Balozi Ombeni Sefue kumrithi Luhanjo

Balozi Ombeni Sefue kumrithi Luhanjo

Status
Not open for further replies.
Katibu Mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana na kina influence kubwa katika uongozi wa nchi lakini siyo kwa Tanzania ambapo Rais ni kila kitu. Kila kitu kwa maana kwamba mawazo yake na maamuzi yake ndiyo sera, mkakati, sheria, kanuni na mwongozo wa kuongoza nchi. Na Rais kama kikwete hali hiyo ndiyo imetamalaki sana. Inasemekana yeye huwa hashauriki, haambiliki na mbaya zaidi wakati wa cabinet meetings huongea sana irrelevant story na hutoa 'concluding remarks' kwenye mada mbichi kabisa ambayo washauri wake wakuu yaani mawaziri na hususani waziri wa sekta husika hajatoa mawazo yake. Kwa hiyo, kwa muktadha huu, ukatibu mkuu kiongozi chini ya kikwete hauna maana yoyote. Kwangu mimi hata akimweka mama salma, au tambwe hiza au hata riz1 ni sawa tu na kuwepo luhanjo. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote.
 
hahahahaha lol umenichekesha.



Mwanakijiji samahani

Hivi kazi na majukuu ya katibu Mu kingozi nini. I mean kunaweza kuwa na upwayajai wa utendaji cheo kama hicho kikikaa wazi mwaka mzima ?

Zing CS ni mtu mkubwa sana. Ninachojua kwa kifupi ni kwamba yeye ni Katibu wa Baraza la Mawaziri pia ni Mkuu wa Watumishi wote wa Umma. Ni Mkuu wa Makatibu Wakuu wote! Labda MMM atakuja na mengine
 
Katibu Mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana na kina influence kubwa katika uongozi wa nchi lakini siyo kwa Tanzania ambapo Rais ni kila kitu. Kila kitu kwa maana kwamba mawazo yake na maamuzi yake ndiyo sera, mkakati, sheria, kanuni na mwongozo wa kuongoza nchi. Na Rais kama kikwete hali hiyo ndiyo imetamalaki sana. Inasemekana yeye huwa hashauriki, haambiliki na mbaya zaidi wakati wa cabinet meetings huongea sana irrelevant story na hutoa 'concluding remarks' kwenye mada mbichi kabisa ambayo washauri wake wakuu yaani mawaziri na hususani waziri wa sekta husika hajatoa mawazo yake. Kwa hiyo, kwa muktadha huu, ukatibu mkuu kiongozi chini ya kikwete hauna maana yoyote. Kwangu mimi hata akimweka mama salma, au tambwe hiza au hata riz1 ni sawa tu na kuwepo luhanjo. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote.

Punguza hasira Mkuu.
 
Kweli hizi ni tetesi....... Anyway, lets neither ignore, nor institutionalize them!
 
Katibu Mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana na kina influence kubwa katika uongozi wa nchi lakini siyo kwa Tanzania ambapo Rais ni kila kitu. Kila kitu kwa maana kwamba mawazo yake na maamuzi yake ndiyo sera, mkakati, sheria, kanuni na mwongozo wa kuongoza nchi. Na Rais kama kikwete hali hiyo ndiyo imetamalaki sana. Inasemekana yeye huwa hashauriki, haambiliki na mbaya zaidi wakati wa cabinet meetings huongea sana irrelevant story na hutoa 'concluding remarks' kwenye mada mbichi kabisa ambayo washauri wake wakuu yaani mawaziri na hususani waziri wa sekta husika hajatoa mawazo yake. Kwa hiyo, kwa muktadha huu, ukatibu mkuu kiongozi chini ya kikwete hauna maana yoyote. Kwangu mimi hata akimweka mama salma, au tambwe hiza au hata riz1 ni sawa tu na kuwepo luhanjo. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote.

Katibu Mkuu Kiongozi. Ni kiongozi wa mawaziri wote! Kuanzia PM hadi wa Jinsia,na Watoto...
 
Katibu Mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana na kina influence kubwa katika uongozi wa nchi lakini siyo kwa Tanzania ambapo Rais ni kila kitu. Kila kitu kwa maana kwamba mawazo yake na maamuzi yake ndiyo sera, mkakati, sheria, kanuni na mwongozo wa kuongoza nchi. Na Rais kama kikwete hali hiyo ndiyo imetamalaki sana. Inasemekana yeye huwa hashauriki, haambiliki na mbaya zaidi wakati wa cabinet meetings huongea sana irrelevant story na hutoa 'concluding remarks' kwenye mada mbichi kabisa ambayo washauri wake wakuu yaani mawaziri na hususani waziri wa sekta husika hajatoa mawazo yake. Kwa hiyo, kwa muktadha huu, ukatibu mkuu kiongozi chini ya kikwete hauna maana yoyote. Kwangu mimi hata akimweka mama salma, au tambwe hiza au hata riz1 ni sawa tu na kuwepo luhanjo. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote.

hii inanikumbusha kauri ya JK ya miaka 50
Tumedhubutu- "UJINGA"
Tumewaza - "IJINGA HUO HUO"
na Tunaendelea - "KUFANYA UJING HUO HUO"
 
Katibu Mkuu Kiongozi. Ni kiongozi wa mawaziri wote! Kuanzia PM hadi wa Jinsia,na Watoto...

