Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

Umekandamizwa nini wewe? Internet yetu ina muhusu nini yeye? Na mbona haulizi kama tunakula?
Shitukeni huyo balozi ni ibilisi kavaa ngozi ya kondoo
Tuko tayari kusaidiwa hata na shetani ili tu huyu mkoloni mweusi atoke
 
Balozi huyo ameandika:

Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.

View attachment 1617807
Ni rahisi sana kuona kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzako lingali la kwako lina boriti.
Balozi hebu litetee Taifa lako la Marekani huko kusikoeleweka. Hapa Tanzania tuna amani, tunafanya kazi zetu na maisha yanaenda vizuri tu
 
Trump ingia kazini Kiongozi.
Kwa Trump hapo...maji ya kuzima nyumba ya jirani wakati kwako kunateketea unayapata wapi...hata hivyo huku kwetu ni mhuni mmoja au wawili wanaopigania matumbo yao na familia zao...
3500.jpg

 
Balozi huyo ameandika:

Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.

View attachment 1617807
Nichukue nafasi hii kusema yakwamba viongozi wa upinzani hawawekwi ndani sababu ya kuonewa bali ni pale wanapokiuka sheria za nchi kwani wasije wakahatarisha amani ya nchi yetu.
 
Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.

Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???

Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??

UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??

Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?

Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
Hayo ni mawazo yako wewe pamoja na vijana wenzio wa Kwa ufipa mana ndivyo mlivyomezeshwa.
 
Kwa Trump hapo...maji ya kuzima nyumba ya jirani wakati kwako kunateketea unayapata wapi...hata hivyo huku kwetu ni mhuni mmoja au wawili wanaopigania matumbo yao na familia zao...
View attachment 1617848
Katika harakati za ukombozi ni lazima raia kama nyie muwepo ili wakati Uhuru kamili unaporeviil upate joto ya jiwe vizuri.
 
Kabisa anajijengea tabia ya kuingilia siasa za Tanzania; huku anajifanya kiziwi kwa matamshi hatari yanayotolewa ya kuvunja amani na hao anaowatetea.

Serikali imeshawabembeleza USA vya kutosha ila wameonesha wazi hawana nia njema, ni muda wa kuamua tu wafanye wanalotaka ila hamna haja ya kuwaendekeza wajinga, wao wanataka itokee civil disobedience, mali za watu zichomwe moto nk., huu ujinga sio wa kuendekeza kabisa.
 
Hivi huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga wanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tz wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
Anaweweseka anapoona Tanzania inaimarika kiuchumi na huku jemedari wetu Magufuli anazidi kubarikiwa na M/Mungu katika kulijenga Taifa letu Tanzania
 
Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.

Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???

Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??

UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??

Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?

Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
Je fujo zilitengenezwa hazikutengenezwa?
Wanaodai kuibiwa na kukamata kura je ushahidi ulichomwa haukuchomwa?kama ni kweli ni kwanini uchome kama sio mchzo wa kuigiza
je mbowe,zitto,mdee,heche,lema wangepata ubunge wangesema walichokisema?
turudi kwa wananchi je miaka yote walienda kutengeneza vitambi vyao na kunywa faru john zao walishawahi kuwakumbuka wananchi?

Turudi juzi tu apo janga la corona kuna Mbunge gani kati ya hao hata alitoa fungu la posho yake hata kwa wananchi wa jimbo lake kwamba serikali ipitishe lockdown yeye atasupport wananchi wake kwa chakula ?

Embu fikiri upya tena alafu uje uandike sio huo urojo wako
 
Back
Top Bottom