hizi ni waziri gani yule licha ya mazabe yote lakini alithubutu kusema uchumi haujatetereka???????hakuwa mkubwa wa mawaziri kweli????
Nimesikia kwenye BBC leo kuwa Baraza la Mawaziri litakaa siku ya Jumamosi hii (12/03/2011)kutathmini hali ya kuporomoka kwa uchumi nchini.
Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema kuwa kuporomoka kwa uchumi kumesababishwa na :
i. uhaba wa chakula nchini,
ii. Kupanda kwa bei ya mafuta
iii. Matatizo ya Umeme.
Je wanajamvi, mnategemea Baraza la Mawaziri litaibuka na hoja gani ya matumaini kwa Watanzania?...Je tunawashauri nini kama altenatives za kiuchumi za ku'boost hali zilizotajwa hapo juu?
Hivi hayo mafuta yamepanda Tz tu,zambia mafuta yanapita kwetu yanauzwa kwacha 3500,ambayoni sawa na tsh1100,wakati tz ni 2000,nafikiri kigezo sio mafuta,wTz tunalipa dowans au tunalipa zaid ya bilion 50 alizotumia mkwere kwenye kampeni.WAJINGA NDIO WALIWAO,
Nimesikia kwenye BBC leo kuwa Baraza la Mawaziri litakaa siku ya Jumamosi hii (12/03/2011)kutathmini hali ya kuporomoka kwa uchumi nchini.
Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema kuwa kuporomoka kwa uchumi kumesababishwa na :
i. uhaba wa chakula nchini,
ii. Kupanda kwa bei ya mafuta
iii. Matatizo ya Umeme.
Je wanajamvi, mnategemea Baraza la Mawaziri litaibuka na hoja gani ya matumaini kwa Watanzania?...Je tunawashauri nini kama altenatives za kiuchumi za ku'boost hali zilizotajwa hapo juu?
Kujipa matumaini!mkuu mbona Pinda alisema uchumi unakua?
Nimesikia kwenye BBC leo kuwa Baraza la Mawaziri litakaa siku ya Jumamosi hii (12/03/2011)kutathmini hali ya kuporomoka kwa uchumi nchini.
Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema kuwa kuporomoka kwa uchumi kumesababishwa na :
i. uhaba wa chakula nchini,
ii. Kupanda kwa bei ya mafuta
iii. Matatizo ya Umeme.
Je wanajamvi, mnategemea Baraza la Mawaziri litaibuka na hoja gani ya matumaini kwa Watanzania?...Je tunawashauri nini kama altenatives za kiuchumi za ku'boost hali zilizotajwa hapo juu?
Nadhani watajadili sasa kwa hofu zaidi ya nguvu ya umma...Na mbaya zaidi leo hii Nauli za daladala na magari mengine zinapanda rasmi, hivyo malalamiko yatazidi!
Bora, umetandika ikulu!..Nauli za daladala na mabasi kwenda mikoani juu. Umeme ulishapanda tangu Januari,Sukari bei inapaa kila siku,Petroli inaongezeka baei kila siku.
Nimemsikia Mustafa Mukullo -FM akitoa sababu za kudorora kwa Uchumi:
Kataja sababu kama matatizo ya umeme,kupanda kwa bei ya mafuta na upungufu wa chakula(ukame).
Mimi kwa mtazamo wangu hizi sababu si hasa zinazofanya uchumi wa Tanzania uwe ICU. Nitaeleza:
Tanzania siyo nchi ya uchumi wake kuwa wa kubahatisha. Nchi hii ina raslimali(resources) za mabilioni kwa mabilioni ya shilingi. Tuna madini ya kila aina mengine hayapatikani popote duniani k.m.TANZANITE.Tuna DHAHABU,tuna ALMASI,tuna MAKAA YA MAWE,tuna GAS na kuna kila dalili kuwa MAFUTA ya kuendesha mitambo tunayo.Huo ni upande wa MADINI.
Tanzania imejaliwa kuwa na MBUGA ZA WANYAMA wa aina aina ambao huwezi kuwakuta popote duniani isipokuwa Tanzania. Tuna MLIMA KILIMANJARO,tuna ardhi yenye rutuba,(virgin land)ambayo haijawahi kuguswa na mkulima yeyote. Tuna mito na Maziwa yasiyokauka.
Lakini pamoja na kuwa na raslimali zote hizi we are still poor,our economy is one of the worst in East Africa, Africa and the World as a whole! Hapa iko tatizo kubwa. izo sababu alizotoa Mkulo is just a tip of an iceberg. Kuna sababu concrete zinazofanya uchumi wetu usuesue.
