BAKWATA na Mauaji Arusha

BAKWATA na Mauaji Arusha

Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.

Hivi uliwahi kubakwa?
Maana una akili ndogo nafuu ya kuku, Uzuri wa uongozi wa JK uko wapi?
Rais anashindwa kuwajibisha viongozi wa halifu ndani ya nchi.
Peleka upupu huu kwenye vikao vya CCM si hapa. watakupigia makofi kwani unafanana nao
 
Kiongozi yeyote wa dini kama raia wa nchi ana haki ya kutoa mawazo yake au kukemea lile analoona halifai katika jamii kwa faida ya wote.

Sasa huu mtindo ulioanzishwa na CCM wa kuita kila kitu 'udini' kwa kuwa tu kinawakosoa kitatupeleka pabaya watanzania.

CCM kama Chama Tawala kijiangalie na kujisahihisha pale kilipoteleza katika uchaguzi. Sio dhambi kushindwa uchaguzi, ndiyo siasa zilivyo, sasa badala ya kuchochea propaganda za kidini, Kikwete na chama chake wajipange upya.
 
Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.

Na kweli kaifikisha mbali, umeme, madawati bwerere, ufisadi umekua kwa kiwango kikubwa, elimu ya kata ndo usiseme, uchakachuaji, mauwaji ya raia wasio na hatia nayo yanakuja kwa kasi. He deserves indeed.
 
Wengi wenu mlikuwa mstari wa mbele kulaani CUF baada ya mauaji ya pemba. Mkawaita al qaida etc. Leo Chadema wanaleta vurugu za kijinga mnaita wapigania uhuru!!
Huu ni ujinga uliopita mipaka.

Na kama hayo yanawakilisha 'mungu' wenu basi give me devil any time!!!!!!!

You have the devil right now.
 
Ndugu yangu mimi ni Moslem Safi....lakini hili la kuoanisha mabaya ya serikali ya kikwete na wakristo kum-hate kwa sababu ni mu-Islam sikubaliani nalo...wewe unafurahi nchi hii inavyooza?..reflect back kuhusu Richmond..Dowans..na jinsi issue nzima ya Dowans inavyopelekwa msitake kupata sympathy ya waislam wakati mnachumia ktk matumbo yenu na familia zenu....tulipokuwa tunasema Ben afikishwe mahakamani kwa sababu ya ubadhirifu wa mali za umma hatukusema vile eti just kwasababu Ben alikuwa ni Mkristo na sisi eti ni waislam..tunazungumzia suala la maadili kwa ujumla...JMK nchi imemshinda..anakaa kimya sana ktk masuala muhimu ya Taifa...Lowasa na Al Hadji Shamsi wana suggest mazungumzo....makamba na chitanda wanasema wasioridhika waende mahakamani...Yeye Mkulu amekaa Kimya...hapo unategemea kutu-convince kwamba ni UDINI?...Uislamu ni Imani yangu hivyo usiutumie kama kinga hasa pale unavyotakiwa uwe responsible kwa mabaya uliyoyatenda...Kukua kwa gharama za umeme.Petrol..Cemet..Nondo..Nauli za daladala..Nauli za mabasi ya mikoani..si masuala ya kidini...tafuta utetezi mwingine ila usilete udini.

Ndg yangu Mbezi Beach umesema kweli kabisa, inaonekana watu wanapotetea kuporwa kwa mali zetu kama Dowans (billions of Tshs), watu wanakimbilia kwenye hoja ya udini. Hiyo si kweli labda hata hao Mashehe wa Arusha kuna dalili za ufisadi si wenyewe kusema vile!!! Tuseme sasa hao watu wanakaa mwezini au kwenye sayari nyingine sio Tanzania hii?????????????? Maana TZ UMEME Unapanda, nauli zinapanda, vyakula vinapanda. Please try to be analytical in presenting issues, hapa hakuna udini wowote tuko humu TZ.

