Balozi za Ujerumani na Marekani zinao wajibu wa kufafanua juu ya wawili waliofutiwa visa na Tanzania

Balozi za Ujerumani na Marekani zinao wajibu wa kufafanua juu ya wawili waliofutiwa visa na Tanzania

propaganda kama hizi hazina tija tujifunze kutenda haki Leo ni Nyerere day unaleta propaganda za miaka ya Nyerere wakati tupo Digital ni aibu Amagine huyu ni mwana CCM ana mawazo kama aya kweli Polepole alikua anapigania watu wajinga propaganda za ivyo zimepitwa na wakati
Wewe nawe unajihesabu kama ni GT?
 
Back
Top Bottom