Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Tazama channel 10 jioni ujionee maajabu.Daudi Mchambuzi hii ya kuipigia debe bandari imekaa vipi tena?
Tazama channel 10 jioni ujionee maajabu.Daudi Mchambuzi hii ya kuipigia debe bandari imekaa vipi tena?
Maskini pole sana ndugu yangu....tatizo ni ushabiki umekujaa ika ungejua ungakaa kimya na siku ukilejeshewa akili zako ulizowapa wanasiasa utatamani kulia...tena ningekuwa mm ni bakhresa ningewaaambia mpige magoti kuniomba radhi kwa kuniita mkwepa kodi alafu niwafotoe foto, hasa YOHANA!
watulie tuu,,
kwakuwa ni mtikisiko wa bandari zote dunian watajileta wenyewe
Akili ndogo na chuki ndio tatizo laokuna mijitu hapa ilifurahia sana kuanzia waandishi mpk wenye chuki binafsi wakajua anakomolewa jakaya and co kumbe hwakajua maskini kama maamuzi yale yalikuwa yanakuja ua bandari
Bandari watakuwa wametumwa na nani..?
mnacheka kudharau, hahaaaHahahahaha cheeers niko.hapa na wafanyabiashara wenzangu tunagonga cheers hahahah
Wewe wasema, kesho naomba itisha press conference, maneno yote uliyoandika hapa yafute ila bakiza ilo la........ mihemko. Pengine watakuelewa zaidi.Well, la kutima moyo katika haya yanayotekea ni kwamba maofisa wa Magufuli wameanza kumuelewa ni kiongozi wa aina gani na kutokumuogopa, na sasa wanatoa misimamo na maamuzi ya serikali bila kujali Rais kasema nini.
Wananchi na sisi, kama wanavyofanya wasaidizi wa Magufuli, inabidi tujifunze kum ignore anachokisema. Tumeshajua kwamba huwa Rais anaongea na mihemko tu, hakuna mantiki katika mengi anayosema.
Kuna thread humu jana alionyesha kodi ya milioni 20, wakati gari amenunua milioni 5!
Kweli mkuu, akili imegotea hapo hapo kwenye user name.Serikali imewafuata Wafanyabiashara 100 wapi? Wako Jengo gani kila Udaku unaoenezwa na Wakenya Watanzania wanaujadili kama kweli. Hovyo kabisa..