BAKWATA na Mauaji Arusha

BAKWATA na Mauaji Arusha

Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???

Hapo kwenye RED ndo pamenigusa! Shule mkuu ndo tatizo lao!
 
ukitaka kujua hulka ya ndg zangu Waislam ni kujiuliza ni nchi gani ya Kiislam ina demokrasia yaani vyama vingi nina uhakika katika zoote hazizidi nne! na kati ya hizo ni Turkey ambayo kila mtu anajua jinsi inavyonyanyapaliwa ati si nchi ya Kiislam kisa hawafuati Sharia law! hapo ndipo utajua demokrasia si tija kwa walio wengi ndani mwa mioyo yetu! It was juast a matter of an opportunist kushika hatamu awatumie kama mwendawazimu Kikwete anavyofanya...

what about Malaysia?

Do you think your views build a national solidarity?

Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.
 
naomba niseme tu kwa ufupi wewe mtoa Mada ni mpumbavu na umetumwa na CCM kugawa watanzania!!huna akili hata kidogo na ninadhani baba yako ni mmoja kati ya wale waliorushia wananchi risasi!!mimi naongea kama muislamu halisi na hata leo tumefanya ibada ya kuwaombea marehemu,na pia ukumbuke harakati ni za watz wote na ndio maanamtu wa kwanza kurushiwa risasi na kuuwawa ni Ismail ambae ni mwanaharakati wa Chadema na muislam!!
tunakuomba utuondolee hija zako za udini hapa tena ukome na uwaambie CCM wenzio mapambano bado yanaendelea!!pumbavu mkubwa na ipo siku tutapigana hata kwa mawe hata kama wao wana silaha zao za moto!!na ukamwambie babko sijui mjombako pumbavu sana wee!!
 
Mkuu Mdondoaji. Padri Lwambano ametoa tamko tarehe 8 FEBRUARI 1998 ambalo Rais Mkapa aliitikia tarehe 4 JANUARI 1998! Hivi hii kweli inaingia kichwani? Huyu Aziz na Njozi ni wale wale wenye extremists ambao wanataka kulaumu kanisa kwa kila ovu linalousibu UMMA wa kiislamu. Hivi kweli unataka kuamini kweli Rais Mkapa alikuwa akipokea maagizo kutoka kwa padri wake wakati wa uongozi wake? Si utakuwa sawa na wale walioamini kuwa Mwinyi (na Kikwete) wanapata maagizo kutoka Iran na Saudia? Wote mtakuwa hamna maana.

Padri Lambano kama raia yeyote alitoa duku duku lake kuhusu hali ya kutisha iliyotanda Tanzania katika miaka ya mwisho ya 90. Tulikuwa hatujazoea maneno ya chuki kutamkwa wazi wazi baina ya jamii yeyote nchini mwetu ukiondoa kwa hao tunaowaita wahindi. Hivi leo ukilalamikia vibaka wanaotishia usalama katika nchi yetu na baadae polisi wakafanya operesheni na kuua baadhi yao utawakubalia kweli wale watakaodai kuwa uliwaamrisha hao polisi kuua na kudai lazima uwaombe msamaha?

Huku kuandama Kanisa kutokana na yale yaliyotokea Mwembechai ni uonevu na kukwepa responsibility. Mlitakiwa kuwakemea wale walioleta mihadhara ya chuki na ksababisha uhasama mkubwa katika misikiti yenu, Mwembechai ukiwa mmoja wao. Kama hamtaki kulaani mauaji yaliyotokea Arusha lakini msijitetee kwa kuyafananisha na yaliyotokea Mwembechai, Pemba na Unguja. Hivi leo utaweza kulaani mapdri na maaskofu kukemea uovu pale wanapouona kwa vile tu mnatofautiana dini? Mimi ningedhani ungewahimiza viongozi wako waungane nao badala ya kuzinduka pale tu mdini mwenzao anapodhulumiwa. Hii Tanzania ni yetu sote na kilio cha mmoja wetu lazima kiwe chetu sote.

Amandla.......

