mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,337
- 12,469
Mungu wa daudi,mungu wa Ibrahim,mungu wa isaka na mungu wa yakobo nihurumie
NtakusimuliaUzi wako yaelekea ni mzuri, ila mie kwa uvivu wangu nimeshindwa kusoma hadi mwisho!!
Nasubiria ujue. hahahahNtakusimulia
Kila zama huwa na wapingaji wake,ila kila mmoja anatumia njia tofauti na mwengine katika kupingaKuna watu wanachanganya kwenye mambo haya magumu na yenye siri kubwa juu ya uwepo wa shetani na Mungu.
Shetani hawezi kuonekana kama Mungu hajawahi kuonekana ,kumbuka both spirits are the same by mode of existance according to Spiritual analysis..
Hakuna mtu ambae amewahi kumuona shetani hata kama ni freemasoni wa degree ya namna gani..
I swear kwa damu yangu..hizo zote ni propaganda za kumfanya mwanadamu azidi kuamini uwepo wa shetani ili akazane kutafuta uhusiano kati ya mafanikio ya haraka na uwepo wake.kitu ambacho badae wakifika huko kwa wenye ukimwengu huu wanawaelekeza jinsi alama hizo zinavyofanya kazi...
Kiukweli ,there is no such kind of a thing kuwa shetani ana umbo la namna hiyo..nakataaa kwa evidence zote..na kama kuna mwenye proof naomba nifanye nao battle kwa hili.
Simply because his presence is unprovable hence his image is non identifiable.
..........
kuna kitu watu wanachanganya kati ya alama kama mafuvu( skull and bones),misalaba(cross signs), alama za X ,pembe,pete n.k ambazo ni alama zinazomuwezesha mwanadamu kuingia au kusynchronise na universal energy( high energy flow system ) ambayo inamfanya mwanadamu apate maarifa mengi pamoja na namna ya kuistudy nature ilivyo..
Alama hizo wala sio za shetan ila ni alama ambazo wajuzi wa zamani(Ancients) walikuwa wanazitumia kupata nguvu za kila aina ya kitu wanachokitaka..
Ila watu wasioelewa jinsi zinavyofanya kazi wanakimbilia kusema ni alama ya shetani..
Kanisa katoliki linatumia misalaba madhabahuni pamoja na vyombo vyote vya altareni vina alama na maumbo kama ya misalaba( obelisk) katika kutrap nguvu( energy) from higher worlds..ila watu wanamisinterprete kuwa ni alama za kishetani...
sio kweli..narudia tena na kukazia sio kweli..
Ipo siku nitatoa elimu zaidi naman misalaba inavyofanya kazi na kwanini wakristo au watu wanaoamini juu ya uwepo wa mungu wameambiwa kuvaaa misalaba na kuitumia kwenye makaburi tofauti na alama zingine..
Listen mkuu,secret societies wanatumia mental illusion kuwapatia watu ili watoe ushuhuda huo..Nimetoa ushuhuda wa mtu Moses Kulola( Unluckily he is dead). Pia nikasema mashetani yaweza jitokeza kama mapepo au majini watoto/ watenda kazi wa shetani if yes mbona kuna watu washakutana nao wengi tu na wanasimulia kesi zinazofanana.
Pia sisi biblia inatufundisha kuwa shetani anaweza jigeuza malaika wa nuru. Na tunasoma na kuamini kuwa malaika washawatokea watu mbalimbali ktk biblia ina maana shetani yupo na anaweza kuchukua physical form sawa na malaika. Sasa kuamini haya au kutokuamini kila mtu na lwake lakini Mimi ndivyo ninavyoamini kuwa yupo ila hana nguvu kwa Yesu Kristo.
