Huu ni ushahidi kuwa watanzania wengi wanaotoka jua linakozama wanaupungufu katika miamala ya kimaisha na mahusiano mema, mwangalie yule 'alfa na omega' alikuja na ujamaa wakijinga watu wakawa masikini wakutupwa, akawachukia matajiri kupita hata huyu, akawanyang'anya watu mali zao walizozijenga wao wenyewe kwa ile dhana ya kuwa hawa ni wahujumu uchumi, wakwepa kodi, na majina mengine kadhaa wa kadhaa, maadamu yeye kwao alikotoka kuna vibanda vya nyasi na wanalalia marimba, alipofika dar akakuta watu wana vigorofa, akaona hili haliwezekani, yeye na usomi wote analalia marimba iweje wasoma......... walalie magodoro ya sufi??
Pia hii inatokana na staili za maisha yao, tafadhalini jamani, mkija mjini badilikeni, nchi mtaiharibu hii. CHUKUWENI USTAARABU WA PWANI, SIO VISHINDO VYA MAJI KUPWA MAJI KUJAA!