Mkuu Fundi Mchundo Extemist ndani waislamu sikubaliani nao kama walivyo extremist walioko katika ukristo. Anything that is extreme is harmful ndio maana katika statistics kuna kitu kinaitwa outlier kinaweza kuharibu kila kitu ndio maana watafiti wanakijaribu kukicontain au ikishindikana kukiondoa. Lakini kaa ukijua sometimes hata mwendawazimu anakuwa anasema jambo la msingi ambalo mimi na wewe tunaweza tusilione. Hebu tizama mtiririko huu:-
a. 4th January, 1998 President Mkapa anachimba mkwala kuhusu mihadhara ya dini yenye kuleta mifarakano.
b. 8th February, 1998 Padri Lwambano anaituma serikali iwashughulikie wanaoleta mihadhara ya uchochezi na mengineyo kwa ufupi waislamu.
c. 13th February, 1998 wanatandikwa waislamu pale mwembechai na kuuwawa.

Je nikuulize does it need a nuclear scientist to know what is going on here? Pia kumbuka rais aliyeko madarakani ni muumini mzuri Kanisa la St. Peters pale Msasani (karibu na ofisi za usalama). Sasa Fundi mchundo twende turudi kuna kitu kimekosekana hapa kabla hatujawaita jamaa extremists. Pia kaa ukijua kuwa Mkapa hakuwashauri waislamu kuhusu hili jambo je nikuulize alikuwa sahihi? Tatu Padri Lwambano ni padri wa kanisa gani na je lile tamko alilitoa kama nani? Kwanini asiende kutamka mimi Camillius Lwambano nasema hivi atumie title yake ya upadri? Naomba unijibu mkuu
 
what about Malaysia?

Do you think your views build a national solidarity?

Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.
 
1. Wakati Maaskofu wakidai hawamtambui meya, BAKWATA wanasema wao wanamtambua
na kama yupo ambaye haridhishwi na uchaguzi aende mahakamani na iwapo matokep
yatatenguliwa, BAKWATA wapo tayari kufanya kazi na yeyote atakaye chaguliwa.

2. Wote wamelaani matumizi ya nguvu kubwa yaliyofanywa na Polisi

3. Wakati BAKWATA wakisema mambo ya wanasiasa tuwaachie wanasiasa, maaskofu
wanafanya siasa za wazi kabisa na inaonesha wanahamu ya kuvua majoho yao na
wameacha kauli mbiu yao ya kila siku kuwa tusichanganye dini na siasa.

WANAJAMII KATI YA TAASISI HIZI MBILI, IPI INANUKIA JAPO KIDOOGO HARUFU YA UDINI?

Mkuu hii mada imekaa kichochezi na nisingependelea kukuunga mkono ningelishauri uifute maana haina haja ya kushindanisha linajulikana kwa mwenye kufahamu. Tuwe makini na sensitive issues waungwana kama misumari tupigiliane kwenye wale waliotoa tamko kama wako sahihi au la.
 
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.

Generalization si nzuri mkuu kuna waislamu wamesoma kuliko nyie msio waislamu.
 
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.

Again
 
ukitaka kujua hulka ya ndg zangu Waislam ni kujiuliza ni nchi gani ya Kiislam ina demokrasia yaani vyama vingi nina uhakika katika zoote hazizidi nne! na kati ya hizo ni Turkey ambayo kila mtu anajua jinsi inavyonyanyapaliwa ati si nchi ya Kiislam kisa hawafuati Sharia law! hapo ndipo utajua demokrasia si tija kwa walio wengi ndani mwa mioyo yetu! It was juast a matter of an opportunist kushika hatamu awatumie kama mwendawazimu Kikwete anavyofanya...

