Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Heshima ni kitu cha bure, japo waandika kwa keyboard yako ukiwa umejificha vivyo hivyo waweza kuficha ujinga wako. Soma, elewa, tafakari ndipo utoe hoja. Mshana Jr ni wa busara vile wewe ulivyo!
 
Bahati mbaya siongizwi na hisia mihemko wala upofu wa imani kama kimekuuma report spam

Tunakupa darsa na somo umelipata, sasa ukirudia tunajuwa unafanya kusudi.

Upofu wa imani ndiyo uliyokufanya kupotosha hata unapoitaja Qur'an.

Mihemko ndiyo iliyokufanya utuletee ya huyo tapeli ukachanganya na Rais kuapishwa.

Nyinyi mlie tu mliyoyategemea hayakuwa.

Mkapa alipowaambia kuwa ni "wapumbavu" hakukosea na huu uzi wako unadhihirisha hilo.
 
Mkuu naomba unifahamishe unapotumia neno "Misahafu" unakuwa umelenga kitabu cha dini gani?

Kama umelenga Dini moja hapo utakuwa umekosea sana na umeonyesha chuki ya wazi kabisa kwa dini fulani na hiyo sio ishara nzuri ya mahusiano mazuri kati yako na watu wa dini uliyoikusudia!!
 
Tunakupa darsa na somo umelipata, sasa ukirudia tunajuwa unafanya kusudi.

Upofu wa imani ndiyo uliyokufaanya kupotosha hata unapoitaja Qur'an.

Mihemko ndiyo iliyokufanya utuletee wa huyo tapeli ukachanganya na Rais kuapishwa.

Nyinyi mlie tu mliyoyategemea hayakuwa.

Mkapa alipowaambia kuwa ni "wapumbavu" hakukosea.

Pole sana kama huelewi nilichoandika pita kimya kuliko kuropoka ficha ujinga wako kwa kukaa kimya itakusaidia sana
 
Hapo Qur'an inahusikaje? Huna jipya piga kimya sio kuanzisha Mada zisizo na kichwa wala Miguu..

Samia Suluhu aliapa kwa kutumia kitabu gani? Jibu hilo kwanza achana na blah blah nyingine
 
Pumbavuz woooooooooooote na Tb Joshua wenu,kamwambieni kuna mtu Tz anakutukana nione kama ana uwezo wa Mungu. Hawa viroba ni wa ajabu sana kuna mmoja alianzisha topic ya Joshua kuwa Lowassa ndio Rais ajae wakatiririka kama nyumbu kumuamini huyu dealer. Wakafie mbele huko. Disaster ziko around the world
 
Lowassa kesha chinjwa baharini bila kuonyeshwa kibla! Ametoswa kwenye kilindi kikubwa baharini mahali ambapo hata GPS haisomi kama alivyofanyiwa Osama! Wahindi wanasema KALAS!
 
Tunakupa darsa na somo umelipata, sasa ukirudia tunajuwa unafanya kusudi.

Upofu wa imani ndiyo uliyokufaanya kupotosha hata unapoitaja Qur'an.

Mihemko ndiyo iliyokufanya utuletee wa huyo tapeli ukachanganya na Rais kuapishwa.

Nyinyi mlie tu mliyoyategemea hayakuwa.

Mkapa alipowaambia kuwa ni "wapumbavu" hakukosea na huu uzi wako unadhihirisha hilo.

Wakatoliki watakutawala kwa miaka yote kumi ijayo
 
Pole sana kama huelewi nilichoandika pita kimya kuliko kuropoka ficha ujinga wako kwa kukaa kimya itakusaidia sana

Pole ujipe wewe uliyeleta upumbavu humu.

Na tutakupa darsa tu, hatukai kimya hata kidogo, mpaka uisome namba.

Punguani wahed.
 
Tunakupa darsa na somo umelipata, sasa ukirudia tunajuwa unafanya kusudi.

Upofu wa imani ndiyo uliyokufaanya kupotosha hata unapoitaja Qur'an.

Mihemko ndiyo iliyokufanya utuletee wa huyo tapeli ukachanganya na Rais kuapishwa.

Nyinyi mlie tu mliyoyategemea hayakuwa.

Mkapa alipowaambia kuwa ni "wapumbavu" hakukosea na huu uzi wako unadhihirisha hilo.
Ikiwa upumbavu wetu unajumuishwa na uwepo wa huyo unayemuita 'tapeli' kwa mujibu wa mafundisho na adabu za dini na kabila lako, unaweza kuniambia ni nani alimualika tapeli kwenye sherehe ya kitaifa na alimualika kwa minaajili ipi?

Chuki inakupofusha bi mkubwa
 
Pole ujipe wewe uliyeleta upumbavu humu.

Na tutakupa darsa tu, hatukai kimya hata kidogo, mpaka uisome namba.

Punguani wahed.

Usitumie wingi kutafuta huruma jaribu kuwa wewe halafu una mipasho ya kipuuzi kweli...kiboko yako alikuwa mchonga mpaka Leo Canada unaisikia kwenye bomba
 
Back
Top Bottom