SSRA waungana na CAG kuwaumbua wabaya wa NSSF na Dr Dau

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
IMG-20160419-WA0000.jpg
Beautiful ladies &Our Strong Gentlemen,Our Nice Friends & Our Ugly Enemies...Salaam Aleykum...

With Reference to the below attachment Mods nitaomba muiweke sawa hebu tuzid kulitizima hili suala la NSSF na wabaya wa Dr Dau kwa muktadha mwingine leo hii...

Maana almost mwez sasa NSSF na Dr Dau kwenye magazeti na hata hapa JF wamekuwa kama Macelebrity wa aina ya pekee kwa kutupiwa kila aina ya uozo,shutuma na kashfa tena zisizo na hata chembe ya ushahid kisha na wao wachafuliwaji wakiwa wameendelea kukaa zao kimyaa badala yake tunaona vyombo vingine vyenye hadhi kujitokeza na kuweka mambo sawa na kuondoa taharuki hiyo kwa jamii...

Tuliona hapo awali CAG akikanusha zile zilizosemwa kuwa ni Reports zake ambazo wazandiki walizisimamia kama ni hoja yao na kuivumisha magazateni na mitandaon kuwa NSSF tena chini ya Dr Dau limekua ni shirika ambalo limehusika katika usimamiz wa hovyo wa miradi na kuhusika katika harufu za ufisadi na ubadhirifu...

CAG Ofc ilitokezea kwa umma na kukanusha habari hizo na kusema kwamba hao ni watu tuh na motives zao...na kwamba wasubiri Genuine CAG Reports zitapelekwa bungeni tena kwa bunge linaloanza leo hii tar 19.04.2016 na kwamba wananchi wawe na subira kwan ukweli utawekwa wazi na vyombo vinavyohusika...

Kama hiyo haitoshi...jana SSRA kama Regulatory Authority wa hiz pension funds imetokezea na kusimama na kuwaeleza watanzania na wanachama wa NSSF ya kwamba wapuuze maneno ya magazetin na mitandaon ambayo kwa kias kikubwa yamejaa hilaa..unafiki...chuki na upotoshaji eti ya kwamba NSSF imechoka na inasuasua katika kulipa mafao ya wanachama wake na hiyo ni kutokana na kufail katika aina za uwekezaji ambao umekuwa unafanya..SSRA inaendelea kusema kwamba NSSF iko imara na hakuna uwekezaji holela katika miradi yake inayoifanya wala ufisadii..

Ifahamike kuwa SSRA kama Regulatory Authority kwa mifuko hiyo ndiyo chombo pekee kinachotoa miongozo ya wapi mifuko hiyo iwekeze na wapi isiwekeze...mifuko hiyo haiwekez kiholela au kwa matakwa yao binafsi...

Either maamuz katika kila kinachofanywa na NSSF kama shirika lazima yapitie kwa board of Directors kabla hayajashuka chini kwa utekelezaji...

NSSFsiyo Dau..Dau was only DG na katibu kwa hiyo Board Of Trustees..lakin inashangaza kwa hawa wachafuz na wazandiki kila wakiigusa NSSF lazima wamguse Dr Dau kana kwamba Dau aliiweka hiyo Nssf chumbani kwake kwa kila nyanja ya maamuz...

Kukosekana kwa ushahid wa tuhuma na character assassination kwa Dr Dau ndiko kunakotufanya wengine tuconclude kuwa Dr Dau anasakamwa na hapendwi na hao wabaya wake kwa sababu tuh ya Islamophobia na chuki za kidini..

Yes.shida kwa Dr Dau ni uislam wake..kwa sababu utakuja kuona kwamba Dr Dau kaanza kusakamwa longtime agoo kabla ya hiz propaganda zake ya kwamba mara ooh kageuza NSSF msikiti...mara Ooh NSSF kuna udini..na mambo kibaoo...

Huu upepo tunaouona kwa sasa utakuja kuona umeanza kuvuma mara tuh baada ya Dau kuondoka hapo NSSFna sasa wabaya wake wakihaha kuhakikisha image yake inachafuka na mambo mengine yoote mazuri ambayo ameyafanya NSSF yanasahaulikaaa...