Geza Ulole, its rather daft to somehow compare a social group with a religion. Christianity is a social group whereby islam is a religion. Thats why laws can be changed/amended in christianity and not in islam. Christianity has one supreme leader, "the pope" if you are catholic, or Elizabeth queen of England if you are Anglican, and so....; whereby in muslims do not have a living human figure head for eveery muslim on planet. In christianity, power and authority are centralised, Vatican if you are catholic, or buckingham palace if you are Anglican. In Islam, power and authority are decentralised and every community have their own leadership. In short, the sheikh of mecca is only for mecca and he is not superior to sheikh of moldova or paraguay. I have hibernian background and studied christianity at depth, and believe me, when I decided to study other faiths, judaism, islam, budhism, etc; I was confounded by the *** which I was taught as a christian child. Learn about other faiths and you don't have to follow them. That will give you a little bit of respect of others.
 
mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! Utakula mahakama ya kadhi? Tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.
ujumbe umefika
 
Geza Ulole, its rather daft to somehow compare a social group with a religion. Christianity is a social group whereby islam is a religion. Thats why laws can be changed/amended in christianity and not in islam. Christianity has one supreme leader, "the pope" if you are catholic, or Elizabeth queen of England if you are Anglican, and so....; whereby in muslims do not have a living human figure head for eveery muslim on planet. In christianity, power and authority are centralised, Vatican if you are catholic, or buckingham palace if you are Anglican. In Islam, power and authority are decentralised and every community have their own leadership. In short, the sheikh of mecca is only for mecca and he is not superior to sheikh of moldova or paraguay. I have hibernian background and studied christianity at depth, and believe me, when I decided to study other faiths, judaism, islam, budhism, etc; I was confounded by the *** which I was taught as a christian child. Learn about other faiths and you don't have to follow them. That will give you a little bit of respect of others.

Good constructive argument Nancy
 
kinachonishangaza sana mimi ni pale viongozi wa dini wanapokemea maovu wanaonekana wanaudini hasa kinapofanya chama cha CCM. Lakini kinaposifia kama waliposema Kikwete ni chaguo la mungu hawasemi kuwa wana udini.

Jamani BAKWATA wameonyesha mapungufu.

Yale mauaji ya Arusha hayakusitahili kuisifia CCM kabisa kwa maana serikali iliyofanya mauaji ni ya CCM.
 
Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???

Mimi hapa penye Bluu ndipo pameniacha hoi
 
what about Malaysia?

Do you think your views build a national solidarity?

Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.

The way i see your comment mkuu naogopa na nisamehe. it sounds like pia unawaza sana mambo haya na ni mmoja wa wanaowaza udini b4 taifa. tukumbuke dini zilifikaje hapa. ni bora kujivunia kina mwana malundi wetu na wengine wengi japo hatukuwatangaza kama wenzetu walivyofanya. tusigombanie hayo. na sipendi pia ubinafsi. kadhi haitakuwa jambo jema kwa watu wamoja na wanaotaka kuendelea kuwa wamoja lakini wana imani tofauti. mahakama za kijamii zinatosha. ila kama ni lazima ianzishwe na dini husika yenyewe. hata huo upande wa pilh wana mambo ambayo huyasuluhisha wenyewe.
 
Wakiristo watanzania, msijidanganye kabisa na kujifanya kwamba eti ni nyinyi ni "European outpost in Africa". Maendeleo ya uzungu siyo maendeleo ya ukiristo, ingawa mpo wengi sana humu ambao mnajitoa akili kwa makusudi na kusherehekea mafanikio ya wazungu "in the name of jesus", na kujifanya kama vile nyinyi ni sehemu ya "white establishment". Nasikitika sana kama mifumo ya kielimu ndiyo inayowafanya muwe hivyo.
 
Wanazidi kujichanganya kwani wao sio viongozi wa dini!
 
Wakiristo watanzania, msijidanganye kabisa na kujifanya kwamba eti ni nyinyi ni "European outpost in Africa". Maendeleo ya uzungu siyo maendeleo ya ukiristo, ingawa mpo wengi sana humu ambao mnajitoa akili kwa makusudi na kusherehekea mafanikio ya wazungu "in the name of jesus", na kujifanya kama vile nyinyi ni sehemu ya "white establishment". Nasikitika sana kama mifumo ya kielimu ndiyo inayowafanya muwe hivyo.
craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap, nenda kwenye mada
 
Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???

Ahsante kwa kutuletea udini JK
 
Back
Top Bottom