Balozi Edward Mhina Amefariki Dunia...

Mwawado

JF-Expert Member
Nov 2, 2006
993
252
Balozi/Mwalimu Edward Mhina amefariki Dunia Leo Jijini Dar-es-Salaam Tanzania.Mzee Mhina amefariki Dunia nyumbani kwake Makongo Juu.Habari za Msiba na mazishi Mtaarifiwa Baadaye.
 
Balozi/Mwalimu Edward Mhina amefariki Dunia Leo Jijini Dar-es-Salaam Tanzania.Mzee Mhina amefariki Dunia nyumbani kwake Makongo Juu.Habari za Msiba na mazishi Mtaarifiwa Baadaye.

Duh!...hii sasa noma.Alikua anaumwa?

Poleni sana kwa wafiwa and may The Almighty guide
his soul to eternity.Be steadfast and stay firm.

Amen.
 
namuomba Mola aipe roho ya marehemu mapumziko mema peponi na awajaze faraja familia, jamaa na marafiki wa marehemu.
 
Heshima mbele Balozi Mwawado,

Mungu awape faraja wafiwa, na amuweke mahali pema peponi marehemu, Balozi Mwawado tupe wasifu wa marehemu ikiwezekana.

Respect.
 

Poleni sana wafiwa. Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.

Poleni sana

 
Wafiwa poleni sana........na Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi

Balozi shukran kwa taarifa
 
Poleni sana Wafiwa. Pole sana Evah, My Classmate at Mfaranyaki Primary School, Songea LY 1974. Poleni Lucy, Anita, Teddy, Peter, Tino, Sam na Kicheba. MUNGU awe nanyi katika wakati huu mgumu sana kwenu. RIP Mzee Mhina.
 
Heshima mbele Balozi Mwawado,

Mungu awape faraja wafiwa, na amuweke mahali pema peponi marehemu, Balozi Mwawado tupe wasifu wa marehemu ikiwezekana.

Respect.

Mkuu naomba uiondoe hiyo hadhi ya Ubalozi!!...Niite Mjasiriamali.

Wasifu wa Balozi Mhina aliwahi kuwa Mkuu wa shule ya kati/sekondari wa Kwanza Mwafrika huko Malangali - Iringa,Aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Elimu Kibaha kabla ya kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.

Mwaka 1972/73 Mwalimu Nyerere, alimteua kuwa Balozi wetu wa kwanza huko Scandinavia (Sweden,Norway,Finland na Denmark),alikaa Sweden kwa kipindi cha Miaka 10 na kurudi Tanzania 1984.Alipokuwa Stokholm alikuza kwa kiwango kikubwa Ushirikiano wetu na Sweden...Familia yake ina urafiki wa karibu na Familia ya Marehemu Waziri Mkuu olof Palme.

Aliporudi Tanzania alichaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Elimu na Baadaye kuwa Mwenyekiti kwenye Bodi ya SIDO.

Marehemu ameacha watoto (nane) Lucy,Anita,Eva,Tino,Peter,Teddy,Samwel na Kicheba na Wajukuu kadhaa.Mwili wa marehemu utasafirishwa kwa ajili ya mazishi huko kwao Tongwe - Muheza,Tanga kwenye Tarehe itakayopangwa na wanafamilia.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Makongo,na wanasubiriwa watoto wa Marehemu kutoka Sweden,Us,Ethiopia na Jordan kwa ajili ya utaratibu wa mazishi.
Mwenyezi Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi!!
 
Mkuu naomba uiondoe hiyo hadhi ya Ubalozi!!...Niite Mjasiriamali.

Wasifu wa Balozi Mhina aliwahi kuwa Mkuu wa shule ya kati/sekondari wa Kwanza Mwafrika huko Malangali - Iringa,Aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Elimu Kibaha kabla ya kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.

