Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Huna lolote wewe acha kujifanya eti sijui una busara na vi thd vyako kama Hadithi za kipindi cha Mama na mwana cha RTD enzi zilee!!

Kifupi huna jipya jipange halafu njoo tena..ushauri wangu wa bure acha kukejeli na kudharau dini za watu, pigana na maisha dharau kwa dini za watu hazitokusaidia lolote na umri nao unasonga mbele,

Zinduka wewe toka usingizini,mambo ya Udini na Ukabila yalishapitwa na wakati wewe ndio kwanza unaanza!!

Shame on you!!

Loh hata hapa umeshindwa kujibu? Wakati unajiita clever king? Am sure you even don't know what Clever king means
 
Kaka Mshana nisaidie kujibu maswali yafuatayo:-

1. Mungu wa TB Joshua na Gwajima alishindwa kuzuia CCM na TUME wasiibe kura? Kashindwa huko anasubiri alete balaa!!!

2. Huyo Mungu ambaye watu waliomba na kufunga lil kumchagua mtu fulani na sio mapenzi ya Mungu kutimia ni kigeugeu? Huku aseme fulani ndio Rais na ashindwe kumuweka?

3. Mungu hafurahii wanawe wapate mabalaa Kama ulivyosema. Hata sodoma na Gomorrah isingeangamizwa Kama wenye haki watano wangekuwepo. Je TZ haina wenye haki hata watano ili Mungu atuepushie balaa?

4. Wewe ni mtu wa ajabu sana unayetamani mabalaa yatupate kwasababu mtu wako hakuwa Rais?? Mungu hayuko Kama mwanadamu, angekuwa hivyo wengi tusingekuwa hai.

Tunaitakia AMANI TZ na mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5. Mungu ambariki na kumlinda Rais wetu na kumuongezea Hekima kila siku ili aiongoze TZ kwa haki na kweli yote.

Queen Esther

Naomba usome kwa makini nilichoandika paragraph ya mwisho
 
Mkuu maana Ya Walioapa na Misahafu inasimama kwenye Wingi na Ungesema aliyeapa ungeeleweka.. Kila la Kheri

Wingi maana yake ni zaidi ya mmoja, waliapa wawili
 
Ujio wa ghafla (kama ni kweli ni ghafla)wa T.B. Joshua Tanzania na kupokelewa na Magufuli mshindi wa ccm kiti cha urais na kukanyaga ardhi ya Tanzania pekupeku (japo alikuwa kavaa soksi kwahiyo sio pekupeku kabisa) kulizua mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakitabiri kama ni uchuro na balaa ...mimi napingana nao

T.B. Joshua na umaarufu wake hawezi kuleta balaa lolote ni kiumbe mdogo sana kwenye huu ulimwengu yeye alishuka kama dismainder fulani hivi, wamekuja na ndege yake kavaa alivyovaa hajali protocol, safarini aliamua kuvua viatu miguu ipumue (waliopanda ndege hata magari ya masafa marefu wanakua ni kwanini). Kwahiyo kwake ilikuwa ni sawa tu hata angeamua kuvaa bukta ...halafu awaachie walimwengu waje na tafsiri zao lukuki

Kwahiyo yeye hana uwezo huo wa kutuletea mabalaa bali mabalaa yataletwa na wale walioshika misahafu na kula kiapo cha ushindi wao bandia tena mbele ya maelfu ya watu..hii ni dhihaka na dharau kubwa mbele za Mungu. Hakuna jambo baya kama kumshirikisha Mungu kwenye dhambi na kumuomba akusaidie kuhalalisha udhalimu wa waziwazi ulioufanya...Mungu si wa maskhara kihivyo
Kama kweli Mungu au whatever ataamua kushusha mabalaa na kuadhibu asilaumiwe T.B.Joshua bali wale wote walioshiriki udhalimu na kushika misahafu

Acha kuendeshwa na hisia,pamoja na porojo za wanasiasa,hivi ukiambiwa ulete ushahidi wa huo wizi,utaleta?.Kama kweli wewe ni Mkristo toa hukumu ya haki Yohana 7:24.
 
Hakuingia ikulu peku,andika vitu vyenye uakika.Usiwe na chuki kwa wanadamu.wenzio sio wanyama.Ukimpenda mwenzio utamsemea uwongo jiangalie.Ni.aliposhuka kwenye ndege ndio alishuka amevaa soksi na sio peku

Wewe inaonekana ni mtaalamu wa Kiswahili enhee?? Basi ikulu aliingia amevaa soksi sio peku
 
Yu3dEl8LUFb8L7hiJSASIABHIFAGapp4pbBSJCNydBOSpMbTM4 68f76WmvTB10TvnfRIN 6de mLkpA  IIipZHVBEhPs5owpe8LArKeymnRyLhMgrZEgAgQASJABIgAESACRIAIEAEiQASyiQB1xrMJNGVDBIgAESACRIAIEAEiQASIABEgAkRAJkCdcZkEbYkAESACRIAIEAEiQASIABEgAkSACGQTAcM149mUN2VDBIgAESACRIAIEAEiQASIABEgAkQgTxKgkfE8edup0ESACBABIkAEiAARIAJEgAgQASKQkwT D7eRC2AiM9fEAAAAAElFTkSuQmCC