Tunawaambia kwamba ni rahis sana kusema uongo na unafiki lakin ni vigumu sana kuutetea uongo huoo..

Story hii ya NSSF naa Dr Dau mimi naifananisha kama safina ya Nabii Nuhu...bimaana ya kwamba wale wale waliokadiriki kunyea mavi safina hiyo ndiyo hao hao wanaoshiriki kuisafisha..

Ndug zangu uongo na unafiki haufai..na mbaya zaid wapo watu wanamtukana Dr Dau huku wakitutukana na sisi waislam eti ya kwamba haya sasa Dr Dau kaondoka tuone sasa nyiny kina bwashee mtapata wapi hela ya futari..hayo ni maneno rahis kuyaongea lakin ni maneno yanayojenga chuki na uhasama na kutuaminisha sisi kuwa kumbe tatizo ni udini...

Tunamtahadharisha Dr Magufuli kuwa nchi hii ni yetu sote..na yeye asiingizwe kwenye Trap hii ya udini..sisi tumempigia kura yeye si kwa sababu ya ukatoliki wake..la hasha..tumemchagua kwa kujua kuwa anafaa kuongoza nchi hii kwa haki na usawa..anapofanya maamuz yake aangalie kwenye ukweli na uhalisia..na siyo maneno ya chuki na propaganda...infact wapo watu ambao wao chuki zao za udini zipo waz waz na hawapendi kabisa kuona jamii moja inapata nafas katika ngaz yeyote yenye tija serikalin..

Sisi kama waislam ambao tumemchagua tupo macho kuangalia utendaji wake...asiwe na upendeleo kwa pande yeyote na sisi tutamuunga mkono...

Bado tutazid kuendelea kumpongeza Dr Dau kwa utumishi wake uliotukuka na as a muslim you have made us so much proud kuwa mchango wetu katika jamii hii ni mkubwa na bado tuna heshima kubwa kama vile ilivyo kwa watu wengine...
 
Ni kawaida kumuuliza mtu, mgonjwa anaendeleaje? Mara nyingi jibu huwa anaendelea vizuri. Lakini si ajabu kusikia mgonjwa kaaga dunia.
SSRA ni mtu aliulizwa mgonjwa anaendeleaje. Hawezi ku create panic kwa wateja wa NSSF. Whatever the case, only time will tell!
 
Majipu matupu. Naona ni majipu kila mahali. Miwani ya Magufuli ni vere spesho. Anaona kila kitu. Kuhusu Dau, tumwachie!!
 
Wewe ndo unaleta udini sana hapa JF, anakulipa shilling ngapi kumtetea huyo boss wa zamani wa NSSF? kama hajaborongo najua hatachukuliwa hatua lakini kama kaharibu ni juu yake wewe usipoteze mda wako!

Mkuu hii ni mijadala mkuu..

Na siku zote tunasimama kwenye hoja.
Twende kwa hojaa...

Kama kuna watu wako imara katika kumchafua kwann wasiwepo watu imara katika kueleza uhalisia?

Mnauliza tunosema mazuri ya Dr Dau anatulipa nan..vip na nyinyi mnaomchafua Dr Dau who is paying you?
 
SSRA lazima iitete NSSF ili wateja wasije kuhama na kuleta rabsha nyinginezo.
Dau katafuna pesa hiyo iko wazi sasa tunampima magu kwa hili, usisingizie dini hapa kuhamisha mada
 
Ni kawaida kumuuliza mtu, mgonjwa anaendeleaje? Mara nyingi jibu huwa anaendelea vizuri. Lakini si ajabu kusikia mgonjwa kaaga dunia.
SSRA ni mtu aliulizwa mgonjwa anaendeleaje. Hawezi ku create panic kwa wateja wa NSSF. Whatever the case, only time will tell!

Watu wajifunze kusimama kwenye ukweli na waache chuki
 
Nani mwingine anayeleta habari zake humu zaidi yenu mnaolialia tu kila siku. Tumechoka na hzo bla bla zenu. Hata iweje ni kwamba hawezi kurudi tena NSSF hiyo imepita hvyo. Asubiri kupangiwa kazi nyingine.

Kwani hamna jambo lingine la kushea humu zaidi ya NSSF kila siku.

Hii inatu alert kuna watu walikuwa na maslahi binafsi kwa hiyo kuyakosa kila siku lazima walie otherwise kusingekuwa na haya yote. Itabidi uchunguzi hakiki upite huko kwenye shirika zaidi na zaidi kufahamu uozo wote. Maana mnavyopiga kelele ndo hivyo inavyozidi dhihirika kuwa hiyo sehemu ilikuwa na uwalakini. Kuna watu waliotesha vichuguu humo.

Mbona sehemu kibao watu wameachishwa na hamna hizi kelele? Why NSSF pekee? Nawahakikishieni badala ya kumjenga huyu mtu mnazidi kumbomoa vibaya kwa hizi hadithi zenu.
 
Beautiful ladies &Our Strong Gentlemen,Our Nice Friends & Our Ugly Enemies...Salaam Aleykum...

With Reference to the below attachment Mods nitaomba muiweke sawa hebu tuzid kulitizima hili suala la Nssf na wabaya wa Dr Dau kwa muktadha mwingine leo hii...

Maana almost mwez sasa Nssf na Dr Dau kwenye magazeti na hata hapa JF wamekuwa kama Macelebrity wa aina ya pekee kwa kutupiwa kila aina ya uozo,shutuma na kashfa tena zisizo na hata chembe ya ushahid kisha na wao wachafuliwaji wakiwa wameendelea kukaa zao kimyaa badala yake tunaona vyombo vingine vyenye hadhi kujitokeza na kuweka mambo sawa na kuondoa taharuki hiyo kwa jamii...

Tuliona hapo awali CAG akikanusha zile zilizosemwa kuwa ni Reports zake ambazo wazandiki walizisimamia kama ni hoja yao na kuivumisha magazateni na mitandaon kuwa Nssf tena chini ya Dr Dau limekua ni shirika ambalo limehusika katika usimamiz wa hovyo wa miradi na kuhusika katika harufu za ufisadi na ubadhirifu...

CAG Ofc ilitokezea kwa umma na kukanusha habari hizo na kusema kwamba hao ni watu tuh na motives zao...na kwamba wasubiri Genuine CAG Reports zitapelekwa bungeni tena kwa bunge linaloanza leo hii tar 19.04.2016 na kwamba wananchi wawe na subira kwan ukweli utawekwa wazi na vyombo vinavyohusika...

Kama hiyo haitoshi...jana SSRA kama Regulatory Authority wa hiz pension funds imetokezea na kusimama na kuwaeleza watanzania na wanachama wa Nssf ya kwamba wapuuze maneno ya magazetin na mitandaon ambayo kwa kias kikubwa yamejaa hilaa..unafiki...chuki na upotoshaji eti ya kwamba Nssf imechoka na inasuasua katika kulipa mafao ya wanachama wake na hiyo ni kutokana na kufail katika aina za uwekezaji ambao umekuwa unafanya..SSRA inaendelea kusema kwamba Nssf iko imara na hakuna uwekezaji holela katika miradi yake inayoifanya wala ufisadii..

Ifahamike kuwa SSRA kama Regulatory Authority kwa mifuko hiyo ndiyo chombo pekee kinachotoa miongozo ya wapi mifuko hiyo iwekeze na wapi isiwekeze...mifuko hiyo haiwekez kiholela au kwa matakwa yao binafsi...

Either maamuz katika kila kinachofanywa na Nssf kama shirika lazima yapitie kwa board of Directors kabla hayajashuka chini kwa utekelezaji...

Nssf siyo Dau..Dau was only DG na katibu kwa hiyo Board Of Trustees..lakin inashangaza kwa hawa wachafuz na wazandiki kila wakiigusa Nssf lazima wamguse Dr Dau kana kwamba Dau aliiweka hiyo Nssf chumbani kwake kwa kila nyanja ya maamuz...