Mwaka 1972/73 Mwalimu Nyerere, alimteua kuwa Balozi wetu wa kwanza huko Scandinavia (Sweden,Norway,Finland na Denmark),alikaa Sweden kwa kipindi cha Miaka 10 na kurudi Tanzania 1984.Alipokuwa Stokholm alikuza kwa kiwango kikubwa Ushirikiano wetu na Sweden...Familia yake ina urafiki wa karibu na Familia ya Marehemu Waziri Mkuu olof Palme.

Aliporudi Tanzania alichaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Elimu na Baadaye kuwa Mwenyekiti kwenye Bodi ya SIDO.

Marehemu ameacha watoto (nane) Lucy,Anita,Eva,Tino,Peter,Teddy,Samwel na Kicheba na Wajukuu kadhaa.Mwili wa marehemu utasafirishwa kwa ajili ya mazishi huko kwao Tongwe - Muheza,Tanga kwenye Tarehe itakayopangwa na wanafamilia.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Makongo,na wanasubiriwa watoto wa Marehemu kutoka Sweden,Us,Ethiopia na Jordan kwa ajili ya utaratibu wa mazishi.
Mwenyezi Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi!!



Ninaomba kusahihisha kidogo. Aliteuliwa mwaka 1975 kuwa Balozi nchini Sweden. Mwaka 1972/73 alikuwa bado ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma. Tulikuwa majirani na tulimaliza darasa la Saba na Evah kwenye shule ya msingi Mfaranyaki mwaka 1974.
 
Bwana alitoa, na Bwana ametwa, Jina la Bwana libarikiwe. Amen.

Poleni wafiwa.

Mungu awe mfariji wenu wakati huu wa majonzi.
 
Poleni sana wafiwa na tunamuomba Mungu awape faraja na subira katika kipindi hiki kigumu kwenu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
 
MKUU KIDO UMENIACHA!!!

"""""Heshima mbele Balozi Mwawado,"""""

Mungu awape faraja wafiwa, na amuweke mahali pema peponi marehemu, Balozi Mwawado tupe wasifu wa marehemu ikiwezekana.

Respect.
 
Mkuu naomba uiondoe hiyo hadhi ya Ubalozi!!...Niite Mjasiriamali.

Wasifu wa Balozi Mhina aliwahi kuwa Mkuu wa shule ya kati/sekondari wa Kwanza Mwafrika huko Malangali - Iringa,Aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Elimu Kibaha kabla ya kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.

Mwaka 1972/73 Mwalimu Nyerere, alimteua kuwa Balozi wetu wa kwanza huko Scandinavia (Sweden,Norway,Finland na Denmark),alikaa Sweden kwa kipindi cha Miaka 10 na kurudi Tanzania 1984.Alipokuwa Stokholm alikuza kwa kiwango kikubwa Ushirikiano wetu na Sweden...Familia yake ina urafiki wa karibu na Familia ya Marehemu Waziri Mkuu olof Palme.

Aliporudi Tanzania alichaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Elimu na Baadaye kuwa Mwenyekiti kwenye Bodi ya SIDO.

Marehemu ameacha watoto (nane) Lucy,Anita,Eva,Tino,Peter,Teddy,Samwel na Kicheba na Wajukuu kadhaa.Mwili wa marehemu utasafirishwa kwa ajili ya mazishi huko kwao Tongwe - Muheza,Tanga kwenye Tarehe itakayopangwa na wanafamilia.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Makongo,na wanasubiriwa watoto wa Marehemu kutoka Sweden,Us,Ethiopia na Jordan kwa ajili ya utaratibu wa mazishi.
Mwenyezi Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi!!


Je ni yule kipindi furani alikua akiishi Sinza kwa Remmy karibu na Bobs Motel?
 
Mkulu Balozi Mwawado,

Mkuu vitu vyako humu ndani ya JF vina-amount to the level ya uablozi balozi, najua kuwa wewe ni mjasiriamali, lakini la Balozi Mwawado lina-fit sna ndugu yangu, anyways shukrani kwa wasifu wa marehemu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom