mzee akili za kuambiwa changanya na zako!!
Ama kweli huyu jamaa ni kichwa cha Panzi,kama kweli anachungulia hapa na kutoka kapa then they guy is a nuttycase!
 
kiongozi yeyote anyewajibika kwa watu wake hawezi subiri hali iwe tete kama ilivyo halafu ndo wafanye fire fighting dispute resolutions. nakubalianana hoja kuwa mkuu wa nchi hana uchungu na yatakayowakuta watanzania kwani hawakumchagua na yeye anajua mwenyewe alivyorudi madarakani. hakika tutaipata sana watz mpaka dhahma hii ya bora uongozi itutoke.
 
Kama hizi taarifa ni za kweli nitashangaa sana. Moshi na Dar sio mbali ki-hivyo, kwa nini rais asipande ndege aje kutatua mgogoro yeye mwenyewe?[/QUOTE]

KAWAACHIA MAWAZIRI WAKE WATUMIE "BUSARA ZAO" KATIKA KUPATA MWAFAKA.........:-(
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Vipi Je kutakuwa na Kikao cha Bunge cha Dhalura au Kanuni haziwaruhusu?

Watangoja watu wafe mpaka mwezi wa nne watakapokutana waunde kamati ya bunge kusuluhisha!!Itawawia vigumu kamati ya bunge kutatua mgomo huu kwani serikali haijatekeleza mapendekezo yake ya awali likiwemo la kuwaadabisha Mponda na Nkya; yote hiyo ikiwa ni kulidharau bunge.
 
Kama hizi taarifa ni za kweli nitashangaa sana. Moshi na Dar sio mbali ki-hivyo, kwa nini rais asipande ndege aje kutatua mgogoro yeye mwenyewe?

atakuwa alikuwa anafuatilia mkutano kwa njia ya simu yake ile ya nokia....halfu si yumo kwenye BBM so alikuwa anachangia vilivyo...hahaa baba mwanaasha mwana kwetu u rais sio kazi ndogo kama ulivokuwa unafikiria
 
"Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewasihi wataalamu hao wa afya kutochukua hatua hiyo kama kweli wana nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi."
kutoka MWANANCHI

Kama Serikali inawatumikia kweli mabosi wake yaani wananchi wakiwemo Madaktari kwa nini isimuondoe
waziri wa Afya na Naibu wao kama Madaktari wanavyotaka?
 
Yaleyale ya kupima upepo na kuipa kisogo taaluma na weledi.! Serikali hii?? Sijui itakumbukwa kwa lipi
Kwa mwendo huu wa kudharau taaluma na kuabudu siasa sidhani kama tutaweza kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, nashauri tuachanane nayo mpaka mambo yatakapo eleweka.
 
"Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewasihi wataalamu hao wa afya kutochukua hatua hiyo kama kweli wana nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi."
kutoka MWANANCHI

Kama Serikali inawatumikia kweli mabosi wake yaani wananchi wakiwemo Madaktari kwa nini isimuondoe
waziri wa Afya na Naibu wao kama Madaktari wanavyotaka?
Huyu Pinda yuko sawa kweli au? Mbona yeye na kabineti yake wasionyeshe mfano wa kuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi? Kinacho tuangusha watanzania ni kutukuza siasa na kudharau taaluma.
 
Kuna tetesi nzito kuwa kikao cha baraza la mawaziri cha dharula usiku huu. JK mwenyewe yuko Moshi lakini kaagiza kifanyike chini ya uenyekiti wa Makamu wa Rais.
Agenda kuu ni mgomo wa madaktari na kuona njia ya kuwaondoa Dr. Mponda na Nkya bila kusababisha political fallout. Lile zengwe la Pinda la hapo awali ilikuwa ni danganya toto ili kupima joto ya maji.

Mawaziri wengi matumbo yako moto. Kuku weusi, kondoo na ng'ombe wameteketea kwa kasi jana na leo katika familia za mawaziri.

Hili ni la kuvunda halina ubani. Amewanyima madaktari mgomo umerudi, akiwapa, walimu wanagoma. Afanyeje?
porojo saa ingine bana
 
jk hakika utakumbukwa. Anyway mi napita tu naelekea apolo hosp.

Lazima tuwe wakweli ...

Humu ndani hakuna unachosoma km una akili timamu post nyingine ukajifunza kitu rather than making yourself a Carrier critisizer.

Whatever comes up there will be people to criticize, funny enough whoever is going to have a positive look at it , he or she will be considered as either Magamba or anti chadema....and this is our sole weakness we teens and I'm not sure whether we are driven by the overloving spirit or we have chosen to be ignorant.

The thing is we don't know what we want , means to achieve and as well as Who can take us where we wish to be the satisfactory destination.

Mfano unamchagua Mtu Kama prof Maji marefu au Mr sugu..!!!!what do you hope to get as a Result....this shows how we tend to love things too much and desperately to the extent that We fail to reason, hata Kama umeichoka CCM ndio uongozwe na Mr proud..??????au prof Maji marefu?????

Hili halina CCM wala Chadema ni Kama ushabiki usio kua na objectivity ...

Kwahiyo kuchukia Mtu au kitu tu na Kuamua maamuzi ya kijinga nao pia ni ujinga!!

Tubadilike
 
Back
Top Bottom