Everything is by inner understanding...kila mtu anauelewa tofauti kulingana na uwezo wake wa kupersive reality..Kila zama huwa na wapingaji wake,ila kila mmoja anatumia njia tofauti na mwengine katika kupinga
Zama kdg za nyuma,hapakuwa na gunduzi nyingi kama ilivyo sasa....na alipotokea mtu akisema,kuna kitu fulani,Jamii iliyomzunguuka,wengi wao walimkatalia
lkn...wana jamii hii,wakaja na kusema kweli,na kumpa sifa kuu na kumuandika katika vitabu
Kwa wewe leo,kusema hakuna Mungu wala Shetani,hizi ni zako fikra ambazo ndio mwisho wake
Vitabu Vya Mungu,vimekuja kutoa Elimu ya Vitu vilivyopita na vilivyopo na vijavyo,viwe vitu hivyo vinaonekana kwa macho au havionekani
Jukumu lako ww kuwa mtulivu na kuendelea na utafiti zaidi
Kisha fahamu ndg Fahamu
Elimu yako na Akili yako wewe kama wewe,si shahidi tosha katika mambo
Bado wewe una madhaifu kutokana na ubinaadam uliokuwa nayo
Unapatia kidogo
na unakosea sana
Kinachotakiwa,ni kukusanya nguvu ya pamoja na kusoma kwa Bidii
nimefurahi kama umefahamu hayoEverything is by inner understanding...kila mtu anauelewa tofauti kulingana na uwezo wake wa kupersive reality..
Thats how we live under the matrix system..
unachokiamini wew ndo mana wengine wanakipinga kulingana na uelewa wao na usiwalaumu kwa sababu tumeumbwa kufahamu mambo katika frequence range tofauti tofauti..
Usikasilike wala kuhudhunika kwa sababu we live in the life that is under control by higher life forms..
Naamini katika hilo..
utofuati unakuja pale mtu unapoamini kuwa higher system inayotucontrol sisi ni Mungu( Mtu)..nimefurahi kama umefahamu hayo
kadhalika nimefarijika sana kwa kukubali kama sisi tumeumbwa
Tunathibitisha kuwa Muumbaji wa kweli yupo
anatusikia na kutufahamu kwa maana yake kamili
Shukran Bro
Hakuna Mungu Mtuutafuati unakuja pale mtu unapoamini kuwa higher system inayotucontrol sisi ni Mungu( Mtu)..
Ukiambiwa kuwa kuna mtu kawai kumuona Mungu ?? jibu hakuna...
Ndo mana wataalamu wamekuja wakagundua kuwa everything is energy,kwa hiyo kupitia energy unaweza trace back origina au kugundua kabsaa energy kubwa inayotuendesha sisi ila swala la kusema hiyo nguvu ni Mungu ( mtu ) wataalamu wa mambo wanakataaa...
tukubali kuwa kuna system tata iliyoshikilia kila kitu ila kuamini kuwa ni Mungu (Mtu) bado hakuna proof scientifically...
...huwa nakuelewa sana hoja zako mkuu,...keep it uputafuati unakuja pale mtu unapoamini kuwa higher system inayotucontrol sisi ni Mungu( Mtu)..
Ukiambiwa kuwa kuna mtu kawai kumuona Mungu ?? jibu hakuna...
Ndo mana wataalamu wamekuja wakagundua kuwa everything is energy,kwa hiyo kupitia energy unaweza trace back origina au kugundua kabsaa energy kubwa inayotuendesha sisi ila swala la kusema hiyo nguvu ni Mungu ( mtu ) wataalamu wa mambo wanakataaa...
tukubali kuwa kuna system tata iliyoshikilia kila kitu ila kuamini kuwa ni Mungu (Mtu) bado hakuna proof scientifically...
Kabla hujamuelewa...huwa nakuelewa sana hoja zako mkuu,...keep it up
...mkuu niamini mimi,...mimi sio mtu mkurupukaji niko vizuri sana kwenye suala la kujua hoja IPI ni nzito na IPI ni mtindio wa ubongo.Kabla hujamuelewa
Jaribu kuelewa zaidi Bro
wewe umeelewa nini juu ya nguvu inayoshikilia uhai na uwepo wa maisha au kitu chochote ulimwenguni???Kabla hujamuelewa
Jaribu kuelewa zaidi Bro
Huenda ikawa kweli Chief uyasemayo...mkuu niamini mimi,...mimi sio mtu mkurupukaji niko vizuri sana kwenye suala la kujua hoja IPI ni nzito na IPI ni mtindio wa ubongo.
....jamaa yuko vema mno upstairs,_hata wewe hilo unalijua sema haujalikiri waziwazi
...sio lazima kukiri...ila jamaa yuko vemaHuenda ikawa kweli Chief uyasemayo
Huenda.....
Mimi ni Mwana Diniwewe umeelewa nini juu ya nguvu inayoshikilia uhai na uwepo wa maisha au kitu chochote ulimwenguni???
Unaamini nini au umepata kuielewa ile iliyo kweli katika nguvu inayoshikilia kila kitu .?? umeelewa nini..??
Chief...sio lazima kukiri...ila jamaa yuko vema