PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Bakwataccm ndipo chimbo la unafiki mkubwa hawataki kukemea uovu uonevu videndo haramu vya kishetani vinavyofanywa na chawaccm dhidi ya chadema
 
Kutaka haki itendeke huo ni udini? Kutaka sheria na kanuni za uchaguzi kuwa za haki na usawa ni udini? Kuna watu hawana akili sawa sawa, ni mwaka jana tu zaidi ya 70% ya wagombea kupitia opposition walikatwa majina uchaguzi serikali za mitaa; sasa mleta mada anataka WATUBWOTE waone hakuna tatizo. Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye sheria za uchaguzi mbaya zaidi duniani, na kupitia kanuni mpya zimezidi kuwa mbaya. Bahati nzuri kila sehemu duniani lazima wapo wapenda haki, so don't expect comfortable barbaric ceremony.
 
Acha ujinga,Samia ni nani Hadi apendwe na Kila mtu,by the way naunga hoja ya kumchukia huyu mzanzibar, Tanganyika tunajitoshereza hatuhitaji rais wa kukodi,arudi kwao akagombee,

Hao TEC waliwahi kupingana na JPM Mkatoriki mwenzao,hapo unataka kusema vipi!?
 

Attachments

  • Screenshot_20250420_095054_Chrome.jpg
    Screenshot_20250420_095054_Chrome.jpg
    314 KB · Views: 8
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Unapotosha kwa sababu unajua weekness ya wenzako unaofanana noo ni kuwa wavivu wa kuutafuta ukweli na kuamini kitu chochote hasi wanachosikia kuhusu kanisa katoliki. Kuna mabumunda yatameza chote ulichoandika na kukiamini. Hii hata CCM waijua na wanawarumia sana. Sasa Samia uislam wake unahusiana vipi na kuiba kura?
Yapo matamko kddhaa ya kumpinga magufuli mtandaoni. Hata kwenye mambo ya corona kanisa lilikwenda tofauti kabisa na magufuli
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Unapotosha kwa sababu unajua weekness ya wenzako unaofanana noo ni kuwa wavivu wa kuutafuta ukweli na kuamini kitu chochote hasi wanachosikia kuhusu kanisa katoliki. Kuna mabumunda yatameza chote ulichoandika na kukiamini. Hii hata CCM waijua na wanawarumia sana. Sasa Samia uislam wake unahusiana vipi na kuiba kura?
Yapo matamko kddhaa ya kumpinga magufuli mtandaoni. Hata kwenye mambo ya corona kanisa lilikwenda tofauti kabisa na magufuli
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.


Na nyie ndio hamumpendi kabisa kwa uchawa usio na maana wala mashiko

So lissu kapewa makes makubwa na kafungwa because ya dini yake?

Au mbowe alifungwa kwa ajili ya dini yake?


Jibuni hoja na sio kujificha kwenye udini wa mtu
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Mama muungwana uungwana gani? Mzee Kibao nani kamuua? Deus Soka yupo wapi? Amani Manengelo aliyetekwa Mwanza yupo wapi? Dennis Kipanya aliyetekwa Rukwa yupo wapi?

Uungwana siku hizi ni kuteka na kuua watu?


Lissu kafanya kosa gani kisheria mumkataze kusali? Siku hizi uungwana ni kumkataza mtu kusali?

Pumbavu mkubwa wewe mleta mada.
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
TATIZO SAMIA ANATAKA kuturudisha kuwa watumwa wa muarabu na anataka kulisilimisha Taifa
 
Hawa miamba miwili, askofu Wolfgang Pisa na Dr. Wilbroad Slaa wanatoka jamii moja na ni majasiri kwelikweli, hawamwogopi mtu katika masuala ya kudai haki.
Na bado hadi mteme bungo mwaka huu wehu nyie.

Mtaongea yote. Na Askofu wa Geita KKKT? Askofu Ruwaichi? Askofu Shoo? Askofu Bagonzq? Nabii Seguye?

CCM kubalini tu. Mungu amewakataa.
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Nyie huwa hamna akili na kichaka cha dini ndo huwa mnaenda jifichia humo mtoe choo chenu humo mle. Karne ya 21 unakosolewa unakimbilia dini?mbwah kweli wewe 😁
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Wanasiasa waliofilisika kisiasa hukimbilia Udini kama Samia anavyowatumia ninyi
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Wewe ndio udini unakusumbua alafu unawasingizia maaskofu, kunakitu gani wamekukosea ili nikuombe msamaha kwa niaba yao?
 
Mama wa watu amejitahidi sana kupromote democracy nchini kiti ambacho jpm alikiua lakini maadkofu wa TEC waka ufayata.

Alizuoq mikutano yote ya vyama vya upinzani lakini maaskofu waka kaa kimya.

Huyu mama muungwana wanamuonea tu kwa uungwana wake.

Hakika udini unaitafuna nvhi hii.
Arudishe 10%ya Kodi inayopelekwa visiwani na mkopo mkubwa umepelekwa huko na sasa watalii wanalala visiwani bara wanatalii tuu wawekezaji wadogo wanalia kwa hasara na sasa wenye ndege hizo wameleta na magari kuua ndoto za vijana huku bara,mora tuepishe
 
Back
Top Bottom