klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Khaaa! Ushasahau huyu jamaa ni speshalisti wa kuuza kondom used? Hebu fuatilia hii link....https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/186389-so-will-you.html?highlight=
hehehe nimeipitia dah! kwa ufupi dogo anahitaji kuonana na Dr Riwa haraka sana.
Halaf nashangaa eti sweetlady jana ndo anasema yeye na jamaa ni titanic. Uskute sweetlady nayeye anashabikia used condoms.
Fellow tablet acha nilog out aisee, kuna jamaa kaiba tairi ya gari naenda kumchukulia zamana.