Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

Kulikuwa kuna ulazima gani wakwenda kuwarushia police mawe kulikuwa na ulazima gan wa Seif kutangaza kwenda kupiga kula leo ilhali anajua uchaguzi ni kesho leo ni kwa makundi maalumu yaliyoidhinishwa na istoshe mawakala wake wapo wanasimamia

Upinzani isiwe chanzo cha kupinga kila kitu hao police mnaopiga mawe wanafamilia zao pia zinawaangalia akijitetea mnalalamika

Nendeni mkapige kura haki ni kupiga kula sio kusababisha machafuko huko the Huge mnaposema nchi mnayosema inawasaidia kuwasemea haiitambui hiyo mahakama

KAPIGE KURA SUBIRI MATOKEO KUWA MPINZANI WA KUJENGA SIO KILA KITU UNAPINGA
 
Kwa mwenye akili

Ni bora na salama kwa ww kuridhika na Ugali unao upata kila siku

Hii ni Afrika
Hakuna nchi iliyobadilika baada ya kuondolewa Mtawala na kusimikwa Mtawala mpya.....
Bali ni machafuko na ubabe tu

Tuitunze amani tuliyonayo
Hiyo ni akili kweli mkuu au Utopolo? Wewe inaamani gani hapo ulipo
 
CCM haya mpeni masaa 24 basi kama mnaona anaingilia mambo yasiyomhusu - nyie si wababe??

nasikia haufu na mtu kushitakiwa ICC hapa baada tu ya uchaguzi kuisha.
 
Si ameandika tu uko Twitter, kuandika hawajaanza leo, wino upo wa kutosha acha waandike tu. Ila ukweli utabaki palepale mzee Sief awezikuwa Rais wa Zanzibar hata iweje.
Mkuu hapo ndipo unapokosea unaposema hawezi kuwa Rais hata iweje.

Ina maana wananchi wa Zanzibar wakiamua Maalim Seif awe Rais wao wewe utatengua?
 
Si ameandika tu uko Twitter, kuandika hawajaanza leo, wino upo wa kutosha acha waandike tu. Ila ukweli utabaki palepale mzee Sief awezikuwa Rais wa Zanzibar hata iweje.
Kiburi sio jambo jema maana wapo Marais wa ulimwengu na wafuasi wao waliamini hakuna wakuwaondoa madarakani matokeo yake waliondolewa kwa aibu kubwa ikiwemo kuburuzwa mtaani kama vibaka na wengine kutoroka kwa kujifunga baibui za wanawake ili wasijulikane.

Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
Kulikuwa kuna ulazima gani wakwenda kuwarushia police mawe kulikuwa na ulazima gan wa Seif kutangaza kwenda kupiga kula leo ilhali anajua uchaguzi ni kesho leo ni kwa makundi maalumu yaliyoidhinishwa na istoshe mawakala wake wapo wanasimamia

Upinzani isiwe chanzo cha kupinga kila kitu hao police mnaopiga mawe wanafamilia zao pia zinawaangalia akijitetea mnalalamika

Nendeni mkapige kura haki ni kupiga kula sio kusababisha machafuko huko the Huge mnaposema nchi mnayosema inawasaidia kuwasemea haiitambui hiyo mahakama

KAPIGE KURA SUBIRI MATOKEO KUWA MPINZANI WA KUJENGA SIO KILA KITU UNAPINGA
Kula=Kura.
 
Kulikuwa kuna ulazima gani wakwenda kuwarushia police mawe kulikuwa na ulazima gan wa Seif kutangaza kwenda kupiga kula leo ilhali anajua uchaguzi ni kesho leo ni kwa makundi maalumu yaliyoidhinishwa na istoshe mawakala wake wapo wanasimamia

Upinzani isiwe chanzo cha kupinga kila kitu hao police mnaopiga mawe wanafamilia zao pia zinawaangalia akijitetea mnalalamika

Nendeni mkapige kura haki ni kupiga kula sio kusababisha machafuko huko the Huge mnaposema nchi mnayosema inawasaidia kuwasemea haiitambui hiyo mahakama

KAPIGE KURA SUBIRI MATOKEO KUWA MPINZANI WA KUJENGA SIO KILA KITU UNAPINGA
Ni wachache sana wenye akili watakuelewa Chief

Wapuuzi sana
 
Asante balozi USA ,dunia inashuhudia kila uovu na dhuluma.
Mnapoteza Muda, Uonevu kafanya Ilan kwa kuangasha ndege iliyojaa abiri wake na watu wakaandamana na kuwapiga na hiyo the Mahakama yenu kimyaa itakuwa nyie wachache
 
Ni wachache sana wenye akili watakuelewa Chief

Wapuuzi sana
Ofsaa, hakuna kitu kinauma kama ushabiki wa chama wa kipuuzi unaenda kusababisha maafa kwa watoto na kina mama kisa tu mtu kaamua kupinga kwa mitazamo yake kama Seif alichofanya Sio sawa nilitegemea Kuona watu wakikemea alichofanya seif lakin watu wakashangilia Kuwapiga Police akili ndogo sana ndo ilotumia hapo

Kuna dhana ya kila kitu akifanya mpinzan hata kama nikuvunja sheria watu wanaona wanaonewa Mpinzan gan Ashafata Sheria akaonewa zaid ya kutoa Matusi na Dhihaka kwa wengine
 
Mie huwa namwangalia waziri majalala atavyo toa macho kujifanya wako makini na yanayoendelea ni jambo dogo na anatoa sababu zake!
 
"Nimestushwa na taarifa kutoka Zanzibar na kwingineko za fujo, vifo na watu kukamatwa. Hatujachelewa kuzuia umwagikaji zaidi wa damu! Vyombo vya usalama vijizuie kutumia nguvu kupita kiasi na NEC/ZEC zitimize wajibu kwa uadilifu. Sote tuombe kuwepo kwa uchaguzi wa amani na haki"

 
Back
Top Bottom