Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,062
- 219,081
Hujui kituKeyboard warriors
Hujui kituKeyboard warriors
Au we nae tundu?safi sana marekani
Tuko tayari kusaidiwa hata na shetani ili tu huyu mkoloni mweusi atokeUmekandamizwa nini wewe? Internet yetu ina muhusu nini yeye? Na mbona haulizi kama tunakula?
Shitukeni huyo balozi ni ibilisi kavaa ngozi ya kondoo
Ni rahisi sana kuona kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzako lingali la kwako lina boriti.Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Kwa Trump hapo...maji ya kuzima nyumba ya jirani wakati kwako kunateketea unayapata wapi...hata hivyo huku kwetu ni mhuni mmoja au wawili wanaopigania matumbo yao na familia zao...Trump ingia kazini Kiongozi.
Nichukue nafasi hii kusema yakwamba viongozi wa upinzani hawawekwi ndani sababu ya kuonewa bali ni pale wanapokiuka sheria za nchi kwani wasije wakahatarisha amani ya nchi yetu.Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Nani kawakataza wasitoe matamko? Au shida ni lugha kama mzee Jiwe?Imefikia kipindi na mabalozi wetu wawe wanatoa maagizo katika nchi nyingine.
Hayo ni mawazo yako wewe pamoja na vijana wenzio wa Kwa ufipa mana ndivyo mlivyomezeshwa.Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.
Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???
Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??
UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??
Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?
Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
Katika harakati za ukombozi ni lazima raia kama nyie muwepo ili wakati Uhuru kamili unaporeviil upate joto ya jiwe vizuri.Kwa Trump hapo...maji ya kuzima nyumba ya jirani wakati kwako kunateketea unayapata wapi...hata hivyo huku kwetu ni mhuni mmoja au wawili wanaopigania matumbo yao na familia zao...
View attachment 1617848
Kentucky Derby 2020: Empty stands and armed militias at America's most famous race
The 146th Kentucky Derby, won by Authentic, was a surreal distillation of the crises facing the United States in 2020www.theguardian.com
Kabisa anajijengea tabia ya kuingilia siasa za Tanzania; huku anajifanya kiziwi kwa matamshi hatari yanayotolewa ya kuvunja amani na hao anaowatetea.
Anaweweseka anapoona Tanzania inaimarika kiuchumi na huku jemedari wetu Magufuli anazidi kubarikiwa na M/Mungu katika kulijenga Taifa letu TanzaniaHivi huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga wanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tz wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
Sasa ndio mtajua Mungu na shetani nani mkuuTuko tayari kusaidiwa hata na shetani ili tu huyu mkoloni mweusi atoke
Yani kuna watu wamepooza akili kweli kweli, yani mpaka Marekani aseme kitu ndio wanaona kinafaa. Taifa lenye umri wa miaka 59 bado linapangiwa kizembe zembe ni upuuzi mtupu. Mabeberu hawawezi kushupalia kama hakuna maslahi aisee.Wapinzani ndio wanao wajengea hiki kiburi kwamba they matter.
Ona ulivyo hujielewi kama viongozi wako wa chamaNani kawakataza wasitoe mat
Kwa hiyo unawashauri nini mamilioni ya Watanzania wanaohitaji UKOMBOZi toka kwa mkoloni mweusi?Kwa mara ya kwanza katika historia ya USA vimeanzishwa vikundi vya wanamgambo wenye silaha nzito eti wanapigania ukombozi.
Je fujo zilitengenezwa hazikutengenezwa?Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.
Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???
Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??
UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??
Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?
Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
Anatuchukulia poa, sisi sio kama wale wa siku zote aliowazoea, muache aendelee kuwashwa washwaHuyu balozi anafikri Tanzania ni koloni la Marekani!
Hujui kitu
Wewe naona halimashauri ya kichwa chako sio sawa unaona sisi hapa kwetu tuna janga gani au hujielewi
Wewe Magufuli ndio anakupa chakula?wajinga wamefurahi kula yako mbinde mbona balozi haji kukupa chakula