Kukosekana kwa ushahid wa tuhuma na character assassination kwa Dr Dau ndiko kunakotufanya wengine tuconclude kuwa Dr Dau anasakamwa na hapendwi na hao wabaya wake kwa sababu tuh ya Islamophobia na chuki za kidini..

Yes.shida kwa Dr Dau ni uislam wake..kwa sababu utakuja kuona kwamba Dr Dau kaanza kusakamwa longtime agoo kabla ya hiz propaganda zake ya kwamba mara ooh kageuza Nssf msikiti...mara Ooh Nssf kuna udini..na mambo kibaoo...

Huu upepo tunaouona kwa sasa utakuja kuona umeanza kuvuma mara tuh baada ya Dau kuondoka hapo Nssf na sasa wabaya wake wakihaha kuhakikisha image yake inachafuka na mambo mengine yoote mazuri ambayo ameyafanya Nssf yanasahaulikaaa...

Tunawaambia kwamba ni rahis sana kusema uongo na unafiki lakin ni vigumu sana kuutetea uongo huoo..

Story hii ya Nssf naa Dr Dau mimi naifananisha kama safina ya Nabii Nuhu...bimaana ya kwamba wale wale waliokadiriki kunyea mavi safina hiyo ndiyo hao hao wanaoshiriki kuisafisha..

Ndug zangu uongo na unafiki haufai..na mbaya zaid wapo watu wanamtukana Dr Dau huku wakitutukana na sisi waislam eti ya kwamba haya sasa Dr Dau kaondoka tuone sasa nyiny kina bwashee mtapata wapi hela ya futari..hayo ni maneno rahis kuyaongea lakin ni maneno yanayojenga chuki na uhasama na kutuaminisha sisi kuwa kumbe tatizo ni udini...

Tunamtahadharisha Dr Magufuli kuwa nchi hii ni yetu sote..na yeye asiingizwe kwenye Trap hii ya udini..sisi tumempigia kura yeye si kwa sababu ya ukatoliki wake..la hasha..tumemchagua kwa kujua kuwa anafaa kuongoza nchi hii kwa haki na usawa..anapofanya maamuz yake aangalie kwenye ukweli na uhalisia..na siyo maneno ya chuki na propaganda...infact wapo watu ambao wao chuki zao za udini zipo waz waz na hawapendi kabisa kuona jamii moja inapata nafas katika ngaz yeyote yenye tija serikalin..

Sisi kama waislam ambao tumemchagua tupo macho kuangalia utendaji wake...asiwe na upendeleo kwa pande yeyote na sisi tutamuunga mkono...

Bado tutazid kuendelea kumpongeza Dr Dau kwa utumishi wake uliotukuka na as a muslim you have made us so much proud kuwa mchango wetu katika jamii hii ni mkubwa na bado tuna heshima kubwa kama vile ilivyo kwa watu wengine...
Hakika sina la kuongea.Siyo ajabu mpaka leo sisi waislam hatuna hata chuo kikuu kimoja zaidi ya msaada toka kwa Rais mstaafu Mkapa.Sababu ni wabnafsi tunatetea mtu hata kaharibu kisa ni muislam.Ni aibu matajiri wakubwa wote wa nchi hii ni waislam lkn wameshindwa kuchangia hata chuo cha kati kimoja ni shida.Tutaendelea kuwa wasindikizaji na walalamikaji kizazi kijacho watatulaumu.Inshallah.
 
Beautiful ladies &Our Strong Gentlemen,Our Nice Friends & Our Ugly Enemies...Salaam Aleykum...

With Reference to the below attachment Mods nitaomba muiweke sawa hebu tuzid kulitizima hili suala la Nssf na wabaya wa Dr Dau kwa muktadha mwingine leo hii...

