Balozi za Ujerumani na Marekani zinao wajibu wa kufafanua juu ya wawili waliofutiwa visa na Tanzania

Balozi za Ujerumani na Marekani zinao wajibu wa kufafanua juu ya wawili waliofutiwa visa na Tanzania

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Niwapongeze sana Idara ya uhamiaji kuwafutia viza watu wawili wenye mahusiano na taasisi ya KAS.
kwa mapitio yangu watu hawa walianza harakati muda mrefu ikiwemo kutoa mafunzo kwa CHADEMA ambayo
leo tunaiona ikikiuaka kanuni za msingi za chama cha siasa ...kukataa kuingia kwenye uchaguzi na kuhamasisha jamii isishiriki kwenye uchaguzi.my extra thinking inaniambia kuwa CDM ilifunzwa kwa muda mrefu ili kufanya uhaini hapa nchini.

Tuvishukuru vyombo vya usalama kuwagundua hawa accomplice wa uhaini.
Ningekuwa na mamlaka ningewaungamisha kwenye kesi ya uhaini na sio kuwarejesha makwao..
Somo kwa GEN Z ni moja tu..kuwa wapo mamluki wa ndani na nje ya nchi wanaopambana kuiumiza Tanzania kwa kutumia jamii,taasisi na vulnerability ya watanzania...tuwaepuke na tupambane nao.

 
Jingalao katika ubora wake , nimeishia hapo uliposema CHADEMA ilifunzwa kufanya uhaini.

Unaweza kutupa jina la mkufunzi wa huo uhaini?

Vipi mama yenu aliyebariki mafisadi wajipimie kwa urefu wa kamba zao huku shule kadhaa baada ya miaka 64 ya uhuru hazina milango, madawati na madirisha

CHADEMA haishiriki huo upuuzi unaoitwa uchaguzi wa CCM na washirika wake na CHADEMA sasa wako kifungoni mwezi wa 4 hawafanyi shughuli za kisiasa una wasiwasi gani?

CHADEMA haijafuja mabilioni ya wananchi halafu watoto wa viongozi wao watumie bilioni 2.4 kununua vigae .

Hayo ndio matokeo ya kujipimia mafisadi kwa urefu wa kamba zao kama walivyoambiwa.

 
Hayo unaeza ukayasema kwa urahisi na wananchi wangeweza kujuelewa. Ila shida wananchi wanadai nchini haki hakuna...
 
Niwapongeze sana Idara ya uhamiaji kuwafutia viza watu wawili wenye mahusiano na taasisi ya KAS.
kwa mapitio yangu watu hawa walianza harakati muda mrefu ikiwemo kutoa mafunzo kwa CDM ambayo
leo tunaiona ikikiuaka kanuni za msingi za chama cha siasa ...kukataa kuingia kwenye uchaguzi na kuhamasisha jamii isishiriki kwenye uchaguzi.my extra thinking inaniambia kuwa CDM ilifunzwa kwa muda mrefu ili kufanya uhaini hapa nchini.
Tuvishukuru vyombo vya usalama kuwagundua hawa accomplice wa uhaini.
Ningekuwa na mamlaka ningewaungamisha kwenye kesi ya uhaini na sio kuwarejesha makwao..
Somo kwa GEN Z ni moja tu..kuwa wapo mamluki wa ndani na nje ya nchi wanaopambana kuiumiza Tanzania kwa kutumia jamii,taasisi na vulnerability ya watanzania...tuwaepuke na tupambane nao.


..Jwtz, Polisi, na vyombo vingine vinapewa mafunzo na Wamarekani, Wajerumani, na nchi nyingine za kigeni. Katika mazingira hayo kwanini iwe nongwa kwa vyama vya upinzani kupewa mafunzo na mataifa mengine?
 
..Jwtz, Polisi, na vyombo vingine vinapewa mafunzo na Wamarekani, Wajerumani, na nchi nyingine za kigeni. Katika mazingira hayo kwanini iwe nongwa kwa vyama vya upinzani kupewa mafunzo na mataifa mengine?
Akili kubwa mno...
 
Jingalao katika ubora wake , nimeishia hapo uliposema CHADEMA ilifunzwa kufanya uhaini.

Unaweza kutupa jina la mkufunzi wa huo uhaini?

Vipi mama yenu aliyebariki mafisadi wajipimie kwa urefu wa kamba zao huku shule kadhaa baada ya miaka 64 ya uhuru hazina milango, madawati na madirisha

CHADEMA haishiriki huo upuuzi unaoitwa uchaguzi wa CCM na washirika wake na CHADEMA sasa wako kifungoni mwezi wa 4 hawafanyi shughuli za kisiasa una wasiwasi gani?

