The unbreakable
Member
- Mar 15, 2016
- 13
- 7
I concur.......Siasa ni sayansi!
Ukikosea formula utapata solution ya ajabu!
Mafuriko ya kutengeneza yaliwafanya wakawa vipofu kifikra!
Msanii alifanya kazi yake iliyosababisha baadhi kukumbwa na mafuriko ya kutengeneza!
Kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa!
Ukweli hutumia ngazi kuwafikia walengwa!
Ukweli umeanza kuwafikia!
By the way. Mambo ya kuhama hama vyama wawaachie vijana. Wewe umezeeka ukiwa ndani ya chama halafu baadaye unatuambia eti chama kimepoteza mwelekeo au kimekosa pumzi!
Wazee wa aina ya Juma Mwapachu ni hatari sana katika ustawi wa Taifa kwa sababu kwao tumbo ni kila kitu. Wako tayari hata kuua ili washibishe tumbo lao.
Watu kama Mzee Warioba au Butiku hawaho ndani ya CCM kwa sababu CCM ni nzuri sana, la hasha. Wako ndani ya CCM kwa sababu heshima yao wameipata ndani ya CCM.
Kwenye utawala wa Rais Magufuli tutaona na kusikia mengi!