mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,282
- 44,823
Ila twendeni mbele turudi nyuma.ZANZIBAR HALI MBAYA HUKO.
Wewe Kama una ndugu au jamaa mpigie akupe habari za huko.
Wewe Kama una ndugu au jamaa mpigie akupe habari za huko.
Unadhani kipindi cha mkapa ni sawa na mwaka huu???Aaa wapi,,kwani nini cha ajabu kipya,mbona Mkapa alipiga pini na akuna cha mahakama ya mwanzo wala cha ICC.
Yeye ndiye anaingiliwa kinyume cha maumbileKila mwenye akili timamu lazima atalaani kinachotokea,lakini cha ajabu kuna mjinga mmoja mwenye mahaba niue kwa jiwe atasema mabeberu wanatuingilia mambo yetu
Dalali ni huyo aliyejenga uwanja wa ndege chato
Muulize vipi Libya kuko poa au?Wametulizaje???
Sawasawa kabisa. Ndo mpeleke pesa za walipa kodi wa Tanzania nzima tena bila kufuata taratibu??Kama chato ipo TZ ni sawa tu ila kama ipo U.S sio sawa.
Kwani kura zimeshapigwa??? Raisi ameshatangazwa????We fala nilikwambia mapema Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sasa hivi umebakia kila thread ICC, nina uhakika hata kirefu chake hujui. Kesho ndo mwisho wa kelele zenu, mbaki mnalalamika tu.
Kahoji kwanza pesa za ruzuku ya chama, michango ya wabunge na rambirambi za michango ya marehemu mawazo wa Geita Mbowe kazipeleka wapi?Sawasawa kabisa. Ndo mpeleke pesa za walipa kodi wa Tanzania nzima tena bila kufuata taratibu??
Punguza basi ukali wa manenoWe fala nilikwambia mapema Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sasa hivi umebakia kila thread ICC, nina uhakika hata kirefu chake hujui. Kesho ndo mwisho wa kelele zenu, mbaki mnalalamika tu.
Ila kwao wanaongea tu wanagombana kisiasa lakini hakuna atakayethubutu kumuumiza mpinzani wake au mpenzi wa chama kingine au siju Trump azime net watamtimua mara moja. hapa tushindane kisiasa lakini sio kutisha watu kuongea na kuzima mitandao.Huko kwao ndio kimenuka zaidi,
Nimekuelewa sana bwashee,inamaana ukiwa mwanadiplomasia ukauwa watu ni sahihi,ila usipokuwa mwanadiplomasia kisha ukauwa watu unakuwa muovu.Unadhani kipindi cha mkapa ni sawa na mwaka huu???
Unajua mkapa wako alikuwaje kidiplomasia??? Unaweza mfananisha na hawa utopolo wako Magufuli na Kabudi????
Uliwai sikia senate wanaijadili Tanzania kipindi cha Mkapa???
Huwezi kunielewa subiri hadi keshokutwa saa 4 ndo utaelewa.Kwani kura zimeshapigwa??? Raisi ameshatangazwa????
Mbona kama umechanganyikiwa???
Kila uovu utawekwa waziUsa kwenye kutetea ushoga yupo vizuri, huu upande aliochagua hataweza
Kwa mwenye akili
Ni bora na salama kwa ww kuridhika na Ugali unao upata kila siku
Hii ni Afrika
Hakuna nchi iliyobadilika baada ya kuondolewa Mtawala na kusimikwa Mtawala mpya.....
Bali ni machafuko na ubabe tu
Tuitunze amani tuliyonayo
watasema nae huyu katumwa aharibu amani ya nchiNchi yetu ipo right below the microscope - hachomoki mtu mwaka huu haki ya nani!
View attachment 1613605
Dictators never heed to prayers, they heed to BOMBSNchi yetu ipo right below the microscope - hachomoki mtu mwaka huu haki ya nani!
View attachment 1613605
tafuta chanzo nini na sio kubweka tu,pumbavu kabisaWatu wenye altitude ya upingaji ni wanafiki na wapumbavu Sana. Yani wao wanataka wawapige police kwa mawe waachwe tu, sijui wandhani police sio watu? Mnapokwenda kuchokoza police aliyeshika AK47 hakikisheni uwezo wa kukabiliana nao mnao, sio mnakuzwa vichwa tu na watu ambao hata hawaishi nchini. Mtakufa na kupata vilema vya maisha na wala hakuna atakae wajali zaidi ya kuwalilia tu mitandaoni kama hivi.
👉 HAYA kile kizee cha zenji kimeamka leo asubuhi eti kinaenda kwenye kituo Cha kupigia kura ilihali kinajua kabisa kinatakiwa kikapige kura kesho. Eti lengo lake kikamatwe na police kiingize watu road😂😂.Wazanzibar hawawezi kuhatarisha maisha yao, juu ya mtu alie katika harakati zake za kujitafutia ugali.