Swala la Meya kwanza huyu Bwn Gaudence Gaimo ni mtoto wa kanisani wala si mwislam, amelelewa na kanisa Katoliki, lakini Mabishop wamesema hawamtambui maana amechaguliwa kifisadi isivyo haki. Hata Wiaslam wapenda haki vilevile watashirikiana na wapenda haki wengine kupinga uchaguzi wa Meya wa Arusha. Wacha haki itendeke, uchaguzi wa haki ufanyike tupate the wright Mayer wa ATown. Nchi hii watu wanafanya wenzao mazumbu kuku, wanatumia loophole za giza giza kuyumbisha hoja ili kutupoteza. Tuko makini ndg, ufisadi umeshamili TZ TUSIKUBALI HAKUNA CHA DINI WOTE TUKO HAPA HAPA, TUPAMBANE NA UFISADI NCHI YETU INAFILISIWA.
 
Wewe mpumbavu...hebu nijibu kwanza change gani hiyo inakuja..nataka kuzipa mbavu zangu mazoezi kwa kicheko.
Ikifika utaijua sisi waislamu hatusemi na kupayuka ovyo kama maaskofu wenu subiri time will tell
 
Naona Kim Khardshian wa JF kakimbia.

Ngoja nitambae zangu..maana ukikaa karibu na makanithi mwishoe utazoea kharufu zao..

It shows your low level of thinking pathetic no wonder yule mwanamke mmoja (nadhani Jaydee) aliwahi kutukana JF imejaa wambeya kumbe nadeal na they likes of people who read tabloids Pathetic sasa ni misumari kwenda mbele nikikutana na wewe tukana mpaka uchoke but usije anga hizi utahama
 
Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.

JK analaumiwa kwa kushindwa kuwashughulikia mafisadi wa epa, richmond, dowans, kagoda, mikataba ya madini nk. Je hao tunaotaka wachukuliwe hatua ni Wakristu au Waislam? Katika ile orodha ya mafisadi 11 ukiweka udini kama unataka utakuta wakristu 9 waislam labda 2. Je wakristu wanataka kujiadhibu wenyewe? Kwa hiyo utagundua hapa kinachojadiliwa ni maadili katika uongozi
 
Kwa vile hii unairudia rudia sana naona kuna umuhimu wa kukujibu. Hii ni sehemu kutoka muandishi mmoja kuhusu mauaji ya Mwembechai.



Nimeitoa hapa: http://www.igs.net/~kassim/mwembechai/mchai-appendix.pdf

Pamoja na kujaribu sana kupindisha yaliyotokea na kuyaunganisha na kanisa katoliki hakuna mahali ambapo amefanikiwa. Padre Camillus Lwambano hakushangilia mauaji ya Mwembechai kama ambavyo unataka tuamini (kama kuna mahali alifanya hivyo basi tuwekeeni ushahidi) bali yeye kama wakristu wengine ( si wakatoliki peke yao) na waislamu moderates alikemea hali toxic iliyokuwa imeenea nchini ( hakuzungumzia mwembechai bali nchi). Kwa mara ya kwanza tangu uhuru wetu nilishuhudia mikutano ya wazi ya baadhi ya waislamu ambayo lengo lake kuu lilikuwa kupinga na ku-discredit ukristu. Hawa ndugu zenu hawakuishia hapo, wakawa wanaweka kanda za kejeli dhidi ya ukristu na kuzibroadcast kwa sauti kubwa 24/7. Lugha ya confrontation ikawa imeingia nchini mwetu. Alichokizungumzia Padre Lwambano lilikuwa mioyoni mwa wengi maana tayari paliisha anza kutokea vikundi vya vijana wa kikristu ambao nao walikuwa tayari kupambana na hao ambao waliona wanatukana dini yao. Alikuwa anaonya, kama alivyosema huyu Sheriff wa Pima County, marekani kuwa vitriolic language zina consenquence zake. Na ni kutokana na mwamko huo wa kidini ndipo kilipojichotekeza kikundi cha waislamu wenye msimamo mkali na kutaka kuondoa uongozi wa msikiti wa Mwembechai wakidai kuwa hawana imani nao. Hawakuishia hapo bali waliwaonya kuwa wakiendelea kung'ang'ania nafasi zao watawacharaza bakora ( tukumbuke viongozi hao walikuwa watu wazima) na vitisho vingine hadi waachie ngazi. Ni uongozi huo ulioomba ulinzi na msaada kutoka kwa serikali ili yasiwakute ambayo waliahidiwa. Na askari kweli walienda na kuwakuta vijana wamejitayarisha kwa mapinduzi. Lakini kama tulivyoshuhudia Arusha na sehemu nyingine ( migomo ya wanafunzi), askari wetu hawajui njia zaidi ya mabavu. Ubabe huu ndio uliopelekea vurugu kutoka kwenye msikiti hadi mtaani ambako waliokuwemo na wasiokuwemo wakapata mkong'oto. Wengi kati ya waliojeruhiwa walikuwa wafanya biashara ndogo ndogo ambao sio wote walikuwa waislamu. Sasa katika hili, mlitaka Kadinali Pengo awaombe radhi waislamu kwa lipi? Kwa kuonya kuwa lugha inayotumiwa na baadhi yetu itatufikisha vibaya? Si alikuwa ana-state the obvious? na si tuna yaona hadi sasa ambapo kuna mpasuko mkubwa wa kidini katika jamii yetu? tumefika mahali ambapo tunakataa ku-sympathise na outrage ilionyeshwa na upande mmoja kwa vile tu ni wa dini nyingine!

