Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,550
Wanabodi,
Mimi ni miongoni mwa members humu niliyejibainisha ni trend Reader mzuri. Kusoma trends sio utabiri bali ni kusoma mielekeo.
Trend ya leo ni maandalizi ya mwisho mwisho ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick Tulway Sumaye kurejea nyumbani CCM .
Trend hii ni kufuatia kuotazama na kuisikiliza program hii.
Trend hii ni kufuatia kurejea nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu mwingine, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa.
Kwanza Lowassa aliomba kumuona rais Magufuli, bila kuwaeleza Chadema nia yake hiyo akidhani mkutano wake na
Magufuli ungekuwa discreet.
Baada tuu ya Lowassa kutinga Ikulu na kuonana na Rais Magufuli, Chadema walikuja juu, Lowassa akajifanya yeye ndie aliitwa na Magufuli na hakujua
ameitiwa nini na kudai Magufuli alimuita Lowassa ili kumuomba kurejea CCM.
Ili kuwazuga Chadema mimi niliuliza humu
Ndipo nikamshauri Lowassa kabla hajarejea CCM afanye hivi
Baada ya sarakasi hizi, Lowassa alirejea rasmi CCM. Sasa tusubirie sarakasi za Sumaye.
Sasa ni zamu ya Frederick Sumaye, ameomba kumuona Magufuli na Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli ameisha mkubalia bado tuu kumpangia siku.Swa
Kwa sababu Lowassa alishtuliza, Sumaye hatashtukiza. Jee wana Chadema mnataarifa kuwa Mhe. Sumaye anamtafuta Magufuli?.
Sio kila trends ni lazima zitokee, inawezekana kabisa Sumaye akawa ni mpinzani wa kweli na anachomtafutia rais Magufuli ni ili kuimarisha upinzani kwa kumkabili na kumueleza rais Magufuli kuwa nchi inaendeshwa kwa mujibu wa katiba, haki ya mikutano ya siasa ni haki ya kikatiba, haiwezekani rais Magufuli aliyechaguliwa kwa mujibu wa katiba na kuapa kuilinda na kuitetea katiba halafu yeye huyo huyo akawa wa kwanza kuisigina katiba.
Kama hii ndio lengo la Sumaye kumtafuta rais Magufuli, then huyu ni mpinzani wa kweli mwenye nia njema, thabiti na ya kweli kuimarisha upinzani.
This being the case, then the only deserving position kwa Sumaye ndani ya Chadema ni kumpokea Mhe. Mbowe uenyekiti wa Chadema.
Jumamosi Njema.
Paskali
Rejea za Trends za Paskali
Mimi ni miongoni mwa members humu niliyejibainisha ni trend Reader mzuri. Kusoma trends sio utabiri bali ni kusoma mielekeo.
Trend ya leo ni maandalizi ya mwisho mwisho ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick Tulway Sumaye kurejea nyumbani CCM .
Trend hii ni kufuatia kuotazama na kuisikiliza program hii.
Trend hii ni kufuatia kurejea nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu mwingine, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa.
Kwanza Lowassa aliomba kumuona rais Magufuli, bila kuwaeleza Chadema nia yake hiyo akidhani mkutano wake na
Magufuli ungekuwa discreet.
Baada tuu ya Lowassa kutinga Ikulu na kuonana na Rais Magufuli, Chadema walikuja juu, Lowassa akajifanya yeye ndie aliitwa na Magufuli na hakujua
ameitiwa nini na kudai Magufuli alimuita Lowassa ili kumuomba kurejea CCM.
Ili kuwazuga Chadema mimi niliuliza humu
Kama hiki ndicho Lowassa alichoitiwa Ikulu, Then tuna Rais wa ajabu! Kama ni Uongo, Lowassa ashitakiwe kwa Uchochezi!