Acha uongo bwana. Kama hujui si bora kiukaa kimya au kuomba/kutaka kujua jamani. Crap. Hii hata mtoto wa darasa la tatu ambaye anafuatilia tu masuala ya utawala kupitia vyombo vya habari hawezi kutoa upupu kama huu. CS kiongozi wa mawaziri!
 
Mambo ya Nje kulimfurahisha sana JK. Amewavuta wengi. Kwani Patrick Rutta au Peniel Lyimo wana tatizo gani?
 
Hivi hii nchi viongozi ni hawa tu hakuna wengine? Kwa nini watu wanaenda shule kama kazi zenyewe wanashikilia watu wale wale tangu Tanzania oops sorry Tanganyika inapata uhuru!! Wazee kaeni makwenu mle pensheni waachieni watu wengine mimi nakasirika upuuzi huu.
Suala la umri hata ulaya wanaoshika uongozi asilimia mpaka 90 ni wazee!! Ulaya mtu wa miaka 50 kushika madakara ya kuongoza nchi huwa inaonekana kama ni kijana ingawa "life expectancy" yao na yetu ni tofauti. Suala si umri bali ni ufanisi kwani kuna vijana wengine wasomi na wadogo lakini ufanisi wao unapitwa kwa mbali na wazee waliomo kwenye taasisi zao.
 
Kama ni kweli balozi ndio atapewa mikoba hyo nitasikitika sana kwa Tz kukosa coinsitance ya UN coz kabla haja master majukumu yake na ku cope anabadilishwe akipelekwa mwingne mpk acope sie tumeshachelewa sana
 
Waziri hawezi kuteuliwa kushika wadhifa huo? ama kiprotokali haikubaliki?
 
..hii itakuwa ni ajabu kidogo ukizingatia kwamba Balozi Sefue hajapata kuwa Katibu Mkuu wa wizara yoyote ile.

..Makatibu wakuu viongozi wengi waliomtangulia waliteuliwa kutoka ktk safu ya Makatibu Wakuu.

..pia nafasi hiyo haijapata kushikwa na mwanamke tangu tupate uhuru. Je, hakuna kina mama wanao-qualify hapo?

..hakuna Mzanzibari amewahi kuteuliwa Katibu Mkuu kiongozi.

..pia sikumbuki kama kuna Muislamu amewahi kushika wadhifa huo.

NB:

..according to mwana JF Kilasara,Makatibu wakuu viongozi tangu tupate uhuru ni hawa hapa: Dunstan Omari, Joseph Namata, Dickson Nkembo, Timothy Apiyo, Paul Rupia, Martens Lumbanga, na Philemon Luhanjo.
 
..hii itakuwa ni ajabu kidogo ukizingatia kwamba Balozi Sefue hajapata kuwa Katibu Mkuu wa wizara yoyote ile.

..Makatibu wakuu viongozi wengi waliomtangulia waliteuliwa kutoka ktk safu ya Makatibu Wakuu.

..pia nafasi hiyo haijapata kushikwa na mwanamke tangu tupate uhuru. Je, hakuna kina mama wanao-qualify hapo?

..hakuna Mzanzibari amewahi kuteuliwa Katibu Mkuu kiongozi.

..pia sikumbuki kama kuna Muislamu amewahi kushika wadhifa huo.

NB:

..according to mwana JF Kilasara,Makatibu wakuu viongozi tangu tupate uhuru ni hawa hapa: Dunstan Omari, Joseph Namata, Dickson Nkembo, Timothy Apiyo, Paul Rupia, Martens Lumbanga, na Philemon Luhanjo.
Butiku je?
 
Mpui Lyazumbi,

..Joseph Butiku alikuwa Private Secretary[Katibu] wa Raisi, na baadaye akateuliwa Mkuu wa mkoa wa Mara mpaka alipostaafu.

..David Jairo naye alikuwa Private Secretary wa Raisi kabla hajateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Nishati na Madini.

..hiyo ni nafasi nzito na nyeti ambapo uteuzi wake hufanywa na Raisi mwenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom