Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

Kiburi sio jambo jema maana wapo Marais wa ulimwengu na wafuasi wao waliamini hakuna wakuwaondoa madarakani matokeo yake waliondolewa kwa aibu kubwa ikiwemo kuburuzwa mtaani kama vibaka na wengine kutoroka kwa kujifunga baibui za wanawake ili wasijulikane.

Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Kila baada ya miaka kumi Tanzania bara na visiwani tunapiga kura anaingia Rais mwengine.
kwa Tanzania akuna Rais king'ang'anizi wa kung'ang'ania madarakani mpaka kufikia hatua ya kubuluzwa barabarani kama Samwel Do na wengineo.
 
Mkuu hapo ndipo unapokosea unaposema hawezi kuwa Rais hata iweje.

Ina maana wananchi wa Zanzibar wakiamua Maalim Seif awe Rais wao wewe utatengua?
Mzee Seif unamuona kama mwanasiasa, ila kwa wazalendo wanamuona kama mhaini tu,mwenye tamaa ya kuona anaivunja Tanzania vipande vipande kwa maslai ya masultan.
 
Ambassador, dictators never respond to mere words, they only respond to harsh measures including Bombs!
 
Bora angewashauri nchi yake waache kuua raia wake weusi kama kuku.hii nchi yetu atuachie sie wenyewe na amani tuliyonayo tumitengeneza wenyewe bila wao
Unaongelea amani ipi ndugu yangu?
Amani hii hii ya rais mbaguzi anayesema serekali yake haiwezi kumpa huduma mwananchi aliyechagua upinzani au?
 
Mnaongeaga tu kuhusu mahakama za kimataifa ila amjui lolote.

Kaulizeni wananchi wa Rwanda,Burundi,Uganda,Congo kwanini marais wao hawajapelekwa hizo mahakama za kimataifa ilhali wameuwa maelfu ya watu badala yake wanakaribishwa kwenye hizo nchi za mabeberu kwenda kula good time.
Endelea.kujidanganya
 
Nchi yetu ipo right below the microscope - hachomoki mtu mwaka huu haki ya nani!

View attachment 1613605
Be alarmed by the number of Blacks killed by police in the US too. Even your president has doubts in accepting defeat by Biden (if he wins). The integrity of US elections in US next week is also questionable.
 
Back
Top Bottom