Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

Hebu MTU hata mmoja ajitokeze na kusema kuwa huu ushindi ni 100% genuine na aape kuwa anao uhakika huo na yuko tayari Mungu amlaani kama kasema uongo.

Mimi hapa naapa ushindi huo ni 100% na akulaani wewe unayejua ukweli lakini unawapotosha majuha,malofa na mapumbavu
 
Ujio wa ghafla (kama ni kweli ni ghafla)wa T.B. Joshua Tanzania na kupokelewa na Magufuli mshindi wa ccm kiti cha urais na kukanyaga ardhi ya Tanzania pekupeku (japo alikuwa kavaa soksi kwahiyo sio pekupeku kabisa) kulizua mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakitabiri kama ni uchuro na balaa ...mimi napingana nao

T.B. Joshua na umaarufu wake hawezi kuleta balaa lolote ni kiumbe mdogo sana kwenye huu ulimwengu yeye alishuka kama dismainder fulani hivi, wamekuja na ndege yake kavaa alivyovaa hajali protocol, safarini aliamua kuvua viatu miguu ipumue (waliopanda ndege hata magari ya masafa marefu wanakua ni kwanini). Kwahiyo kwake ilikuwa ni sawa tu hata angeamua kuvaa bukta ...halafu awaachie walimwengu waje na tafsiri zao lukuki

Kwahiyo yeye hana uwezo huo wa kutuletea mabalaa bali mabalaa yataletwa na wale walioshika misahafu na kula kiapo cha ushindi wao bandia tena mbele ya maelfu ya watu..hii ni dhihaka na dharau kubwa mbele za Mungu. Hakuna jambo baya kama kumshirikisha Mungu kwenye dhambi na kumuomba akusaidie kuhalalisha udhalimu wa waziwazi ulioufanya...Mungu si wa maskhara kihivyo
Kama kweli Mungu au whatever ataamua kushusha mabalaa na kuadhibu asilaumiwe T.B.Joshua bali wale wote walioshiriki udhalimu na kushika misahafu

We jamaa umerogwa sio bure ushindi wa bandia upo wapi? Yaani unataka kutuambia Lowasa alishinda na viti vyake 30 na ngaoi sijui huko ilhali ccm inaviti zaidi ya 100? Bangi mda mwingine muwe muna imix kidogo ipungue makali
 
hivi huyu jamaa yupo au alishaondoka...nilisikia juu ya ujio wake lakini sijasikia kuondoka!
 
It will only take a fool to call others fools. Kwa hiyo wewe ni miongoni mwa wapumbavu na vipofu vilevile. Haiwezekani mtu kushinda kwa kura za wizi halafu amwambie Mungu amsaidie. Mungu ninayemwabudu hashiriki kwenye udhalimu.

Mungu wako Kichaa ndio maana anakudanganya mmedhulumiwa. Tb Joshua mpiga dili kashindwa kuzuia dhuluma? Fankuroo na tb joshua wenu
 
Duu kwanza sihitaji heshima yako hata kidogo..! kwangu wewe si lolote si chochote, ushauri wako jishauri mwenyewe utasaidika
Usiwe na papara za kupost tulia tafakari pima kisha ujiridhishe kama unaweza kujibu ama la
Nimekuuliza swali moja rahisi sana lakini umeshindwa kujibu badala yake unakuja na mipasho ya kiswazi

Nakuuliza tena Samia suluhu alitumia nini kuapa pale national stadium? Halafu unionyeshe hiyo dharau unayozungumzia wewe


Huna lolote wewe acha kujifanya eti sijui una busara na vi thd vyako kama Hadithi za kipindi cha Mama na mwana cha RTD enzi zilee!!

Kifupi huna jipya jipange halafu njoo tena..ushauri wangu wa bure acha kukejeli na kudharau dini za watu, pigana na maisha dharau kwa dini za watu hazitokusaidia lolote na umri nao unasonga mbele,

Zinduka wewe toka usingizini,mambo ya Udini na Ukabila yalishapitwa na wakati wewe ndio kwanza unaanza!!

Shame on you!!
 
Kwani huyo rais wa NEC hakwenda kwa TB Joshua? What are you talking about?

Shika adabu wewe huyo ni Rais wa Watanzania woote walimchagua kwa kura nyingi. Yeye alienda kwa maombi ya dini. Kinyesi chenu kilienda kuomba Urais
 
MUNGU amesikia kilio chako. Disaster itaanza kwako na familia yako. Usicheze na MUNGU wewe. Ropoka uwezavyo lakini usimjaribu MUNGU hata kidogo.

Pumbavu wewe na Tb Joshua tena mpigie simu haraka. Mliitwa malofa na mapumbavu sio bure. Huyo Mungu wenu alishindwa nini kuzuia lile jengo lake kuanguka na kuua mamia ya watu. Fankuuuro wote na Joshua wenu. Mungu wa ukweli hata Pope anajua sio huyo wa nguvu ya kiza.
 