Amandla.....

Nadhani hii article unganisha na niliyoposti hapa chini:-



https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/101000-bakwata-na-mauaji-arusha-5.html

afadhali sasa ngoja nikujibu maana katika article hiyo sijaona evidence unazozisema zaidi kutoa mtazamo wako wewe
 
Kiongozi yeyote wa dini kama raia wa nchi ana haki ya kutoa mawazo yake au kukemea lile analoona halifai katika jamii kwa faida ya wote.

Sasa huu mtindo ulioanzishwa na CCM wa kuita kila kitu 'udini' kwa kuwa tu kinawakosoa kitatupeleka pabaya watanzania.

CCM kama Chama Tawala kijiangalie na kujisahihisha pale kilipoteleza katika uchaguzi. Sio dhambi kushindwa uchaguzi, ndiyo siasa zilivyo, sasa badala ya kuchochea propaganda za kidini, Kikwete na chama chake wajipange upya.

Hapo umenena kweli Ndg yangu, wasitufikishe uko kama Jos Naigeria. CCM Kuweni makini na propoganda njaa zina madhara makubwa kwa nchi yetu!!!!!!!!!!!!!
 
Nimejaribu kujiuliza hili swali mara nyingi sana:

Je ni sahihi kwa maaskofu kutoa tamko la " Hatumtambui Meya"? Je kufanya hivyo wamejingiza kwenye siasa?

Haraka haraka unaweza kusema jibu ni HAPANA.

Lakini nimejiuliza; Je maaskofu wa Ivory Coast wana haki ya kusema hawamtambui Gbagbo kama rais?

Jibu nikakuta ni NDIYO

Sasa jiulize tena; Maaskofu wamekosea kusema hawamtambui Meya wa Arusha?
 
Kwa vile hii unairudia rudia sana naona kuna umuhimu wa kukujibu. Hii ni sehemu kutoka muandishi mmoja kuhusu mauaji ya Mwembechai.



