Am just curious......hivi BAKWATA wanaweza kutoa tamko la kulaani mauaji yaliyotokea Arusha???
Am just curious......hivi BAKWATA wanaweza kutoa tamko la kulaani mauaji yaliyotokea Arusha???
Maaskofu wamkataa meya wa CCM Arusha
Friday, 07 January 2011 20:19
Mussa Juma, Arusha
MAASKOFU wa makanisa ya Kikristo mkoani Arusha, wametoa tamko la pamoja la kutomtambua Meya wa Jiji la Arusha aliyeteuliwa na CCM na kuweka bayana kwamba "hawatampa ushirikiano".Walitoa tamko hilo jana wakati wakilaani hatua ya polisi mkoani Arusha, kutumia nguvu kupita kiasi katika kuvunja maandamano ya amani ya Chadema na hivyo kusababisha vifo vya watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya 20.
Akisoma tamko la umoja wa viongozi wa dini ya kikristo mkoani Arusha, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Arusha, Josephat Lebulu alisema Jeshi la Polisi ndilo lilikuwa chanzo cha vurugu hizo.
Tamko la maaskofu hao limekuja siku moja tu tangu Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha atoe tamko kwamba vurugu zilizotokea Arusha ni tatizo la kisiasa ambalo pia litapaswa kushughulikiwa kisiasa.
SOURCE: Mwananchi
BAKWATA ni chombo ya WAGALA ambao wako Serikalini
pia msisahau kuwa BAKWATA iliunda na Serikali
majority ya waislam hawaitambui
In otherwords Bakwata is just one of many organisations kama vile Baraza kuu, Shura ya Maimam, SUPTAM na wengineo sema BAKWATA wanaenjoy kupewa niceties na serikali
And dont get me started on Sheikh Mkuu wa BAKWATA wa DSM....
I means seriously Bakwata inaongozwa na mtu iliterate halafu mnataka muone Tamko lao?
Hivi mnawa rate so high hawa jamaa?
Bakwata wao wako after Kadhi na OIC they don't bother what is happening so long haihusu Kadhi mkuu ungewasikia kama askari wangeingia msikitini na mabuti shame on them.
Am just curious......hivi BAKWATA wanaweza kutoa tamko la kulaani mauaji yaliyotokea Arusha???
kuna vitu vinaitwa MALENGO na MKAKATI_lengo la wanaharakati wote kwasasa nikuona kunakuwa na Mabadiliko ya Kiutawala_mambo mengine yote ni Mikakati_hali kadhalika tuandikapo Posts huwa ni Mikakati kwa ajili ya mambo fulan tunayoyalenga_ni vema kufikiri sana kabla hujafanya jambo_kwa post hii nadhan umetuma wakati ukijisaidia choon_haimsaidii yeyote hata familia yako hainufaiki kwa post hii_otherwise mnatukatisha tamaa waislam tuliomo chadema kwamba inawezekana chadema ni ukiristo na sisi tunawasindikiza kwenye move zenu_kwann harakat za kisiasa zizungumzie iman wakat wanaharakat ni wenye iman tofaut na tunaunganishwa na MALENGO? Hii inanitia shaka na kunifanya niamin kuwa inawezekana mh. Zitto yupo sahih kuwa kuna udin ndan ya cdm_nimekuwa kwa muda mrefu nikikemea mambo haya na kuwaomba mods kupinga vitu_lakin posts zinazofutwa ni zile zinazokemea mambo haya ndizo hufutwaAm just curious......hivi BAKWATA wanaweza kutoa tamko la kulaani mauaji yaliyotokea Arusha???
Mimi natowa tamko la kuwalaani wote walioanzisha na kushadidia maandamano yaliyozuiliwa na polisi kufanyika.
Walaaniwe wote waliolazimisha ya fanyike na damu za hawa waliofariki ziwasute maisha yao yote.
Kanisa heri linyamaze na kufunga mdomo maana kila nikikumbuka mauaji ya kimbari Rwanda huwa nasikitika sana Kanisa linapoongelea juu ya haki! kila nikikumbuka mauaji ya Mwembechai Dar, na kauli alieitoa Padri Lwambano kuwa Serikali iwashugulikie Waislamu wa Msikiti wa Mwembechai na siku ya pili Polisi waliitikia wito huo na kuuwa wananchi wenzetu! nasikitika tena Kanisa kuhubiri haki!
Kila nikikumbuka mauaji ya raia huko visiwani na kauli ya Muadhama Kardinali Pengo kuwa waliouliwa na Polisi huko Zenji ndio wabebe lawama kwa kutokutii amri ya Serikali ya kutokuandamana!!
Sasa, leo Kanisa na Baraza la Maaskofu watakuwa na ubavu gani wa kujitokeza na kulaani mauaji ya Arusha?