Lowassa kesha chinjwa baharini bila kuonyeshwa kibla! Ametoswa kwenye kilindi kikubwa baharini mahali ambapo hata GPS haisomi kama alivyofanyiwa Osama! Wahindi wanasema KALAS!

Hapana waarabu ndo wanasema kalas wahindi wanasema kushney
 
Hivi wewe unalaana na huo uislamu wako wakigaidi mpuuzi wewe?mnaswali mara tano lakini haiwasaidii!ndo maana Hamna elimu wajinga nyie!

Wewe ndo mpuuzi stp kuuzungumzia uislamu ,wewe ungekuwa una akili ungemuabudu binaadamu??
 
Unajiona mjanja kwa kuleta link za kuokoteza!wajinga nyie mnaompiga shetani kwa mawe na mwisho mnakufa wenyewe!kwanini na wewe usingeenda huko ufie huko utupunguzie kero,nafikiri hata shetani anawashangaa kwa upumbavu wenu wa kukosa elimu.hujui hata Quran inakuambia mshike elimu usimuache aende zake unafikiri ilimaanisha nini!kazi yenu kuvaa mahijabu eti tuwaone mnaheshima kumbe Ni ujinga halafu usiku mnajiuza au nikukosa nguo?si bora mle na nguruwe tu.

Hijabu bila shaka na vazi la heshima tofauti na vimini wanavyovaa dada zako ,ndo maana masista kanisani hawavai vimini,,,anaejiuza anakwenda kinyume na uislamu acha ulofa uislamu huujui wewe ,mbona hushangai padri kuwaingilia watoto tena kinyume na maumbile??????????????
 
Another stupid upload kwahiyo wakisema hivyo ndio uhalisia? Unachoweza wewe ni kupakua mitandaoni bila chembe ya fikra. ..what a waste! !!

Sasa wewe unabishana na mtu aliyefanya research?

Halafu ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
 
Umeanza kuwa mpole! Halafu Leo humjui mchonga...what a shame...!!! Between ff una shida moja kubwa sana una umri mkubwa lakini akili yako haitofautiani na Mtoto wa miaka 16 huu ni ulemavu wa kubemendwa udogoni

Darsa naona limekuingia na haukurudia kujifanya hujui Qur'an.

Huyo mchonga ndiyo nani?
 
Kaka Mshana nisaidie kujibu maswali yafuatayo:-

1. Mungu wa TB Joshua na Gwajima alishindwa kuzuia CCM na TUME wasiibe kura? Kashindwa huko anasubiri alete balaa!!!

2. Huyo Mungu ambaye watu waliomba na kufunga lil kumchagua mtu fulani na sio mapenzi ya Mungu kutimia ni kigeugeu? Huku aseme fulani ndio Rais na ashindwe kumuweka?

3. Mungu hafurahii wanawe wapate mabalaa Kama ulivyosema. Hata sodoma na Gomorrah isingeangamizwa Kama wenye haki watano wangekuwepo. Je TZ haina wenye haki hata watano ili Mungu atuepushie balaa?

4. Wewe ni mtu wa ajabu sana unayetamani mabalaa yatupate kwasababu mtu wako hakuwa Rais?? Mungu hayuko Kama mwanadamu, angekuwa hivyo wengi tusingekuwa hai.

Tunaitakia AMANI TZ na mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5. Mungu ambariki na kumlinda Rais wetu na kumuongezea Hekima kila siku ili aiongoze TZ kwa haki na kweli yote.

Queen Esther

Ujio wa ghafla (kama ni kweli ni ghafla)wa T.B. Joshua Tanzania na kupokelewa na Magufuli mshindi wa ccm kiti cha urais na kukanyaga ardhi ya Tanzania pekupeku (japo alikuwa kavaa soksi kwahiyo sio pekupeku kabisa) kulizua mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakitabiri kama ni uchuro na balaa ...mimi napingana nao

T.B. Joshua na umaarufu wake hawezi kuleta balaa lolote ni kiumbe mdogo sana kwenye huu ulimwengu yeye alishuka kama dismainder fulani hivi, wamekuja na ndege yake kavaa alivyovaa hajali protocol, safarini aliamua kuvua viatu miguu ipumue (waliopanda ndege hata magari ya masafa marefu wanakua ni kwanini). Kwahiyo kwake ilikuwa ni sawa tu hata angeamua kuvaa bukta ...halafu awaachie walimwengu waje na tafsiri zao lukuki

Kwahiyo yeye hana uwezo huo wa kutuletea mabalaa bali mabalaa yataletwa na wale walioshika misahafu na kula kiapo cha ushindi wao bandia tena mbele ya maelfu ya watu..hii ni dhihaka na dharau kubwa mbele za Mungu. Hakuna jambo baya kama kumshirikisha Mungu kwenye dhambi na kumuomba akusaidie kuhalalisha udhalimu wa waziwazi ulioufanya...Mungu si wa maskhara kihivyo
Kama kweli Mungu au whatever ataamua kushusha mabalaa na kuadhibu asilaumiwe T.B.Joshua bali wale wote walioshiriki udhalimu na kushika misahafu
 
Back
Top Bottom