Banned: Asprin....

iribini ambia PAW nataka posts zangu, ohoo!

Last reminder hivoo!
 
sio kila kitu kiwe na masilahi ya moja kwa moja kama unavyofikri-kwenye maisha kuna fursa ya ku-joke na kufurahi na hivyo vina tufanya kuwa pamoja kitaifa na kusahau tofauti zetu-sasa wewe na vi-defination vyako ulivyomeza unajiona una mambo ya maana kwa Taifa hili
haaaa! nimefurahi. kameza zp tupe mfano au kameza meaning of poverty, H.E.P, n.k
 
Kila siku nafanya visa ili nilambe ban naona sipigwi. Mods wananiogopa, nimeamua kwenda mwenyewe Lupango.

Banned: Asprin
........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"...............
progress.gif
https://www.jamiiforums.com/editpost.php?p=2266096&do=editpost

 
Khaaaa!
Jaman Paw where are you????
Plz popote ulipo Ban huyu babu hata kwa siku mbili tuuu!
We msichana taratibu........... Unamwona huyu ndugu yake hapa chini? Maishara haya hawachelewi kuchukulia siriaz..........Mi kukaa na Bigirita lupango, naogopa kufanya mauaji....

........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"...............
progress.gif


 
We msichana taratibu........... Unamwona huyu ndugu yake hapa chini? Maishara haya hawachelewi kuchukulia siriaz..........Mi kukaa na Bigirita lupango, naogopa kufanya mauaji....

Bigirita ashatolewa kwa dhamana, usiwe na wasi ukienda lupango hutamkuta!
 
Reasons: Kujipendelea wajukuu, kushabikia mila na kuukosoa ubazazi.

Period: 1 week

Zingatia sheria na kanuni za JF.

Onyo: Atakayepinga hii BAN naye anapigwa BAN.

Wengine wote muwe na weekend njema.


================
Ban prolonged to 2 weeks



Hii thread imenikwaza!!!!!! Asubuhi yooote hii imenifanya ni ahirishe Coffee na kutafuta Amarula ilipo.... Khaaa!!!
 
Back
Top Bottom