Rais Samia ni wazi sasa anamuamini Balozi Sefue na ndiye kamchagua mwenyekiti wa TPDC na Msaidizi wa mwenyekiti wa tume maalumu ya kumshauri kwenye mabadiliko ya majeshi yetu.
Na ndiyo tunarudi kulekule tenaAlimpotosha JK mambo mengi sn huyu mzee
Hawa wote ni product za JK ndiyo maana maza kazi yake ni kuwatangaza lakini mteuzi ni mwingine kabisaNa ndiyo tunarudi kulekule tena
Alimpotosha JK mambo mengi sn huyu mzee
Wanaostaafu ni watumishi wa chini pekee huku juu ni kulindana tupuNchi hii concept ya kustaafu haipo kabisa.
Kama boss wako hachukui rushwa wewe utathubutu kuchukua rushwa?Si kweli tatizo ni wala rushwa mfano Kilimo kwanza ilikuwa sera nzuri Raisi Samia kaliona hilo tunarudi kulekule tumeona kwenye budget ya kilimo. Mkataba wa kujenga kituo cha kuchakata gas tumerudi tatizo yule Prof wa wizara wakati wa kikwete alikuwa mla rushwa sana na kuwapiga vita watu wote wasiokula rushwa kama Dr Mataragio pale TPDC na wataalamu wengine wengi wa diaspora walikuwa waje kusaidia TPDC wakaweka fitna
Home Nina yellow book ya TTCl kwenye hivi vitabu walikuwa wanaweka namba za simu za wananchi na viongoziNchi hii concept ya kustaafu haipo kabisa.
Labda upo sahihi lakini unaonaje Hawa wazee wetu tukiwapumzisha ?Pamoja na kwamba nipo nyutro bitu vingi, lakini Balozi Sefue ni mojawapo ya senior citizen wetu ambao wana akili na busara na kufanya maamuzo kwa kiasi. H does not possess extreme behaviour. Lakini pia anajua nini ambacho dunia inataka.
Sefue ni sampuli ya Balozi Mahiga.
Hili ni swali zuri sana. Kulijibu sharti uwe makini. Katika hali ya kawaida kama Bosi siyo mlevi wa kuabudiwa, ni mdadisi na si mvivu wa kusoma na kutembelea maeneo yake na kukagua kazi hakuna atakayedhubutu kuchukua rushwa. Lakini akiwa ni mtu mzubao anayependa kusifiwa, kupokea zawadi za hapa na pale, kuandaliwa sherehe na mapambio, anaweza asipokee rushwa lakini akaruhusu walioko chini yake wakapokea rushwa kwa niaba yake tena kwa wingi mnoo. Wa aina hii huweka sahihi document bila hata kuzipitia na bila kujua kilichopo ndani ya document anayoweka sahihi kwa sababu tu imeletwa kwake na mfanyakazi fulani anayempenda au anayemwamini. Hapo ukiongezeka ufuska basi tena.Kama boss wako hachukui rushwa wewe utathubutu kuchukua rushwa?
U'r wrongPamoja na kwamba nipo nyutro vitu vingi, lakini Balozi Sefue ni mojawapo ya senior citizen wetu ambao wana akili na busara na kufanya maamuzi kwa kiasi. He does not possess extreme behaviour. Lakini pia anajua nini ambacho dunia inataka.
Sefue ni sampuli ya Balozi Mahiga.
Rais Samia ni wazi sasa anamuamini Balozi Sefue na ndiye kamchagua mwenyekiti wa TPDC na Msaidizi wa mwenyekiti wa tume maalumu ya kumshauri kwenye mabadiliko ya majeshi yetu
Mpaka kifoWanaostaafu ni watumishi wa chini pekee huku juu ni kulindana tupu
Rais Samia ni wazi sasa anamuamini Balozi Sefue na ndiye kamchagua mwenyekiti wa TPDC na Msaidizi wa mwenyekiti wa tume maalumu ya kumshauri kwenye mabadiliko ya majeshi yetu.
Kazi wanazopewa wazee wetu wastaafu sio ajira as such ni kazi za muda mfupi, na zinahitaji watu wazoefu, hakuna ubaya wowote kwenye kuwapa hizo kazi, hawachukui ajira ya mtu, tutumie uzoefu wao kwa maslahi ya TaifaLabda upo sahihi lakini unaonaje Hawa wazee wetu tukiwapumzisha ?