FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Hivi wewe hiyo buku 7 yako unalipwaje na nasikia upo nje UNAUZA?
Kuuza na kununua ndiyo kazi zangu. Buku saba kwani mie mnywa viroba? hilo dau la Ufipa.
Hivi wewe hiyo buku 7 yako unalipwaje na nasikia upo nje UNAUZA?
Bahati mbaya siongizwi na hisia mihemko wala upofu wa imani kama kimekuuma report spam
Duu kwanza sihitaji heshima yako hata kidogo..! kwangu wewe si lolote si chochote, ushauri wako jishauri mwenyewe utasaidika
Usiwe na papara za kupost tulia tafakari pima kisha ujiridhishe kama unaweza kujibu ama la
Nimekuuliza swali moja rahisi sana lakini umeshindwa kujibu badala yake unakuja na mipasho ya kiswazi
Nakuuliza tena Samia suluhu alitumia nini kuapa pale national stadium? Halafu unionyeshe hiyo dharau unayozungumzia wewe
Stupid TB Joshua alitabiri uchukuali ea Lowassa yaani kushinda sasa alikuja kuepusha au kulisafisha jina man angeusha umaarufu
Umeongea ukweli mtupu. Anayebisha ni zumbukuku
Mbwembwe zipi mkuu? Ikulu yako aliingia peku peku sijui Nani aliedharauliwa wewe au yeye
Am just thinking loud
Pumbavu wewe na Tb Joshua tena mpigie simu haraka. Mliitwa malofa na mapumbavu sio bure. Huyo Mungu wenu alishindwa nini kuzuia lile jengo lake kuanguka na kuua mamia ya watu. Fankuuuro wote na Joshua wenu. Mungu wa ukweli hata Pope anajua sio huyo wa nguvu ya kiza.
Kaka Mshana nisaidie kujibu maswali yafuatayo:-
1. Mungu wa TB Joshua na Gwajima alishindwa kuzuia CCM na TUME wasiibe kura? Kashindwa huko anasubiri alete balaa!!!
2. Huyo Mungu ambaye watu waliomba na kufunga lil kumchagua mtu fulani na sio mapenzi ya Mungu kutimia ni kigeugeu? Huku aseme fulani ndio Rais na ashindwe kumuweka?
3. Mungu hafurahii wanawe wapate mabalaa Kama ulivyosema. Hata sodoma na Gomorrah isingeangamizwa Kama wenye haki watano wangekuwepo. Je TZ haina wenye haki hata watano ili Mungu atuepushie balaa?
4. Wewe ni mtu wa ajabu sana unayetamani mabalaa yatupate kwasababu mtu wako hakuwa Rais?? Mungu hayuko Kama mwanadamu, angekuwa hivyo wengi tusingekuwa hai.
Tunaitakia AMANI TZ na mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5. Mungu ambariki na kumlinda Rais wetu na kumuongezea Hekima kila siku ili aiongoze TZ kwa haki na kweli yote.
Queen Esther
Ujio wa ghafla (kama ni kweli ni ghafla)wa T.B. Joshua Tanzania na kupokelewa na Magufuli mshindi wa ccm kiti cha urais na kukanyaga ardhi ya Tanzania pekupeku (japo alikuwa kavaa soksi kwahiyo sio pekupeku kabisa) kulizua mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakitabiri kama ni uchuro na balaa ...mimi napingana nao
T.B. Joshua na umaarufu wake hawezi kuleta balaa lolote ni kiumbe mdogo sana kwenye huu ulimwengu yeye alishuka kama dismainder fulani hivi, wamekuja na ndege yake kavaa alivyovaa hajali protocol, safarini aliamua kuvua viatu miguu ipumue (waliopanda ndege hata magari ya masafa marefu wanakua ni kwanini). Kwahiyo kwake ilikuwa ni sawa tu hata angeamua kuvaa bukta ...halafu awaachie walimwengu waje na tafsiri zao lukuki
Kwahiyo yeye hana uwezo huo wa kutuletea mabalaa bali mabalaa yataletwa na wale walioshika misahafu na kula kiapo cha ushindi wao bandia tena mbele ya maelfu ya watu..hii ni dhihaka na dharau kubwa mbele za Mungu. Hakuna jambo baya kama kumshirikisha Mungu kwenye dhambi na kumuomba akusaidie kuhalalisha udhalimu wa waziwazi ulioufanya...Mungu si wa maskhara kihivyo
Kama kweli Mungu au whatever ataamua kushusha mabalaa na kuadhibu asilaumiwe T.B.Joshua bali wale wote walioshiriki udhalimu na kushika misahafu
= Qur'an
Fanya adabu na vitabu vya wenzio, mbona Biblia umeandika sawa?
Pumbavu wewe na Tb Joshua tena mpigie simu haraka. Mliitwa malofa na mapumbavu sio bure. Huyo Mungu wenu alishindwa nini kuzuia lile jengo lake kuanguka na kuua mamia ya watu. Fankuuuro wote na Joshua wenu. Mungu wa ukweli hata Pope anajua sio huyo wa nguvu ya kiza.
Biblia Kiswahili na Koran ni kiswahi, Qur'an ni lugha gani? Nauliza tu
Wakatoliki watakutawala kwa miaka yote kumi ijayo
Ikiwa upumbavu wetu unajumuishwa na uwepo wa huyo unayemuita 'tapeli' kwa mujibu wa mafundisho na adabu za dini na kabila lako, unaweza kuniambia ni nani alimualika tapeli kwenye sherehe ya kitaifa na alimualika kwa minaajili ipi?
Chuki inakupofusha bi mkubwa