Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mkuu bado tu unaukodolea macho huu Uzi?Joined March 31,2016......................12 days ago...............Mi nimetulia tu naukodolea macho huu uzi................
Mkuu bado tu unaukodolea macho huu Uzi?Joined March 31,2016......................12 days ago...............Mi nimetulia tu naukodolea macho huu uzi................
Tuhuma dhidi ya wakurugenzi na mameneja wake waliotumbuliwa zikififikishwa kwenye mahakama ya mafisadi zitamtungua huko Addis kwa kasi ya kimbunga. Hata hivyo serikali haiwezi kumsponsor kwa kazi nyeti kama hiyo wakati bado anagubikwa na tuhuma za ufisadi NSSF na ndio maana amebakia kuwa "Balozi wa Tanzania nchini Tanzania" na sasa tuna mabalozi wawili wa aina hiyo baada ya kuteuliwa mwingine kutoka TISS, Hongera zao!!Kwenye ukweli tuseme ukweli, msomi na mwanadiplomasia nguli Dr. Dau (PhD) amefanya kazi nzuri ya kulirekebisha shirika/mfumo wa hifadhi ya jamii NSSF ameanzisha miradi mingi yenye tija kwa taifa na wanachama wa NSSF. Wakati akielekea kwenye majukumu ya Kidiplomasia kama Mwenyekiti mpya wa African Union (Tetesi - baada ya Dr. Nkosazana Zuma kumaliza muda wake mwezi july, 2016) tunamtakia kila la heri na akatuwakilishe vema huko Addis Ababa.
Subiri takukuru wamalize uchunguzi wao ndo apangiwe kazi na mahakamaKwenye ukweli tuseme ukweli, msomi na mwanadiplomasia nguli Dr. Dau (PhD) amefanya kazi nzuri ya kulirekebisha shirika/mfumo wa hifadhi ya jamii NSSF ameanzisha miradi mingi yenye tija kwa taifa na wanachama wa NSSF. Wakati akielekea kwenye majukumu ya Kidiplomasia kama Mwenyekiti mpya wa African Union (Tetesi - baada ya Dr. Nkosazana Zuma kumaliza muda wake mwezi july, 2016) tunamtakia kila la heri na akatuwakilishe vema huko Addis Ababa.
Weka picha yako Dr Dau akuoneKwenye ukweli tuseme ukweli, msomi na mwanadiplomasia nguli Dr. Dau (PhD) amefanya kazi nzuri ya kulirekebisha shirika/mfumo wa hifadhi ya jamii NSSF ameanzisha miradi mingi yenye tija kwa taifa na wanachama wa NSSF. Wakati akielekea kwenye majukumu ya Kidiplomasia kama Mwenyekiti mpya wa African Union (Tetesi - baada ya Dr. Nkosazana Zuma kumaliza muda wake mwezi july, 2016) tunamtakia kila la heri na akatuwakilishe vema huko Addis Ababa.
Haha hata mm naona mkuu,mbona hajaweka na ishu ya udini wa dr dauWewe umevimbiwa na makande siyo bure
Wivu anao bwana akowivu unawasumbua nyie wagalatia!!! acheni hizo! daraja mnaliona na UDOM imejengwa shida nini tena? mbona hamuhoji RICHMOND?
Dr dada hafai hata kulumwagiaWewe kama ni Dr. Dau ama mwanaye ama kijana wake wa kazi ama mfukunyuku wa kupima upepo wake, pole sana. Dr. Dau hata huo ubalozi hafai kwa madufu aliyofanya pale nssf. Anapaswa kuwa gerezani siyo uraiani. Lkn ni suala la muda tu
Haha sanaaDau ni wa kufungwa Guantanamo bay
Funza wewe na bashawako dauMakafir chuki zao ni za wazi wazi...
Acheni kuwa kama funza
Alijenga kwa pesa zake sioUniversity of Dodoma ni matunda ya Dr. DAU