Kuna watu wengine wapumbavu watakao fikiri kuwa mimi nafurahia mauaji ya Arusha lakini kwa hakika kila binaadamu mwenye hisia hatafurahia kitendo hicho cha Askari wetu kufyatua risasi za moto na kuua wananchi! ni tendo la kulaaniwa lakini sio Maaskofu wajitokeze leo ghafla na kutoa kilio cha kinafiki! kwanza waombe msamaha kwa maovu waliofanya huko nyuma kwa kuunga mkono maamuzi ya Serikali ya Benjamin Mkapa ya kuuwa raia wa nchi hii na ndipo wafungue ukurasa mpya wa kudai haki za wananchi kinyume chake itakuwa vigumu kuelewa lengo la Kanisa ni nini!
BAKWATA si chombo halali cha waislamu wala chombo hiki hakina ridhaa ya Waislamu bali Serikali inaibeba kwa amri ya Mwalimu Nyerere ambae kwa hakika ndie alie asisi mwaka 1968 huko Iringa baada ya kuvunja jumuiya ya Waislamu ya EAMWAS! ambayo iliwaletea Waislamu maendeleo makubwa na kutaka kujenga chuo kikuu cha kiislamu cha Afrika Mashariki ndipo Nyerere akafikia uamuzi huo wa kuivunjilia mbali! soma: Mwembechai Killings
Hivyo BAKWATA walaani au wasilaani hiyo sio issue kwa Waislamu bali Waislamu wanajumuiya zao zinazowakilisha maslahi yao na kama kutoa kauli basi ni viongozi wao ndio watatoa lakini sio BAKWATA!
Mwehu kilakitu huzungumza na hawezi kukaa kimya.Maaskofu si wanaubia na cdm ndo maana hawishi maneno.Wakati huohuo mnasisitiza tusichanganye dini na siasa.Hapa mtoa hoja hana jipya zaidi ya kuleta mpasuko wa kidini.SHAME ON YOU.
kanisa heri linyamaze na kufunga mdomo maana kila nikikumbuka mauaji ya kimbari rwanda huwa nasikitika sana kanisa linapoongelea juu ya haki! Kila nikikumbuka mauaji ya mwembechai dar, na kauli alieitoa padri lwambano kuwa serikali iwashugulikie waislamu wa msikiti wa mwembechai na siku ya pili polisi waliitikia wito huo na kuuwa wananchi wenzetu! Nasikitika tena kanisa kuhubiri haki!
Kila nikikumbuka mauaji ya raia huko visiwani na kauli ya muadhama kardinali pengo kuwa waliouliwa na polisi huko zenji ndio wabebe lawama kwa kutokutii amri ya serikali ya kutokuandamana!!
Sasa, leo kanisa na baraza la maaskofu watakuwa na ubavu gani wa kujitokeza na kulaani mauaji ya arusha?
Kuna watu wengine wapumbavu watakao fikiri kuwa mimi nafurahia mauaji ya arusha lakini kwa hakika kila binaadamu mwenye hisia hatafurahia kitendo hicho cha askari wetu kufyatua risasi za moto na kuua wananchi! Ni tendo la kulaaniwa lakini sio maaskofu wajitokeze leo ghafla na kutoa kilio cha kinafiki! Kwanza waombe msamaha kwa maovu waliofanya huko nyuma kwa kuunga mkono maamuzi ya serikali ya benjamin mkapa ya kuuwa raia wa nchi hii na ndipo wafungue ukurasa mpya wa kudai haki za wananchi kinyume chake itakuwa vigumu kuelewa lengo la kanisa ni nini!
Bakwata si chombo halali cha waislamu wala chombo hiki hakina ridhaa ya waislamu bali serikali inaibeba kwa amri ya mwalimu nyerere ambae kwa hakika ndie alie asisi mwaka 1968 huko iringa baada ya kuvunja jumuiya ya waislamu ya eamwas! Ambayo iliwaletea waislamu maendeleo makubwa na kutaka kujenga chuo kikuu cha kiislamu cha afrika mashariki ndipo nyerere akafikia uamuzi huo wa kuivunjilia mbali! Soma: mwembechai killings
hivyo bakwata walaani au wasilaani hiyo sio issue kwa waislamu bali waislamu wanajumuiya zao zinazowakilisha maslahi yao na kama kutoa kauli basi ni viongozi wao ndio watatoa lakini sio bakwata!
Mwehu kilakitu huzungumza na hawezi kukaa kimya.Maaskofu si wanaubia na cdm ndo maana hawishi maneno.Wakati huohuo mnasisitiza tusichanganye dini na siasa.Hapa mtoa hoja hana jipya zaidi ya kuleta mpasuko wa kidini.SHAME ON YOU.