ukubwa wa pua si wingi wa kamasiandika basi hata paragraphs mbili hiyo habari ipate uzito.
Ungejua imani yao ni kwamba wakifa katika kile wanachoita kupigania dini yao wanaamini wanaenda moja kwa moja peponi japo kuwa hakuna aliyewahi kuleta feedback. Wee angalia wanavyowadanganya watu wakajitoe Muhanga wafe alafu wao wanaendelea kula bata wakiwa hai.Source Jambo leo & Nipashe
Mwanaharakati na mtetrzi wa Waislam Tanzania sheikh Issa Ponda amedai mufti wa Tanzania sio msemaji wa waislam na kaongea kama yeye Simba ila sio kwaniaba ya taasisi za waislam Tanzania na hana mamlaka ya mkuamua mambo kwa waislam wote Tanzania.
Hivyo wameamua yafuatayo;
Kupinga kauli ya Mufti wa Tanzania na kuwa sio kauli na sauti ya waislam
Kwenda mahakamani kuishitaki serikali kwakutoweka kipengele cha Dini katika dodoso la sensa.
Siku ya sensa wataandamana nchi nzima kupinga sensa kama wasipoyekelezewa hayo hapo juu.
My take
Huyu jamaaa wanamwangalia tu kwanini wasi Mlimboke au kumwakyembe
Naona umeamua kuipamba weakness. Hizo taasisi sasa zinamuwakilisha nani?The good side of Islam ni kwamba hakuna cha Baba Sheikh wala Baba Ustaadh....kwahiyo si Mufti Sheikh Simba wala huyo Ponda mwenye ubavu wa kuwasemea Waislamu wakawasikiliza!! Hata kama Mufti atangaze kwamba Waisalmu wasishiriki zoezi la sensa, basi ni waislamu wachache sana, tena sana ambaao wanaweza kutekeleza agizo lake...hali kadhalika kwa POnda nae ndivyo hivyo hivyo!! Viongozi wa Kiislamu hawana ushawishi kwa maisha binafsi ya kiislamu hususani yale yasiyo ya kiroho ambayo mengi yake kwa hapa tz wanasilizwa sana sana katika siku ya kufunga na kufungua(RAMADHAN!!).
Therefore, wakati Ponda akimsema Mufti kwamba yeye(Mufti) sio msemaji wa waislamu; hata Ponda nae sio msemaji wa waislamu!!
Ile dhana ya Uislam ni mfumo kamili wa maisha kwako haiapply?The good side of Islam ni kwamba hakuna cha Baba Sheikh wala Baba Ustaadh....kwahiyo si Mufti Sheikh Simba wala huyo Ponda mwenye ubavu wa kuwasemea Waislamu wakawasikiliza!! Hata kama Mufti atangaze kwamba Waisalmu wasishiriki zoezi la sensa, basi ni waislamu wachache sana, tena sana ambaao wanaweza kutekeleza agizo lake...hali kadhalika kwa POnda nae ndivyo hivyo hivyo!! Viongozi wa Kiislamu hawana ushawishi kwa maisha binafsi ya kiislamu hususani yale yasiyo ya kirohoambayo mengi yake kwa hapa tz wanasilizwa sana sana katika siku ya kufunga na kufungua(RAMADHAN!!).
Therefore, wakati Ponda akimsema Mufti kwamba yeye(Mufti) sio msemaji wa waislamu; hata Ponda nae sio msemaji wa waislamu!!
Vipi mkuu kwenye swala la sensa tu ndiyo mmetambua kwamba bakwata ni ccm c? Mbona maswala mengine na matamko ya kipuuzi huwa mnai-support?Mwiisilamu atakae kubali kuesabiwa atakua hana akili timamu,hatuna imani na Simba!Bakwata ni CCM C,SO niwalewaletu hawana jipya.
Vipi mkuu kwenye swala la sensa tu ndiyo mmetambua kwamba bakwata ni ccm c? Mbona maswala mengine na matamko ya kipuuzi huwa mnai-support?
tunahitaji sana kujua idadi ya waislam maana mnatusumbua sana mnapo lialia makanisani.Connection ya dini na sensa siipati. Huu ni udini uliokithiri