Maana almost mwez sasa Nssf na Dr Dau kwenye magazeti na hata hapa JF wamekuwa kama Macelebrity wa aina ya pekee kwa kutupiwa kila aina ya uozo,shutuma na kashfa tena zisizo na hata chembe ya ushahid kisha na wao wachafuliwaji wakiwa wameendelea kukaa zao kimyaa badala yake tunaona vyombo vingine vyenye hadhi kujitokeza na kuweka mambo sawa na kuondoa taharuki hiyo kwa jamii...

Tuliona hapo awali CAG akikanusha zile zilizosemwa kuwa ni Reports zake ambazo wazandiki walizisimamia kama ni hoja yao na kuivumisha magazateni na mitandaon kuwa Nssf tena chini ya Dr Dau limekua ni shirika ambalo limehusika katika usimamiz wa hovyo wa miradi na kuhusika katika harufu za ufisadi na ubadhirifu...

CAG Ofc ilitokezea kwa umma na kukanusha habari hizo na kusema kwamba hao ni watu tuh na motives zao...na kwamba wasubiri Genuine CAG Reports zitapelekwa bungeni tena kwa bunge linaloanza leo hii tar 19.04.2016 na kwamba wananchi wawe na subira kwan ukweli utawekwa wazi na vyombo vinavyohusika...

Kama hiyo haitoshi...jana SSRA kama Regulatory Authority wa hiz pension funds imetokezea na kusimama na kuwaeleza watanzania na wanachama wa Nssf ya kwamba wapuuze maneno ya magazetin na mitandaon ambayo kwa kias kikubwa yamejaa hilaa..unafiki...chuki na upotoshaji eti ya kwamba Nssf imechoka na inasuasua katika kulipa mafao ya wanachama wake na hiyo ni kutokana na kufail katika aina za uwekezaji ambao umekuwa unafanya..SSRA inaendelea kusema kwamba Nssf iko imara na hakuna uwekezaji holela katika miradi yake inayoifanya wala ufisadii..

Ifahamike kuwa SSRA kama Regulatory Authority kwa mifuko hiyo ndiyo chombo pekee kinachotoa miongozo ya wapi mifuko hiyo iwekeze na wapi isiwekeze...mifuko hiyo haiwekez kiholela au kwa matakwa yao binafsi...

Either maamuz katika kila kinachofanywa na Nssf kama shirika lazima yapitie kwa board of Directors kabla hayajashuka chini kwa utekelezaji...

Nssf siyo Dau..Dau was only DG na katibu kwa hiyo Board Of Trustees..lakin inashangaza kwa hawa wachafuz na wazandiki kila wakiigusa Nssf lazima wamguse Dr Dau kana kwamba Dau aliiweka hiyo Nssf chumbani kwake kwa kila nyanja ya maamuz...

Kukosekana kwa ushahid wa tuhuma na character assassination kwa Dr Dau ndiko kunakotufanya wengine tuconclude kuwa Dr Dau anasakamwa na hapendwi na hao wabaya wake kwa sababu tuh ya Islamophobia na chuki za kidini..

Yes.shida kwa Dr Dau ni uislam wake..kwa sababu utakuja kuona kwamba Dr Dau kaanza kusakamwa longtime agoo kabla ya hiz propaganda zake ya kwamba mara ooh kageuza Nssf msikiti...mara Ooh Nssf kuna udini..na mambo kibaoo...

Huu upepo tunaouona kwa sasa utakuja kuona umeanza kuvuma mara tuh baada ya Dau kuondoka hapo Nssf na sasa wabaya wake wakihaha kuhakikisha image yake inachafuka na mambo mengine yoote mazuri ambayo ameyafanya Nssf yanasahaulikaaa...

Tunawaambia kwamba ni rahis sana kusema uongo na unafiki lakin ni vigumu sana kuutetea uongo huoo..

Story hii ya Nssf naa Dr Dau mimi naifananisha kama safina ya Nabii Nuhu...bimaana ya kwamba wale wale waliokadiriki kunyea mavi safina hiyo ndiyo hao hao wanaoshiriki kuisafisha..