Nimeitoa hapa: http://www.igs.net/~kassim/mwembechai/mchai-appendix.pdf

Pamoja na kujaribu sana kupindisha yaliyotokea na kuyaunganisha na kanisa katoliki hakuna mahali ambapo amefanikiwa. Padre Camillus Lwambano hakushangilia mauaji ya Mwembechai kama ambavyo unataka tuamini (kama kuna mahali alifanya hivyo basi tuwekeeni ushahidi) bali yeye kama wakristu wengine ( si wakatoliki peke yao) na waislamu moderates alikemea hali toxic iliyokuwa imeenea nchini ( hakuzungumzia mwembechai bali nchi). Kwa mara ya kwanza tangu uhuru wetu nilishuhudia mikutano ya wazi ya baadhi ya waislamu ambayo lengo lake kuu lilikuwa kupinga na ku-discredit ukristu. Hawa ndugu zenu hawakuishia hapo, wakawa wanaweka kanda za kejeli dhidi ya ukristu na kuzibroadcast kwa sauti kubwa 24/7. Lugha ya confrontation ikawa imeingia nchini mwetu. Alichokizungumzia Padre Lwambano lilikuwa mioyoni mwa wengi maana tayari paliisha anza kutokea vikundi vya vijana wa kikristu ambao nao walikuwa tayari kupambana na hao ambao waliona wanatukana dini yao. Alikuwa anaonya, kama alivyosema huyu Sheriff wa Pima County, marekani kuwa vitriolic language zina consenquence zake. Na ni kutokana na mwamko huo wa kidini ndipo kilipojichotekeza kikundi cha waislamu wenye msimamo mkali na kutaka kuondoa uongozi wa msikiti wa Mwembechai wakidai kuwa hawana imani nao. Hawakuishia hapo bali waliwaonya kuwa wakiendelea kung'ang'ania nafasi zao watawacharaza bakora ( tukumbuke viongozi hao walikuwa watu wazima) na vitisho vingine hadi waachie ngazi. Ni uongozi huo ulioomba ulinzi na msaada kutoka kwa serikali ili yasiwakute ambayo waliahidiwa. Na askari kweli walienda na kuwakuta vijana wamejitayarisha kwa mapinduzi. Lakini kama tulivyoshuhudia Arusha na sehemu nyingine ( migomo ya wanafunzi), askari wetu hawajui njia zaidi ya mabavu. Ubabe huu ndio uliopelekea vurugu kutoka kwenye msikiti hadi mtaani ambako waliokuwemo na wasiokuwemo wakapata mkong'oto. Wengi kati ya waliojeruhiwa walikuwa wafanya biashara ndogo ndogo ambao sio wote walikuwa waislamu. Sasa katika hili, mlitaka Kadinali Pengo awaombe radhi waislamu kwa lipi? Kwa kuonya kuwa lugha inayotumiwa na baadhi yetu itatufikisha vibaya? Si alikuwa ana-state the obvious? na si tuna yaona hadi sasa ambapo kuna mpasuko mkubwa wa kidini katika jamii yetu? tumefika mahali ambapo tunakataa ku-sympathise na outrage ilionyeshwa na upande mmoja kwa vile tu ni wa dini nyingine!

Amandla.....

Fundi mchundo

Kwakweli unayoyasema mengine yana ukweli kwamba lugha kali za kidini zinaweza kupelekea migogoro ndani ya nchi yetu. Ila the Padre Lwambano alivyoitoa hiyo kauli ilikuwa kama anatoa maagizo kwa serikali iwashughulikie waislamu. Na kumbuka Lwambano alitoa hilo tamko tarehe 8 February, 1998 , mapambano yakatokea few days later tarehe 13th February 1998. Rais awamu ile ambaye Mkapa bila kushauriwa vizuri akatoa amri ishughulikiwe hiyo hali. Haya sio maneno yangu ni huyu Aziz kama anavyosema hapa:-

Few people can doubt that Lwambano appears to have been encouraged by the public and official
endorsement the Catholic clergy had received with regard to their grievances against Muslim preaching.
That endorsement had come from a fellow Catholic in the person of the President of Tanzania. On 4
January 1998 at Tabora during celebrations of the Western Diocese of the Moravian Church, President
Mkapa declared war on "people who go about distributing cassettes, booklets and convening meetings
where they insulted and ridiculed other religions"
(Daily News, 5 January 1998). It is relevant that Muslim
preachers are the only people using cassettes and booklets, in addition to public debates, in the propagation
of religion

Na maaskofu wameendelea na tabia yao hii ya kujiona wao ndio wasemaje wa wananchi na wako juu kuliko viongozi wengine wa kiroho. Na hili ndio linalowafanya wajisahau mpaka waingie sasa katika siasa jambo ambalo litawatokea puani. Na jamaa amelitahadharisha kama anavyosema tena hapa:-

It is my considered opinion that the response by the CCM government is religiously biased and prejudiced. Given the fact that the Catholic clergy had failed to prove their charges of blasphemy in a mediation meeting of Bishops and Sheikhs convened by former President Mwinyi in1993, President Mkapa's move of unilaterally embarking on using state power to remedy a grievance of his Church leaders without giving Muslims the right of reply suggests nothing but religious bias. Catholics are after all expected to follow whatever the hierarchical church says!

Sasa Pengo should have apologies to muslim for the comments of his fellow member au kama hilo ameshindwa basi kwa kushindwa kukemea matumizi ya nguvu zisizo na msingi kwa raia waliokuwapo pale mwembechai ambao wengi wao hawakuwa katika sehemu ya ule uharamia wa kutaka kuchukua ule msikiti wa mwembechai. But kwakuwa serikali ilikusudia kutoa message kwa waislamu wakaamua kufanya wapendavyo ili kutoa message kwa waislamu wote kuwa hili jambo halikubaliki na maaskofu wakaa kimya kama vile hawaoni na hapa siko pamoja nao kwa hili.
 