Sababu iliyokubwa kabisa ni UFISADI. Nashangaa kwanini Mustafa Mkullo hakuianzia hii sababu. Kama FM hajuia sababu kuu zinazosababisha Uchumi wetu kudorora basi hafai kuwa FM.(namaanisha Finance Minister).
Ni kutokana na UFISADI huu huu ndiyo maana Watanzania hatuoni hata faida au manufaa ya Raslimali tulizonazo kwa vila VIONGOZI WETU(serikali ya CCM) WAMEIUZA NCHI YETU KWA UFISADI WAO.Hapa nina maanisha kuwa Makampuni yote yanayochimba madini yote HAWALIPI KODI na wala KIASI CHA MADINI WANACHOCHIMBA NA KUUZA HAKUNA ANAYEJUA. Kuna ndege huwa zina fly daily kutoka kwenye machimbo zikiwa na madini na kutokomea kwenye nchi za aidha wawekezaji wenyewe hasa South Africa,Canada na nchi za wajanja kama Kenya,Uganda n.k. Tujiulize inawezekanaje TANZANITE inayopatikana TZ pekee ionekana kwamba ati nchi ya KENYA ndiyo iliongoza kwa KUUZA TANZANITE DUNIANI. Hii haingii akilini. Hapa lazima kuna shida!
Kenya wana nchi ndogo ukilinganisha na Tanzania,Wakenya hawana ardhi ya kutosha kama Tanzania, sehemu kubwa ya Kenya ni jangwa! Still UCHUMI WA KENYA is the BEST IN EAST AFRICA!!!Why na kwanini???Sasa hivi kuna vi nchi vidogo kama RWANDA vinakuja kasi sana kiuchumi. Rwanda iliyokuwa imekumbwa na mauaji ya kimbari(genocide) leo ati inakuwa na uchumi bora kuliko Tanzania. Kagame anafanya miujiza gani pale Kigali???Kwanini Kiwete na viongozi wenzake hawawezi hata kwenda kupata ushauri kwa viongozi wenzao namna ya kuongoza na kusimamia uchumi.
Ukiangalia nchi hizi yaani Kenya na Rwanda utakuta kwamba UFISADI uko katika kiwango cha chini sana.
Lakini pia pamoja na UFISADI kuna tatizo la MATUMIZI MABOVU YA FEDHA ZA WALIPA KODI. Mfano uliowazi kabisa ni UNUNUZI WA MAGARI YA KIFAHARI maarufu kwa jina la MASHANGINGI kuwa mawaziri na wabunge. Ni juzi tu Bunge letu limemaliza kikao cha Februari na huku Mawaziri na Wabunge wakiondoka na MILIONI 90 KILA MTU sawa na 32.4 Bilioni hela ya Kitanzania.Shilingi Bilioni 32.4 kwa ajili ya magari ya WABUNGE TU!!!Halafu leo Mkulo anasema nchi haina pesa,sijui umeme,mafuta,njaa na longolongo chungu mbovu.Huu ni uongo.
Yako wapi MABILIONI YA KAGODA,DEEP GREEN,MEREMETA n.k. Hizo hela ziko wapi??? Hela za EPA ilikuwa ubabaishaji mtupu. Mara walioiba warudishe bila kushtakiwa,mara zimepelekwa kweny Kilimo Kwanza n.k. Kama ni kilimo kwanza NJAA IMETOKA WAPI? Ukame ni mwaka huu tu, kwanini serikali yetu inaishi kwa DHARURA kila kitu???Umeme DHARURA, chakula DHARURA, MABOMU YA MBAGALA/G.MBOTO Dharura!!!!
No,Serikali ya CCM msitutubaishe bana. Nchi imewashinda. You better step down to leave room for others to lead this NATION. Najua hiyo J1 mnakuja kulipana mamilioni ya posho tu lakini YOU DON'T HAVE A SOLUTION AND WILL NEVER FIND ONE.
Any way tuendelee kupeana habari nini watazungumza hawa mafisadi na wababaishaji wakubwa. Let's wait and see.
Kujipa matumaini!
Umeona wapi uchumi wa nchi ukakua na dhiki zilizotajwa hapo juu?
Huyo bwana alikuwa anasoma data za 2009 na kurudi nyuma!
Hukusikia Mkuu majuzi alilidanganya taifa kuwa mabomu ya Gongolamboto yalilipuka tarehe 17/02?...kisa tu ameandikiwa hivo kwenye karatasi?