Z
 
Acha kuendeshwa na hisia,pamoja na porojo za wanasiasa,hivi ukiambiwa ulete ushahidi wa huo wizi,utaleta?.Kama kweli wewe ni Mkristo toa hukumu ya haki Yohana 7:24.
musami siamini kama ndio umeandika na sitaki kuamini kuwa hukuona kuwa uchaguzi huu ulijaa magumashi na ulikuwa ni aibu tuu halafu mwishowe watu wanasimama kwa pozi na kushika misahafu
 
Last edited by a moderator:
musami siamini kama ndio umeandika na sitaki kuamini kuwa hukuona kuwa uchaguzi huu ulijaa magumashi na ulikuwa ni aibu tuu halafu mwishowe watu wanasimama kwa pozi na kushika misahafu

Mshana wewe ni mtu ninayekuheshimu kwa kuandika post zenye fact humu jf.nashangaa na wewe leo unaongea mambo ya kihisia bila fact.
Hakuna aliyeibiwa kura za urais
 
Last edited by a moderator:
kuna mada ukizisoma pia ukiangalia comments za watu ni majanga tupu. watu wanashindwa kusoma kwa umakini na kutumia ubungo kutafakari.
 
Kuanzia mwanzoni mwa maelezo niliona ni muelewa ila umekuja kuharibu sehemu mbili
1. mwishoni ulipo anza kutoa hukumu kanakwamba una ushahidi wa wizi wa kura kwa asilimia 100 ya aliye tangazwa
2. Kutoa comment zenye mrengo wa udini

Kwakweli km ukiendelea na hili la pili litakuondolea heshma yako. Naomba uwaache wengine waendelee ili kulinda heshma yako


Huyu kiumbe alinde heshima gani tena aliyonayo bado? Hakuna heshima kwa Viumbe kama hawa Mkuu,
Keshajua kosa lake lililomfanya aropoke hovyo,kilichobaki ni kama anajaribu kujisafisha tu kwa kukwepa kujibu anayoulizwa,ukimuuliza swali nae anakuuliza swali badala ya kujibu!!

Fanyeni kumpotezea tu hana lolote huyu..
 
Huyu kiumbe alinde heshima gani tena aliyonayo bado? Hakuna heshima kwa Viumbe kama hawa Mkuu,
Keshajua kosa lake lililomfanya aropoke hovyo,kilichobaki ni kama anajaribu kujisafisha tu kwa kukwepa kujibu anayoulizwa,ukimuuliza swali nae anakuuliza swali badala ya kujibu!!

Fanyeni kumpotezea tu hana lolote huyu..

Usikimbilie huku jibu kwanza nilichokuuliza achana na blah blah nyingine
 
Mshana wewe ni mtu ninayekuheshimu kwa kuandika post zenye fact humu jf.nashangaa na wewe leo unaongea mambo ya kihisia bila fact.
Hakuna aliyeibiwa kura za urais

Kwa nini hii mada imekuwa ngumu kueleweka kiasi hiki? Rudia kusoma tena tafadhali hasa main n core points
Mimi nime challenge kiliandikwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa TB Joshua ataleta mabalaa nchini kwa kushuka kwenye ardhi ya Tanzania akiwa peku peku (kiukweli hakuwa pekupeku alikuwa kavaa soksi)
Kisha nikahitimisha kwa kusema kuwa kama ni mabalaa yataletwa na wale walioshika misahafu na kuapa huku wakijua kuwa kuna udhalimu mkubwa ulifanyika (hili nitalisimamia)
Sasa naona point muhimu zimeachwa tumebaki na personal attacks na wizi wa kura hebu tuwe watu wa tafakuri jadidi
 
Kinacho nifurahisha ni wenye akili hawana Muhimbili yao, Kariakoo yao, daladala zao, nk, Sasa wanatofauti gani na wapumbavu na malofa. Nadhani aliyetamka maneno hayo alimaanisha watanzania wote pamoja na wewe. Ni tafakuri tu

Hapana aliimanisha wafuasi/viongozi wa Chadema@Ukawa na ndio maana ikitajwa malofa na mapumbavu mnajitambua. Pumbavuz nyie na Tb Joshua wenu. Fankuuuroooo
 
Tunakupa darsa na somo umelipata, sasa ukirudia tunajuwa unafanya kusudi.

Upofu wa imani ndiyo uliyokufanya kupotosha hata unapoitaja Qur'an.

Mihemko ndiyo iliyokufanya utuletee ya huyo tapeli ukachanganya na Rais kuapishwa.

Nyinyi mlie tu mliyoyategemea hayakuwa.

Mkapa alipowaambia kuwa ni "wapumbavu" hakukosea na huu uzi wako unadhihirisha hilo.

Akili za MUDI, za kijinga kabisa!
 
Back
Top Bottom