CHADEMA haijafuja mabilioni ya wananchi halafu watoto wa viongozi wao watumie bilioni 2.4 kununua vigae .
View attachment 3488656
View attachment 3488655
Eti jipimieni!! Haahah aisee hapa tulipigwa.
 
Niwapongeze sana Idara ya uhamiaji kuwafutia viza watu wawili wenye mahusiano na taasisi ya KAS.
kwa mapitio yangu watu hawa walianza harakati muda mrefu ikiwemo kutoa mafunzo kwa CHADEMA ambayo
leo tunaiona ikikiuaka kanuni za msingi za chama cha siasa ...kukataa kuingia kwenye uchaguzi na kuhamasisha jamii isishiriki kwenye uchaguzi.my extra thinking inaniambia kuwa CDM ilifunzwa kwa muda mrefu ili kufanya uhaini hapa nchini.

Tuvishukuru vyombo vya usalama kuwagundua hawa accomplice wa uhaini.
Ningekuwa na mamlaka ningewaungamisha kwenye kesi ya uhaini na sio kuwarejesha makwao..
Somo kwa GEN Z ni moja tu..kuwa wapo mamluki wa ndani na nje ya nchi wanaopambana kuiumiza Tanzania kwa kutumia jamii,taasisi na vulnerability ya watanzania...tuwaepuke na tupambane nao.

Nyie tareh 29 October ndio mtatuelewa
 
Eti jipimieni!! Haahah aisee hapa tulipigwa.
Halafu mleta mada jinga lao anasema eti CCM ndio mkombozi wa watanzania
IMG-20251005-WA0003.jpg
 
propaganda kama hizi hazina tija tujifunze kutenda haki Leo ni Nyerere day unaleta propaganda za miaka ya Nyerere wakati tupo Digital ni aibu Amagine huyu ni mwana CCM ana mawazo kama aya kweli Polepole alikua anapigania watu wajinga propaganda za ivyo zimepitwa na wakati
 
Niwapongeze sana Idara ya uhamiaji kuwafutia viza watu wawili wenye mahusiano na taasisi ya KAS.
kwa mapitio yangu watu hawa walianza harakati muda mrefu ikiwemo kutoa mafunzo kwa CHADEMA ambayo
leo tunaiona ikikiuaka kanuni za msingi za chama cha siasa ...kukataa kuingia kwenye uchaguzi na kuhamasisha jamii isishiriki kwenye uchaguzi.my extra thinking inaniambia kuwa CDM ilifunzwa kwa muda mrefu ili kufanya uhaini hapa nchini.

Tuvishukuru vyombo vya usalama kuwagundua hawa accomplice wa uhaini.
Ningekuwa na mamlaka ningewaungamisha kwenye kesi ya uhaini na sio kuwarejesha makwao..
Somo kwa GEN Z ni moja tu..kuwa wapo mamluki wa ndani na nje ya nchi wanaopambana kuiumiza Tanzania kwa kutumia jamii,taasisi na vulnerability ya watanzania...tuwaepuke na tupambane nao.

Wapongeze ila inaweza kuwa ni ule mwendelezo wa kukurupuka na kulidhalilisha taifa,kwa kukosa weledi kwa yale mambo ya kushikana mikono wajomba,mashangazi,chawa na wahuni kutenda kwa ajili ya manufaa ya familia chache badala ya manufaa ya taifa!
 
Niwapongeze sana Idara ya uhamiaji kuwafutia viza watu wawili wenye mahusiano na taasisi ya KAS.
kwa mapitio yangu watu hawa walianza harakati muda mrefu ikiwemo kutoa mafunzo kwa CHADEMA ambayo
leo tunaiona ikikiuaka kanuni za msingi za chama cha siasa ...kukataa kuingia kwenye uchaguzi na kuhamasisha jamii isishiriki kwenye uchaguzi.my extra thinking inaniambia kuwa CDM ilifunzwa kwa muda mrefu ili kufanya uhaini hapa nchini.

Tuvishukuru vyombo vya usalama kuwagundua hawa accomplice wa uhaini.
Ningekuwa na mamlaka ningewaungamisha kwenye kesi ya uhaini na sio kuwarejesha makwao..
Somo kwa GEN Z ni moja tu..kuwa wapo mamluki wa ndani na nje ya nchi wanaopambana kuiumiza Tanzania kwa kutumia jamii,taasisi na vulnerability ya watanzania...tuwaepuke na tupambane nao.

Hujui maana ya Mbingu na Motoni
US of America- Mbinguni
Tanzania - Motoni

Wala Trump hajasikia hiyo, akisikia mtakula mchanga. You’re playing with FIRe yaani moto
 
Back
Top Bottom