Wanabodi, Hii ni thread ya kutoamini kuwa hii statement ya Lowassa ndicho alichoitiwa Ikulu. Hii statement ya Lowassa kuwa rais Magufuli, alimuita yeye Lowassa Ikulu, ili kumrubuni kwa kumtaka ajitoe Chadema na kurejea CCM, haijakaa vizuri!, watu wazima wanapokutana na kwa mazungumzo ya...
www.jamiiforums.com
Ndipo nikamshauri Lowassa kabla hajarejea CCM afanye hivi
Ushauri wa bure kwa Lowassa, japo it's now just a matter of time kabla... Tafadhali sana tunakuomba kwanza kanusha tamko hili!
Wanabodi, Huu ni ushauri wa bure kwa Mhe. Edward Lowassa, kwa opinion yangu as of now, it's just a matter of time kabla hajaunga mkono juhudi, tunamuomba sana, kabla ya yote, akanushe kwanza Tamko lake lililoko ndani ya bandiko hili, na baada ya kukanusha, ndipo awe free kuunga mkono juhudi na...
www.jamiiforums.com
Baada ya sarakasi hizi, Lowassa alirejea rasmi CCM. Sasa tusubirie sarakasi za Sumaye.
Sasa ni zamu ya Frederick Sumaye, ameomba kumuona Magufuli na Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli ameisha mkubalia bado tuu kumpangia siku.Swa
Kwa sababu Lowassa alishtuliza, Sumaye hatashtukiza. Jee wana Chadema mnataarifa kuwa Mhe. Sumaye anamtafuta Magufuli?.
Sio kila trends ni lazima zitokee, inawezekana kabisa Sumaye akawa ni mpinzani wa kweli na anachomtafutia rais Magufuli ni ili kuimarisha upinzani kwa kumkabili na kumueleza rais Magufuli kuwa nchi inaendeshwa kwa mujibu wa katiba, haki ya mikutano ya siasa ni haki ya kikatiba, haiwezekani rais Magufuli aliyechaguliwa kwa mujibu wa katiba na kuapa kuilinda na kuitetea katiba halafu yeye huyo huyo akawa wa kwanza kuisigina katiba.
Kama hii ndio lengo la Sumaye kumtafuta rais Magufuli, then huyu ni mpinzani wa kweli mwenye nia njema, thabiti na ya kweli kuimarisha upinzani.
This being the case, then the only deserving position kwa Sumaye ndani ya Chadema ni kumpokea Mhe. Mbowe uenyekiti wa Chadema.
Jumamosi Njema.
Paskali
Rejea za Trends za Paskali
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...
www.jamiiforums.com
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
www.jamiiforums.com
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Wanabodi, Naomba kukiri kumfahamu Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, tangu kitambo kidogo kwa Paul kutambulishwa kwangu nikiwa mjini Dodoma, pale Dodoma Hotel, kiukweli nilimuona kama ni mtu anayejisikia fulani!, anajiona na kama anaringa fulani, ukijumlisha na zile kauli zake za...
www.jamiiforums.com
Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Wanabodi, Baada ya kupitishwa kwa katiba mpya tuipendayo ya serikali mbili, watu wote wenye hoja za serikali tatu, ni watu wa hatari sana kwa mustakabali wa taifa hili. Mmoja wa watu hawa ni Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huyu ni mtu hatari sana kwa mustakabali na majaaliwa ya kupitishwa kwa...
www.jamiiforums.com
Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
Wanabodi, Wale wa zamani kama mimi mtayakumbuka baadhi ya maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP) akizungumzia upinzani wa kweli, alisema angependa kuona serious oppositions wa vyama viwili au vitatu na sio utitiri wa vyama, japo Mwalimu aliongezea "Upinzani wa Kweli...
www.jamiiforums.com
Wito: Magesa Mulongo afukuzwe Kazi kwa Bullying. Dr. Faisal was acting under Provocation!
Wanabodi, Tangu baada ya Nyerere, na mtindo ule wa vitendo bila kuchelewa na utoaji wa maamuzi magumu, Watanzania walimisi sana maamuzi ya aina hii kwenye utawala wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hivyo sasa wanashangilia sana kila maamuzi ya utumbuaji wa majipu wa papo kwa papo ya rais wetu, Dr...
www.jamiiforums.com
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...
www.jamiiforums.com