Mkuu Mkandara,
Naomba niulize swali dogo: Kama unasema kwamba kinachotokea Libya leo au kwa kipindi cha miezi 6 iliyopita kinatokana na njama za nchi za Magharibi ambazo zilipanga kumwondoa Gadaffi. Swali dogo ni hili, kwanini hizo njama zisubiri kwanza wananchi wa Tunisia waandamane mpaka Rais akakubali kuondoka? Kwanini wasubiri mpaka wananchi wa Misri waandamane Tahrir Square mpaka kikaeleweka?
Ukiangalia huo mtiririko, ni kwamba mambo yalianzia Tunisia, then Misri wakaona kwamba inawezekana kabisa, nao wakafanya kweli na baada ya hapo mambo yakahamia Libya.
Ningekubaliana na hoja yako iwapo hilo swala la Libya lingetokea in isolation, lakini kwa yanayotokea hapo Afrika ya Kaskazini, naogopa kunyoosha mkono moja kwa moja kwamba ni njama za nchi za Magharibi. Nchi za Magharibi walichokifanya ni ku-take opportunity iliyojitokeza ili kuondokana na jamaa maana walishamchoka.
Ni sawa na Nyerere alivyofurahia kitendo cha Amin kujilengesha mwenyewe na mzee wa watu akasema hii ndio nafasi pekee maana tukimwacha anaweza kutuletea balaa huko mbele ya safari.
Naomba niulize swali dogo: Kama unasema kwamba kinachotokea Libya leo au kwa kipindi cha miezi 6 iliyopita kinatokana na njama za nchi za Magharibi ambazo zilipanga kumwondoa Gadaffi. Swali dogo ni hili, kwanini hizo njama zisubiri kwanza wananchi wa Tunisia waandamane mpaka Rais akakubali kuondoka? Kwanini wasubiri mpaka wananchi wa Misri waandamane Tahrir Square mpaka kikaeleweka?
Ukiangalia huo mtiririko, ni kwamba mambo yalianzia Tunisia, then Misri wakaona kwamba inawezekana kabisa, nao wakafanya kweli na baada ya hapo mambo yakahamia Libya.
Ningekubaliana na hoja yako iwapo hilo swala la Libya lingetokea in isolation, lakini kwa yanayotokea hapo Afrika ya Kaskazini, naogopa kunyoosha mkono moja kwa moja kwamba ni njama za nchi za Magharibi. Nchi za Magharibi walichokifanya ni ku-take opportunity iliyojitokeza ili kuondokana na jamaa maana walishamchoka.
Ni sawa na Nyerere alivyofurahia kitendo cha Amin kujilengesha mwenyewe na mzee wa watu akasema hii ndio nafasi pekee maana tukimwacha anaweza kutuletea balaa huko mbele ya safari.