It shows your low level of thinking pathetic no wonder yule mwanamke mmoja (nadhani Jaydee) aliwahi kutukana JF imejaa wambeya kumbe nadeal na they likes of people who read tabloids Pathetic sasa ni misumari kwenda mbele nikikutana na wewe tukana mpaka uchoke but usije anga hizi utahama
Asante Kikwete kwa Huduma nzuri za afya kila sehemu ya nchi hii.
 

Attachments

  • wheelbarrow_ambulance.jpg
    wheelbarrow_ambulance.jpg
    27 KB · Views: 53
na safari hii huyu kikwete asifanye ziara kwetu huku.......hatuwezi kuwa na Raisi mbabaishji kiasi halafu tumuacha amalize miaka mitano......
watu wanapigwa risasi bila hatia yeye anasema ni bahati mbaya.... yeye ndio mdini mkubwa sana na yeye ndo anaeneza sera ya udin hapa nchini.....hana budi kuachia ngazi na wala asidanganye watu kuwa yeye ni mtu makini....
 
hawa mashekh nao hamnazo......wao wangekemea vurugu na sio kuingilia tamko la wakristu....
nani hajui uchaguzi wa meya arusha ulibakwa?....na huyu kubwa jinga amekaa tu pale magogoni hana la kusema wala kukemea......juz yule mama kwa obama kaigwa risasi mzee mzima obama alilaani kitendo kile.......huyu wetu kazi kuoa na kushinda anatomaswa mabega......hana maana......
 
Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.
Zomba ni kweli Kikwete ni kiongozi mzuri kwa sura nenda kanywe nae kahawa, mchapa kazi!!?? Kazi hipi? Kuhudhuria kwenye kuzindua makaburi au? Hiyo sentence yenye red nafikiri hukuwa unamaanisha acha masihara. Huyu JK sijui uwezo wake shuleni ulikuwaje napata wasiwasi sana.
 
Tatizo lingine kubwa ni maaskofu kuingilia siasa, na hii inaonyesha wazi kabisa na haipingiki. Wao, siasa ya nini?

Hakuna mwanadamu wa kada yoyote yule ambaye haathiriki na siasa; maaskofu, mashehe na wengine wote wanaathirika moja kwa moja na politics. Kwa mfano;

Kwa CCM kutumia jeshi kuua watu Arusha maaskofu na mashehe wanaathirika moja kwa moja kwa sababu wapo waumini wao wameuawa na kuumizwa vibaya. Wapo pia ndugu na jamaa zao ambao wameathirika kwa namna mbalimbali katika maamuzi hayo.

Hivyo basi kwa kuwa wanaathirika na siasa basi wana haki kikatiba kutoa maoni yao kwa yale ambayo yanawaathiri.
 
mmmmmmmmmmmmmmmh,kweli Tanzania hakuna UDINI,wanoamini hivyo waendelee kujidanganya.....tunaelekea wapi na haya yote????
Bora tusijuane manake....... kwa mwendo huu,yanini haya malumbano?BAKWATA wana uhuru wa kuzungumza kwa jinsi wanavyoamini na walivyofanya analysis au hata kukaa kimya.............hayo mambo ya elimu,sijui waislam walikuwa watoro,mara hakuna siku wametoa hoja wakawa na substantive back up ya claims zao ya nini ndugu zangu?Its getting bitter every now and then!
 
Jamani udini huko wapi hapa!!! Aliyekataliwa kutambuliwa na maaskofu ni mkristo wala sio muislamu. Je angekuwa ni muislamu ingekuwaje???? Ni wapi maaskofu wa Arusha wametamka kwamba hawamtaki Kikwete kwa kuwa ni muislamu? Huu ni ujinga uliokithiri na kujaribu kutafuta mchawi wakati ukweli unajulikana!!! Hawa wanasahau kwamba ni kanisa hilo hilo liliowahi kutamka kwamba Kikwete ni chaguo la Mungu? Mbona waislamu hawakuipinga hiyo kauli? This sounds like cheap politics to me!!!

Tiba
I always like your threads and comments. Asante sana.
 
Back
Top Bottom