Ndug zangu uongo na unafiki haufai..na mbaya zaid wapo watu wanamtukana Dr Dau huku wakitutukana na sisi waislam eti ya kwamba haya sasa Dr Dau kaondoka tuone sasa nyiny kina bwashee mtapata wapi hela ya futari..hayo ni maneno rahis kuyaongea lakin ni maneno yanayojenga chuki na uhasama na kutuaminisha sisi kuwa kumbe tatizo ni udini...

Tunamtahadharisha Dr Magufuli kuwa nchi hii ni yetu sote..na yeye asiingizwe kwenye Trap hii ya udini..sisi tumempigia kura yeye si kwa sababu ya ukatoliki wake..la hasha..tumemchagua kwa kujua kuwa anafaa kuongoza nchi hii kwa haki na usawa..anapofanya maamuz yake aangalie kwenye ukweli na uhalisia..na siyo maneno ya chuki na propaganda...infact wapo watu ambao wao chuki zao za udini zipo waz waz na hawapendi kabisa kuona jamii moja inapata nafas katika ngaz yeyote yenye tija serikalin..

Sisi kama waislam ambao tumemchagua tupo macho kuangalia utendaji wake...asiwe na upendeleo kwa pande yeyote na sisi tutamuunga mkono...

Bado tutazid kuendelea kumpongeza Dr Dau kwa utumishi wake uliotukuka na as a muslim you have made us so much proud kuwa mchango wetu katika jamii hii ni mkubwa na bado tuna heshima kubwa kama vile ilivyo kwa watu wengine...
Eeh mdini ushindwe kabisa! Mimi namchukulia Dr Dau kama kiongozi bora na msomi mzuri wewe unatanguliza uislam mbele! Go to hell
 
Naona akina Mramba, Yona na Harry wanatamani wangekuwa upande huu wakapata utetezi wa nguvu kama huu.

Uleta uzi anataka kutumia dini kutetea uovu!? Mleta uzi una uhakika na unayoyatetea kuhusu Dau!? Hivi kweli unaamini Tanzania imefikia mahali ambapo mtu anaweza kutuhumiwa na kufungwa kwa ajili ya dini yake.

Watu wote waliotuhumiwa, kushtakiwa na kufungwa kwa tuhuma za ubadhirifu nao walikuwa na mamlaka na viongozi wa juu waliokuwa wakiwasimamia. Kwa hiyo SSRA uwepo wao hauwezi kuzuia madeal kwenye Pension funds!!
 
Wewe ndo unaleta udini sana hapa JF, anakulipa shilling ngapi kumtetea huyo boss wa zamani wa NSSF? kama hajaborongo najua hatachukuliwa hatua lakini kama kaharibu ni juu yake wewe usipoteze mda wako!

Una chuki na Dau au Uislam wake?
 
Kun
Mkuu hii ni mijadala mkuu..

Na siku zote tunasimama kwenye hoja.
Twende kwa hojaa...

Kama kuna watu wako imara katika kumchafua kwann wasiwepo watu imara katika kueleza uhalisia?

Mnauliza tunosema mazuri ya Dr Dau anatulipa nan..vip na nyinyi mnaomchafua Dr Dau who is paying you?

Kuna Kipindi niliwahi kukwambia wewe kichwani hamna kitu ukabishana sana, ukanihakikishia kuwa GESI HAITOTOKA MTWARA.

Mimi mwenye akili timamu, nikitambua unyeti wa suala la gesi na kuzingatia kuwa kilichokuwa kinaleta mzozo kati ya wananchi na serikali ni elimu, nilikuapia kuwa gesi itatoka.

Leo, ukiwa na akili zile zile za kijinga, unaleta udini kwenye madai ya kitakwimu. Waraka uliopost kutoka SSRA haumzungumzii Dr. Dau wala dini yeyote, unakanusha NSSF kutokuwa na fedha. Hebu tuliza hicho kichwa chako kilichojaa gesi, haya mambo yaache kwa mamlaka.
 
Si unawaona wanavyojiumbua?

Wanahaha, hawawezi kustahamili. Kwa hakika mioyo yao ina maradhi na wanazidishiwa hayo maradhi kila kukicha.
 
Back
Top Bottom